Aha aha ahaaaa. Watu wamekalia viti vya chuma,lakini Papa Mukulu kakalia Executive chair! Kweli hela mbaya.First person on the right..........
Hawa mapaapaaa kila nchi wapo na wanajulikana, kuwanail ni ngumu sana maana wanakuwa wanashirikiana na mitandao ya polisi katika harakati zao
Soma taarifa za kipolisi, Italy,German na US nadhani hapa TZ huyu kafilisika hastahili tena ulinzi, pole zake
Aha aha ahaaaa. Watu wamekalia viti vya chuma,lakini Papa Mukulu kakalia Executive chair! Kweli hela mbaya.
Halafu Hilo Pambe lenye tai ya purple MKE wake kalipa muda wa kujiachia(curfew) mpaka saa 4:00 usiku, hapo ni saa 9:50 usiku ndio maana Lina majonzi kuziacha pombe za bure..
Hilo Pambe la kulia kwa Boss imebidi livae na kibanio cha purple kabisa kumfurahisha Mkulu Chuma ya Reli.
Hili shati linaloonekana mkono wa kushoto kwa Papaa linafanana na la Ahmed Msangi kwenye moja ya picha zilizo humu JF.
Mkuu nimefurahishwa sana na anlysis yako kuna mtu humu nilimuuliza kama anajua tofauti ya conman na Gangster na nadhani hakunielewa...Papaa hana guts za kumuua mtu hata kidogo..Ila massawe(Carlos) anazo,tena in a second....he order and you are down...Huyo mtu wa pili polisi wanamtafuta ni Alex Massawe (Carlos), yeye ndiye alimuuzia nyumba Papa Msoffe baada ya kuwa imewekwa rehani na marehemu. Pamoja na kwamba marehemu alikuwa tayari kurudisha pesa pamoja na interest walioyokuwa wamekubaliana na Massawe lakini Carlos alikataa na kuuza kwa Msoffe. kitu kinachomuunganisha Msoffe na tuhuma hizi ni vitisho alivyokuwa akimpa marehemu ili atoke kwenye nyumba aliyokuwa ameuziwa. Naamini Carlos ndiye aliyefanya mauaji haya, kwake yeye hakuna kinachoshindikana lakini kwa Msoffe hana ujasiri huo- yeye ni tapeli lakini sio jambazi tofauti na mwenzie.
Na kwa tetesi ni kuwa Carlos alinusa taarifa akatambaa bondeniHuyo mtu wa pili polisi wanamtafuta ni Alex Massawe (Carlos), yeye ndiye alimuuzia nyumba Papa Msoffe baada ya kuwa imewekwa rehani na marehemu. Pamoja na kwamba marehemu alikuwa tayari kurudisha pesa pamoja na interest walioyokuwa wamekubaliana na Massawe lakini Carlos alikataa na kuuza kwa Msoffe. kitu kinachomuunganisha Msoffe na tuhuma hizi ni vitisho alivyokuwa akimpa marehemu ili atoke kwenye nyumba aliyokuwa ameuziwa. Naamini Carlos ndiye aliyefanya mauaji haya, kwake yeye hakuna kinachoshindikana lakini kwa Msoffe hana ujasiri huo- yeye ni tapeli lakini sio jambazi tofauti na mwenzie.
Waambie waje wanione Kongosho...ila zamu hii mimi itabidi nile kwao. Mtu ya watu ananyea debe sasa tutafanyaje.
Mkuu nimefurahishwa sana na anlysis yako kuna mtu humu nilimuuliza kama anajua tofauti ya conman na Gangster na nadhani hakunielewa...Papaa hana guts za kumuua mtu hata kidogo..Ila massawe(Carlos) anazo,tena in a second....he order and you are down...
kama kuna mtu naamini Massawe ni powerful and ruthless kuliko Msofe mara Kumi...Nimewahi kusikia mzee kipindi chake aliwahi kuwa Hitman wa Serikali...
Mkuu nimefurahishwa sana na anlysis yako kuna mtu humu nilimuuliza kama anajua tofauti ya conman na Gangster na nadhani hakunielewa...Papaa hana guts za kumuua mtu hata kidogo..Ila massawe(Carlos) anazo,tena in a second....he order and you are down...
kama kuna mtu naamini Massawe ni powerful and ruthless kuliko Msofe mara Kumi...Nimewahi kusikia mzee kipindi chake aliwahi kuwa Hitman wa Serikali...
Huyo mtu wa pili polisi wanamtafuta ni Alex Massawe (Carlos), yeye ndiye alimuuzia nyumba Papa Msoffe baada ya kuwa imewekwa rehani na marehemu. Pamoja na kwamba marehemu alikuwa tayari kurudisha pesa pamoja na interest walioyokuwa wamekubaliana na Massawe lakini Carlos alikataa na kuuza kwa Msoffe. kitu kinachomuunganisha Msoffe na tuhuma hizi ni vitisho alivyokuwa akimpa marehemu ili atoke kwenye nyumba aliyokuwa ameuziwa. Naamini Carlos ndiye aliyefanya mauaji haya, kwake yey Mkuu inaonekana unamfahamu vizuri papapa na Ally Kitobo ni yupi hapo kwenye picha maana nasikia ni mpambe wake mkuu
Papaa Msofe ni tapeli mmoja maarufu sana ndani ya jiji la Dar na vitongoji vyake. Kimsingi dola ya Tanzania kaiweka viganjani mwake.
Mihuri ya Ikulu na wizara mbalimbali kwake utapata...na akishakufanyia utapeli,nenda kashitaki popote wala hutapata haki maana ni mmoja kati ya wale watanzania wachache walio juu ya sheria
Hizi thread nyingine ni za watoto wa mjini, wewe kama unaishi Mpitimbi hapa huwezi kuelewa kitu. kwanza hujawahi hata kuingia kwenye show ya Ngwasuma unategemea Msofe utamjulia wapi? hawa watu hawatembei mitaani kwenye juwa kali.Msofe ndo nani?