Namjua Dr Mwakyembe;ni
Mbunge wangu!Watz tujiandae kumlipa Chizi mamilion ya pesa akienda
mahakamani;Dr Mwakyembe ni mtu wa kupenda sifa zisizo na msingi!Yeye na
Magufuli hamna aliyemzidi mwenzake!
Kusitishwa kwa ajira ya mtu kuna utaratibu wake inabidi ufuatwe na sio
kuwaita waandishi wa habari na kutangaza fulani nimemfukuza kazi!Kwa
ufupi Dr Mwakyembe ni abuser mkubwa wa haki za binadam!
Kyela 2015 tumekwisha mkataa na analijua hilo!
kwani hizo dola 18,000 ni kidogo? wakati shirika halina hata ndege moja? Tusiwaonee haya wahalifu kama hawa ni hatari kwa nchi yetu
Sijasoma yote nitasoma baadaye lakini huu ni wizi na uhuni. Amekansha nini sasa hapo kihusu uniform? Anasema hela zingine zilitumika kununua other materials; yapi? Uhuni tu. Hivi angekuwa mbunifu si angewapa wanamitimdo wetu washone nguo zinazofanana fanana na Tanzania badala ya kukimbilia China. Ati CEO hivyo ana mandate; mandate y wizi?
Sasa kama alinunulia chupi za hao wahudumu mlitaka atangaze kuwa chupi zimemgharimu use 20,000?
...Njia rahisi ya kujisafisha weke Payment Receipts with detailed breakdown......don't be like laymanAliyekuwa mtendaji mkuu wa ATCL ameibuka na kusema kwamba Dr Mwakyembe alidanganya umma kutokana taarifa alizopewa kuwa ni za uongo na zisizokuwa na ukweli wowote.
Kwa mfano uniform ziligharimu dola 18,000 tu na sio dola 50,000 kama alivyosema mwakiembe, Bwana Chizi alisema pia tatizo ni kwamba kuna watu hawajui chochote kuhusu sekta ya anga lakini wanajidanganya kuwa wanajua mbele ya umma.
Chanzo: The Guardian on Sunday
Si ajabu anaitwa chizi....utatumiaje dola 18,000 kushona nguo ambazo zaweza shonwa kwa batiki za hapa hapa na hata Millioni 2 isifike.....
Kama aliyekanusha ana ushahidi basi Mwakyembe shule haijamsaidia au nitaamini kuwa hata ukiwa msomi na intergrity yako ukiingia CCM unakuwa juha .
Humu JF tumevamiwa na majuha, ni nani asiyejua ubadhirifu unaofanyika katika sekta ya umma? kitu chaweza kuwa dola 200 lakini kikaandikiwa invoice ya dola 2500 bila aibu, kuna sehemu kwa sekta ya umma mwanzoni mwa mwaka 2000 nilikutana na invoice amboya one of the price ya RJ45 iliwekwa dola 250. Sasa kama unashangaa alichosema Mwakiyembe basi fuatilia hata bajeti zetu uone wanatenga mamilioni mangapi kwa chai na entertainment na kila mwaka hela za fenicha, Chizi mwizi na Mwakiyembe nae mwizi tu, maana mwizi afukuzwi kazi tu na ashitakiwe na kufilisiwa, mshatuona WATZ mabwege sanaaa. Mnakera