Sober
JF-Expert Member
- Jun 6, 2008
- 289
- 52
Talk of Day Dreaming!...."Kutokana na mambo yanavyokwenda inabidi na rais pia ajiuzuru ili kupisha haki itendeke kwa kila anayeusika,kama alinyofanya mbeki baada ya kushutumiwa kua anaingilia mwenendo wa kesi ya zuma.lakini kwa kiasi kikubwa kikwete hizi kesi zote zinamgusa kwa namna moja au nyingine,hivyo ili haki iweze kupatikana ni lazima na yeye hajiuzuru ktk hili."