Shine
JF-Expert Member
- Feb 5, 2011
- 11,481
- 1,364
Aliyekuwa mtendaji mkuu wa Atcl ameibuka na kusema kwamba Dr Mwakiembe alidanganya umma kutokana taarifa alizopewa kuwa ni za uongo na zisizokuwa na ukweli wowote.Kwa mfano uniform ziligharimu dola 18,000 tu na sio dola 50,000 kama alivyosema mwakiembe, Bwana chizi alisema pia tatizo ni kwamba kuna watu hawajui chochote kuhusu sekta ya anga lakini wanajiganya kuwa wanajua mbele ya umma.
Chanzo: The Guardian on Sunday
Kuna mambo mengine hayaitaji hata kujua mambo ya anga kama kukodisha ndege pasipokujulikana na wausika wa serikali, ndege moja kuwa na wafanyakazi zaidi ya 200, huyu atakuwa alikuwa akinufaika kwa njia flani ndo maana inamuuma na pia hizo uniform si zitakuwa na rekord ktk matumizi? Basi hesabu likaguliwe then mwongo atajulikana