Paul Chizzi amuumbua Mwakyembe

Aliyekuwa mtendaji mkuu wa Atcl ameibuka na kusema kwamba Dr Mwakiembe alidanganya umma kutokana taarifa alizopewa kuwa ni za uongo na zisizokuwa na ukweli wowote.Kwa mfano uniform ziligharimu dola 18,000 tu na sio dola 50,000 kama alivyosema mwakiembe, Bwana chizi alisema pia tatizo ni kwamba kuna watu hawajui chochote kuhusu sekta ya anga lakini wanajiganya kuwa wanajua mbele ya umma.
Chanzo: The Guardian on Sunday

Yes, gharama ya uniform ni usd 18,000 lakini mambo yanayoendana na upatikanaji na hizo uniform kwa mfano wale wawili walioenda china wakakaa siku 45 kwa sababu ya hizo uniform walitumia dola ngapi?

kupata gharama ya nyumba sio tu pesa ngapiumelipa kwa cement ila hata ulizomlipa fundi unatakiwa uzijumlishe
 
ingependeza hiyo wizara ya uchukuzi ikaweka public hiyo report ya 'probe team' iliyotajwa na chizi make ndiyo ita-reveal facts zote,OTHERWISE,wachangiaji wa jf wataendelea kuchangia based on partial information na kuishia kuwa biasef
 
Mkuu ninaamini Mwakyembe ameshindwa kazi mwanzo kabisa. Wale ambao wamekua wanapambana kuua ATCL ndio ameungana nao kumsimamisha Chizi.
Angesema nini jana pale cdm square! Anajaribu kukisafisha chama ambacho kilisha oza kabisa cha kutupa.

Anajidahi kuwasafisha alaf wana mpoison.
 
Mimibaba nimekutoa kwenye mada wapi? huyo ndugu yako Chizi kaondolewa sababu kubwa ni uteuzi wake umekiuka taratibu as ni mstaafu analiyelipwa stahili zake plus madudu mengine aliyoyafanya na nduguze, sasa nimekutoa vipi kwenye mada? roll your tongue 7 times kabla hujaanza kulalamika tu
 
Chizi anafahamu sana anachokifanya, ameharibu akubali, aondoke akapumzike.Mwakyembe amezungumzia gharama ya uniforms ni $49,900, tena amesama wazi. lakini chizi kwa usanii wake na huyo mwandishi wanazungumzia bei ya uniform ni $18,000. bei na gharama ni vitu viwili tofauti, sasa sitegemei CEO apindishe tafsiri kati ya bei na gharama.
hao precision air walinunua uniform kwa bei kati ya $ 200 na $ 600 kwa kila mmoja. ATCL hata kama wangenunua kwa bai kama ya precision air, gharama ya ATCL kwa uniform zao bado ni juu , kwani wao (ATCL) walituma wafanyakazi wao kwenda kununua na walitumia siku 45 huko, so maisha yao huko yanaingia ktk gharama ya uniform.je precision air nao walituma watu china kwa siku 45?, kama wangefanya hivyo, si precision air ingeshakufa?. chizi ni mtu mzima ameharibu akubali. baadhi ya waandishi wetu nao ni waandishi uchwara, wana ripoti bila kuchunguza na kutafsiri wanacho ripoti

Hapo wekesha na malipo ya siku 45 na ushee ya wasimamizi wa mashono waliyotumia China, usafiri, malazi,posho ya kujikimu nk
 
Chizzi ni chizi aende zake fisadi mkubwa kwanza alishastaafu mbona hilo halizungumzii kuwa aliwekwa pale kwa maslahi ya kikundi flani cha watu wachache?
 
Chizi, vipi maafisa wawili kkwenda china na kukaa siku45 kusubiri uniform zishonwe, nao ni uongo?
Hata hivyo, usiropoke hovyo, tume itatoa ukweli wa saga nzima.
 
Mwakyembe ana hasira na wale jamaa waliombabua ngozi. Anazimalizia kwa kila anayekutana naye
 
Wakuu, nimejaribu kuyasoma maelezo ya Bw. Chizi, japo lugha iliyotumika inanipa shida sana kuna kitu nimeshindwa kuelewa. Hususan anaposema "the matter is that the amount of money used to purchase the uniforms in China late last year was $18,000 only out of the stated amount, as the remaining amount was spent on the purchase of other materials,” stated Chizi.

Tatizo langu lipo katika hiyo rangi nyekundu, what on earth are these other materials which are not related to the uniforms? and why can't he mention them to justify his cleansing?
Naishia hapo misamiati imeniishia.

Sasa kama alinunulia chupi za hao wahudumu mlitaka atangaze kuwa chupi zimemgharimu use 20,000?
 
kwani hizo dola 18,000 ni kidogo? wakati shirika halina hata ndege moja? Tusiwaonee haya wahalifu kama hawa ni hatari kwa nchi yetu

18,000$ ilitumika kwa kutengeneza jozi ngapi?
 

Nafikiri Mr. Chizi ni chizi kweli, bkoz sioni tofauti ya maelezo yake na Mwakyembe katika sakata hilo. Anasema amenunua hizo uniform kwa $18,000/- lakini hajajumlisha gharama ya walioenda kuzinunua, kuzisafirisha na hicho anachokiita manunuzi mengine yaliyofanywa huko.

