Shine
JF-Expert Member
- Feb 5, 2011
- 11,481
- 1,364
Uswauri wangu kwako piga ndoa nae sbb umekiri ume fall in love so usiutese mwili na unajua dini zte na kabila pia zinaruhusu mke zaidi ya 1 ila uchache wa kivielewa vizuri vitabu vya Mungu ndio watu wanatishana kwa lengo la kuipa zinaa nguvu sbb ww ushaoa wake 3 mm na mwingine tunao labda 2 makahaba watakwama na tukienda ktk night club wadada watachunda sbb kila men anao kibao wa halali hme
Fikra finyu & shame on you