Paul Chizzi amuumbua Mwakyembe

Aliyekuwa mtendaji mkuu wa Atcl ameibuka na kusema kwamba Dr Mwakiembe alidanganya umma kutokana taarifa alizopewa kuwa ni za uongo na zisizokuwa na ukweli wowote.Kwa mfano uniform ziligharimu dola 18,000 tu na sio dola 50,000 kama alivyosema mwakiembe, Bwana chizi alisema pia tatizo ni kwamba kuna watu hawajui chochote kuhusu sekta ya anga lakini wanajiganya kuwa wanajua mbele ya umma.
Chanzo: The Guardian on Sunday

Kuna mambo mengine hayaitaji hata kujua mambo ya anga kama kukodisha ndege pasipokujulikana na wausika wa serikali, ndege moja kuwa na wafanyakazi zaidi ya 200, huyu atakuwa alikuwa akinufaika kwa njia flani ndo maana inamuuma na pia hizo uniform si zitakuwa na rekord ktk matumizi? Basi hesabu likaguliwe then mwongo atajulikana
 
Mwakyembe ni mpenda misifa, msiomjua nawapa pole.

Namjua Dr Mwakyembe;ni Mbunge wangu!Watz tujiandae kumlipa Chizi mamilion ya pesa akienda mahakamani;Dr Mwakyembe ni mtu wa kupenda sifa zisizo na msingi!Yeye na Magufuli hamna aliyemzidi mwenzake!

Kusitishwa kwa ajira ya mtu kuna utaratibu wake inabidi ufuatwe na sio kuwaita waandishi wa habari na kutangaza fulani nimemfukuza kazi!Kwa ufupi Dr Mwakyembe ni abuser mkubwa wa haki za binadam!

Kyela 2015 tumekwisha mkataa na analijua hilo!
 
Kama kulikuwa na option ya kushona kwa bei ya chini ambayo ni $ 200 kwa uniform kwa nini hawakuitumia ilhali shirika halina na uwezo mkubwa kwa sasa, mimi haja ni convice hata kidogo $ 18000 still is too much lets be realistic.
 
Kama kutumia dolla 18000 kununua uniform tu bado watu wanamtetea Chizzi basi kuna tatizo somewhere kwenye vichwa vyetu. watanzania tuamke kama mtu habani matumizi katika kampuni anayoiongoza basi hafai.kulikuwa na sababu gani kununua sare hizo ulaya?Mwakyembe kaonesha njia na mawaziri wengine wafuate.kila anaye hujumu Nchi lazima akutane na adhabu.MKIENDEKEZA CHUKI BINAFSI KWA SABABU ZOZOTE ZILE NCHI HAITA PIGA HATUA. VIVA MWAKYEMBE.
 
Mkuu kama una nafasi nakuomba ukanunue gazeti la leo la Guardian ndio utaamini kuwa kumbe hata wale wenye Phd za ukweli wana matatizo.

Hakuna binadamu ambaye ni perfect, hata kama una PhD. Kumi.
 
Sidhani kama shirika linao wafanyakazi hao unasema. Chizi siye aliwaajiri. ATCL ilikufa sababu ya hao maafisa wa serikali na wanasiasa kama Mwakyembe kuingilia utendaji.
Kuna mambo mengine hayaitaji hata kujua mambo ya anga kama kukodisha ndege pasipokujulikana na wausika wa serikali, ndege moja kuwa na wafanyakazi zaidi ya 200, huyu atakuwa alikuwa akinufaika kwa njia flani ndo maana inamuuma na pia hizo uniform si zitakuwa na rekord ktk matumizi? Basi hesabu likaguliwe then mwongo atajulikana
 
Tafuta mashirika mengine kiasi gani kununua sare za wafanyakazi wake. Kwa umasikini wetu unaweza ona hiyo pesa ni nyingi wakati ktk hali halisi ni pesa ndogo.
Kama kutumia dolla 18000 kununua uniform tu bado watu wanamtetea Chizzi basi kuna tatizo somewhere kwenye vichwa vyetu. watanzania tuamke kama mtu habani matumizi katika kampuni anayoiongoza basi hafai.kulikuwa na sababu gani kununua sare hizo ulaya?Mwakyembe kaonesha njia na mawaziri wengine wafuate.kila anaye hujumu Nchi lazima akutane na adhabu.MKIENDEKEZA CHUKI BINAFSI KWA SABABU ZOZOTE ZILE NCHI HAITA PIGA HATUA. VIVA MWAKYEMBE.
 