Nafikiri, his name fit him well.


Kibanga Msese
 
Huyu chizi amechizika.
Alitaka kukaa kwenye iyo ofisi milele???
Amefanya ubadhirifu katupwa nje, ingekuwa vema tumburuze mahakamani kwa matumizi mabaya ya ofisi ya umma.
 
Kama aliyekanusha ana ushahidi basi Mwakyembe shule haijamsaidia au nitaamini kuwa hata ukiwa msomi na intergrity yako ukiingia CCM unakuwa juha .
Kama ingekuwa imemsaidia angekwenda Jangwani kujidharirisha?
 
Aliyekuwa mtendaji mkuu wa Atcl ameibuka na kusema kwamba Dr Mwakiembe alidanganya umma kutokana taarifa alizopewa kuwa ni za uongo na zisizokuwa na ukweli wowote.Kwa mfano uniform ziligharimu dola 18,000 tu na sio dola 50,000 kama alivyosema mwakiembe, Bwana chizi alisema pia tatizo ni kwamba kuna watu hawajui chochote kuhusu sekta ya anga lakini wanajiganya kuwa wanajua mbele ya umma.
Chanzo: The Guardian on Sunday

Hivi Uniform dola 18000 huyo mtu ana akili... Hizo Unifom ni za Dhahabu? Hata Maige alisema amenunua Nyumba ya Dola 410,000 akiambiwa atupe mchanganuo wake eti ni Mkopo wa 90Mil na CRDB Mil 250... Je Jumla ni dola 410,000? Hizo ni kauli za mfa maji...
 
"Other materials", which are they mr Chizi? Can you put them clear so as to put yourself clean? There is no way out you can escape this scandal!! Mmezidi kuiba, tena wezi wakubwa! Atcl mnapewa hela na serikali kila mwaka, hakuna mabadiliko yoyote, kwanini msifukuzwe nyie "takataka"?? We are fedup of you!!! Usilalamike, kama huna hatia itajulikana. Unajitetea kwenye media, kuna mahakama kule? Tulia kama inakuuma sana kufa ukwepe kesi.
 
Nashindwa kuelewa sijui unakuwa na maana gani katika hii thread.
Nafikili tatizo letu kuu Watanzania kwa sasa tumelewa na upenzi wa siasa za makundi mpaka tunasahau uzalendo.
Please, Tujalibu kutanguliza Uzalendo kwenye maswala kama haya muhimu kitaifa.
Kwanza, Huyu Paul Chizi anaonekana ni jinsi gani asivyojua hali halisi ya maisha ya wananchi nchini. Anaona kama $18,000 ni pesa kidogo kwa ununuzi wa nguo wakati ni zaidi ya millioni 28. Pili, Anafikili watu nchini bado ni wajinga katika maswala ya kitaifa kwa kulia kama ameonewa wakati ATCL miaka yote imeshindwa kujiendesha kibiashara.
Please Makupa, We have to learn to appreciate and avoid political party lines.



Aliyekuwa mtendaji mkuu wa Atcl ameibuka na kusema kwamba Dr Mwakiembe alidanganya umma kutokana taarifa alizopewa kuwa ni za uongo na zisizokuwa na ukweli wowote.Kwa mfano uniform ziligharimu dola 18,000 tu na sio dola 50,000 kama alivyosema mwakiembe, Bwana chizi alisema pia tatizo ni kwamba kuna watu hawajui chochote kuhusu sekta ya anga lakini wanajiganya kuwa wanajua mbele ya umma.
Chanzo: The Guardian on Sunday
 
Jamani hata mwenyewe Mr Chizi anajua thamani ya pesa haifanani na nguo zenyewe sema tu pesa zingine wameziweka kwenye a/c zao huo ndo ukweli ambao mfanyakazi hasa wa serikali unaujua.Sema tu damu hazikuendana na mwakyembe au alimnyima mgao bosi wake manake mwakyembe sio mgeni wa mambo haya.Ushauri kwa Chizi siku nyingine kula na wakubwa wako
 
Hivi kwanini asiweke hilo file la tender hadharani tuone watanzania walileta mahesabu ya kiasi gani ili kuondoa utata,
Ofisi yetu huwa tuna chapa vitabu Ujerumani na India na wakati mwingine SA,tena kwa kupitia mtandao tu,na vina tufikia mpaka mlangoni bila hata mtu kwenda huko ughaibuni.
Sasa huyu Chizi kawa chizi kama Maige.

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
Ukishakuwa fisadi bana na akiri zinahama. Yaani huyu Chizi anaona USD 18,000 ni pesa ndogo - kwa vile vitenge vilivyogeuzwa kwa Uniform??.
 
kwani hizo dola 18,000 ni kidogo? wakati shirika halina hata ndege moja? Tusiwaonee haya wahalifu kama hawa ni hatari kwa nchi yetu
Huyu chizi sasa anajibu kama chizi sasa hiyo dola 18,000 ni ndogo?? kwani wangeshona hizo uniform nchini isingewagharimu hela yote hiyo. Aache kutapatapa ukweli ndio huo watu kama hawa fukuza kazi peleka mahakamani filisi kila kitu warudi vijijini kulima KILIMO KWANZA kinawafaa sh....waini!
 
Back
Top Bottom