Kila mtu anapokuwa amebanwa lazima atafute utetezi hata kama ni wa uongo, hapo Chizi anatapatapa tu ukweli unabaki palepale, ATCL kulikuwa na ubadhirifu mkubwa saana, Miaka Ishirini iliyopita kulikuwa na ndege kubwa zaidi ya tano,Leo hii shirika hoi, Loh tumechoka kudanganywaa!!!