Kama mtu anaona USD 200 - 600 kwa unifirm ni kubwa hakuna namna waweza mweleza gharama za uendeshaji wa shirika la ndege akakuelewa. Akijua za mafuta Dar-Mwanza ni millioni 15 atashauri waweke maji.
Jamani uniform za wafanyakazi wa ndege sio mabatiki kama ya dancers. Suti tu ya rubani sio kama za MC. Kuna viwango vinavyotakiwa kimataifa, otherwise chini ya kiwango hata abiria hupati kama sio kunyang'anywa leseni ya aviation kabisa. . Ndege sio kama wa daladala jamani. Mi ningemheshimu Mwakyembe (PhD) akija na utafiti kutoka mashirika mengine kama Emirates, 540, Precision, KLM, etc. WAO GHARAMA ZAO ZIKOJE? Data Si zipo? Kwa nini tuongee tetesi? If you think education is expensive try ignorance' likewise, If we think Airline Business is expensive let's try daladala"
 
Kama ni hivi Chizi anachemka kwa kujitetea kwenye magazeti. Naanza kuwa na wasiwasi naye coz naona waandishi wengi wanakimbilia kumtetea badala ya kusubiria akajitetee pale Kisutu mahakamani..
 
Kama mtu anaona USD 200 - 600 kwa unifirm ni kubwa hakuna namna waweza mweleza gharama za uendeshaji wa shirika la ndege akakuelewa. Akijua za mafuta Dar-Mwanza ni millioni 15 atashauri waweke maji.
Jamani uniform za wafanyakazi wa ndege sio mabatiki kama ya dancers. Suti tu ya rubani sio kama za MC. Kuna viwango vinavyotakiwa kimataifa, otherwise chini ya kiwango hata abiria hupati kama sio kunyang'anywa leseni ya aviation kabisa. . Ndege sio kama wa daladala jamani. Mi ningemheshimu Mwakyembe (PhD) akija na utafiti kutoka mashirika mengine kama Emirates, 540, Precision, KLM, etc. WAO GHARAMA ZAO ZIKOJE? Data Si zipo? Kwa nini tuongee tetesi? If you think education is expensive try ignorance' likewise, If we think Airline Business is expensive let's try daladala"

Precision nasikia ilikuwa around 300Mils Tsh.. Lakini wao wana ndege 11 sasa nyie mnangapi?
 
Precision nasikia ilikuwa around 300Mils Tsh.. Lakini wao wana ndege 11 sasa nyie mnangapi?

Kama ni kweli Precision walitumia TZS 300 mil na wana ndege 11 umesema vema. Ila ujue kuwa kuna fixed costs ambazo haziendani na wingi wa ndege. Variable costs ndo zingetegemea idadi ya ndege. Hapa nategemea Mwakyembe angetoa amri kupunguza wafanyakazi ili nguo zinunuliwe chache. Nguo hizo zimenunuliwa kulingana na idadi ya wafanyakazi waliopo. Tunataka kujua ni nani amewaajiri na kama wote wanahitajika. Pia kujua pea ngapi zimenunuliwa na kama kuna ziada, kwa nini? Pia aseme kuna options zingine za kushona mabatiki kama sheria za usafiri wa anga zinaruhusu. This is what we want to hear from a PhD holder.
 
Hakuna hapa anayemtetea Chizi bali nina pinga njia zilizotumika kumfukuza!Sheria za kazi zinasema wazi kabisa njia zinazopaswa kufuatwa ili kumfukuza mfanyakazi!Dr Mwakyembe hajasema kama bodi ya udhamini ya ATC ilimuita Chizi kumsomea makosa yake then kumpa nafasi ya kujitetea kabla ya kumtimua!

Dr Mwakyembe anaingiza siasa kwenye ajira za serikali!
 
