Zogwale
JF-Expert Member
- Jul 10, 2008
- 15,287
- 10,842
Aliyekuwa mtendaji mkuu wa Atcl ameibuka na kusema kwamba Dr Mwakiembe alidanganya umma kutokana taarifa alizopewa kuwa ni za uongo na zisizokuwa na ukweli wowote.Kwa mfano uniform ziligharimu dola 18,000 tu na sio dola 50,000 kama alivyosema mwakiembe, Bwana chizi alisema pia tatizo ni kwamba kuna watu hawajui chochote kuhusu sekta ya anga lakini wanajiganya kuwa wanajua mbele ya umma.
Chanzo: The Guardian on Sunday
Thanks. Mwaki hapo alichemka. Pia kwa namna alivyokuwa anaongea na staff wa ATCL not proper. Alitumia lugha za kihuni. Hopeful marafiki zake wameshamweleza.