ukitaka kumjua mtu kama una numbe ni rahisi voda unatumia huduma ya m-pesa unaweka number hiyo then kiasi una exceed amount iliyokwenye account yako then itakupa ujumbe wa kushindwa kufanyika kwa transaction na jina la ile number
Tigo na Airtel cjajaribu.
Upo sahihi kabisa, pata namba ya simu kwa mtu unayemjua jina halafu kumbe unauliza kama unaweza kupata namba ya simu!YAANI ... Kichwa vcha habari na habari yenyewe tofauti......... MI nilidhani unatupa hiyo teknohama ya kufanya hilo jambo...... KUMBE WEWE UNATAKA TUKUPE