Hata kama hivyo ndivyo alivyosema, bado kuna tatizo kubwa sana hapo.

USD 18,000 X 1500=Tsh. 27,000,000 kwa unifomu moja! Milioni 27 kweli kwa nguo moja?

Hajaweza bado kuniweka kwenye kundi la watu wa kumuamini na sana sana ananiongezea machungu tu ya PAYE niliyokatwa mwezi uiopita.

Sasa Wikolo u ve missed everything! Hata hesabu zimekushinda kupiga? nyie ndio mnaoeneza taarifa zisizo rasmi, umeambiwa uniforms ziligharimu U$ 18,000 including za ma-airhostess na pilots, kwamba uniform moja iligharimu kati ya U$ 200-600. Wewe hesabu hizo umezitoa wapi jamani?
 
Hapa hatupo kushinda elimu wewe dada na labda kama hujatembelea JF siku kadhaa zilizopita, huwezi kunielewa. Nukuu kidogo kutoka gazeti la tanzania daima la tarehe 8 inaweza kukusaidia pamoja na hiyo elimu ambayo si ya shule za kata kama yangu.

''Waziri huyo aligusia pia hatua ya baadhi ya maafisa kwenda nchini China na kukaa huko takriban siku 45 kwa ajili ya kusimamia sare za wafanyakazi, jambo ambalo alidai ni ufujaji wa fedha za umma kwa kugharamia sare moja dola 49,900.''

Nilimjibu mleta mada nikitumia nukuu hiyo na si vinginevyo.

Mdau, unajichanganya sasa, unajadili na kufanya reference kwenye gazeti la Tanzania daima lililomnukuu Waziri wakati mada hii inanukuu gazeti la the Gurdian linalokanusha taarifa za waziri kwa kumkariri Bw. Chizi kwamba mambo yamepotoshwa ikiwa ni pamoja na taarifa unazonukuu wewe kwenye gazeti hilo. Rejea mada husika.
 
But Mwakyembe should be very sceptical na huyu katibu wa wizara (Chambo) amekuwa akiche kwenye wizara ya Ujenzi na uchukuzi kwa muda mrefu,asije akamuingiza mkenge.
 
Sacked ATCL bossfaces Mwakyembe
By Florian Kaijage
10th June 2012
. Reveals what transpired before he wasfired

The sacked Air Tanzania Company Limited’s acting chief executiveofficer Paul Chizi yesterday emerged, saying all allegations raised by Ministerfor Transport Dr. Harrison Mwakyembe are false and based on hearsay andulterior motives. Chizi, who spoke for the first time since he was dismissed last week, termed the minister’s accusations against him as malice-driven and unfounded, adding that he saved Sh40 million for his decision to procure uniforms for air hostesses and captains from China. He also clarified the $3 million (Sh4.8 billion) insurance payments from Alexander Forbes, saying the government’s instructions reachedhim on May 22, nearly two weeks after the transaction had been effected throughan ATCL account.

Citing the leasing of a Boeing 737-500 plane which ATCL leasedfrom a Dubai-based firm, Aero Vista, Chizi defended the deal, saying he acted within his mandate as the company’s CEO in sealing what he termed as the ‘bestand fairest’ deal within the aviation industry. “For instance, the issue of uniforms which the minister sayseach cost $50,000 (around Sh80 million). If this statement remains uncorrectedpeople will tend to believe it, but the fact of the matter is that the amount of money used to purchase the uniforms in China late last year was $18,000 onlyout of the stated amount, as the remaining amount was spent on the purchase ofother materials,” stated Chizi.

With regard to claims that the prices of air hostesses’ and captains’ outfits were inflated, the sacked CEO said, “The uniforms cost ATCL only $18,000 and not $49,000 as claimed by the minister.” “The process started by inviting local suppliers to submit theirquotations…we did our calculations and established that local suppliers were more expensive,” he added.

“We finally decided to buy directly from the suppliers in China,and in so doing I saved Sh40 million which would have otherwise been spent if the company procured the uniforms locally,” Chizi elaborated. He addd: “The consignment was of high quality material and we decided to make the purchase in China after drawing conclusions that it was more expensive to buy the required material in Tanzania according to the submitted quotations submitted. In fact, by opting for the Chinese material ATCLsaved about Sh40 million” Chizi, a professional aircraft engineer, said he wondered whythe matter had to be raised after his appointment was nullified while, to his knowledge, the uniforms were purchased towards the end of last year.

“The ministry at that time formed a team to investigate the matter following a letter from an anonymous author. The team was led by one Ekingo Magesa from the Civil Service secretariat and its secretary was the ministry’s deputy director of administration and personnel, Hashim Butara,” hesaid, adding:
“The panel also included the ministry’s chief accountant and former director general of the Tanzania Airports Authority (TAA), ProsperTesha. According to the probe team’s report, everything was properly done. Nowwhere do these new accusations arise from?”

He challenged the ministry of Transport to issue the probe team’s findings and state if they were contrary to what he was saying now,adding that even the Public Procurement Regulatory Authority (PPRA) noted thatthe uniforms’ procurement met the legal requirements and that there was valuefor money.
The material included uniforms for the cabin crew, pilots andfront office staff. A quick survey conducted by The Guardian on Sunday hasestablished that a single full pair of an airhostess’s uniform costs between$200 and $600. PrecisionAir last year imported its airhostess’ uniforms from Hong Kong at a similar price, according to details gathered by this paper.

A reliable source told The Guardian on Sunday yesterday that the airline imported several sets of uniforms for its airhostesses last year from Hong Kong at the cost of between $200 and $600 per set. He said the cost of a set depended on the category of the set,adding that the most expensive category could cost as high as $600 while the lowest cost $200. Referring to the transfer of $3 million paid by insurer Alexander Forbes as part of insurance payment for an aircraft, a BombadierDash-8 which crashed when taking off at Kigoma airport last April, Chizi said the minister misrepresented the matter by stating that the ministry had issued directives to have the money deposited in a different bank account to avoid the money being affected by a court order.

“The truth of the matter is that the ministry directed ATCL to contact Consolidated Holding Corporation (CHC) so as to be provided with bank details about where the money from the insurer was to be deposited, but by the time the directive reached us on May 22 the money had already been deposited by the insurer and there is no way the payment could have been deposited in a different account from that of the aircraft owners – ATCL,” Chizi stated.
He added: “The public should also understand that the said courtorder which would have affected the payment had it been deposited in ATCL’s bank account with Stabic Bank is still controversial because there is a valid court injunction owing to there being other matters to be sorted out betweenATCL and the creditor who sought the court order. However, the money is still intact.”

With regard to sour relations between him and senior ministry officials after the minister accused him of acting without the ministry’s knowledge, he said all the matters the minister pointed out were merely executive. “Administrative matters are quite different from those of a technical or executive nature. There is no way a chief executive could seek approval from the parent ministry about every single matter. “The leasing of an aircraft is a technical matter. What isimportant is to inform them (minister), for if you act the way the ministry wants you to you might end up doing entirely nothing because they do not respond to letters in time on the pretext of attending a series of endless meetings,” he said..

He explained that all decision on technical matters are concludedby the ATCL management, except those which need approval from higher authorities, such as government guarantees. He said in the case of leasing theBoeing 737-500 airliner no guarantee or deposit was needed, adding that it was the best leasing deal the country had ever entered into. “The problem is that there are people who know very little about this industry but they tend to project the image that they know much,” he said..

Chizi’s sacking was announced by the ministry of Transport on June 4 through a statement signed by Permanent Secretary Omar Chambo.
It said he would be replaced by Captain Lazaro Lusajo with immediate effect. According to the PS, Chizi and four other top officials had violated the public procurement Act, apart from the fact that his employment did not follow laid down procedures. The statement read: “Through Act No 8 of 2002 and Public Service Principle No 17(4) of 2003, the minister for Transport has revoked the appointment of the acting ATCL director-general with effect from 5 June.”

The other four directors were suspended on the grounds that their services had threatened the survival of a public entity. They are heads of legal, business,finance and technical departments

Tulinganishe hiyo RED ya Chizi na BLUE ya reliable source. Mh. Chizi hiyo imetoka ikirudi ina pancha. Tujipange kwa wizi mwingine.
 
Back
Top Bottom