Kwa kweli Alex Massawe ni kati ya watu ambao hawana hata tone ya huruma panapokuja kwenye suala la pesa- kuna story moja kwamba moja ya nyumba zake alizokuwa nazo kariakoo alimlipa mzee mwenye nyumba pesa mida ya jioni akijua fika mzee wa watu hawezi kwenda benki- ilipofika usiku wakatumwa watu kwenda kuchukua zile pesa, mzee akawa ameuza nyumba bure!!! Asubuhi ilipofika Alex Massawe alifika kumtoa mzee wa watu kwenye nyumba kwa sababu alikuwa na mikataba yote halali.
First person on the right..........
Aha aha ahaaaa. Watu wamekalia viti vya chuma,lakini Papa Mukulu kakalia Executive chair! Kweli hela mbaya.
Halafu Hilo Pambe lenye tai ya purple MKE wake kalipa muda wa kujiachia(curfew) mpaka saa 4:00 usiku, hapo ni saa 9:50 usiku ndio maana Lina majonzi kuziacha pombe za bure..
Hilo Pambe la kulia kwa Boss imebidi livae na kibanio cha purple kabisa kumfurahisha Mkulu Chuma ya Reli.
Hili shati linaloonekana mkono wa kushoto kwa Papaa linafanana na la Ahmed Msangi kwenye moja ya picha zilizo humu JF.
Aha aha ahaaaa. Watu wamekalia viti vya chuma,lakini Papa Mukulu kakalia Executive chair! Kweli hela mbaya.
Halafu Hilo Pambe lenye tai ya purple MKE wake kalipa muda wa kujiachia(curfew) mpaka saa 4:00 usiku, hapo ni saa 9:50 usiku ndio maana Lina majonzi kuziacha pombe za bure..
Hilo Pambe la kulia kwa Boss imebidi livae na kibanio cha purple kabisa kumfurahisha Mkulu Chuma ya Reli.
Hili shati linaloonekana mkono wa kushoto kwa Papaa linafanana na la Ahmed Msangi kwenye moja ya picha zilizo humu JF.
Hapana huyu ni Legrande Mupao suvereee mwokonzi Papa musofe mutu ya pakee,mutu ya pesa mingi......Ndama mutoto ya ngombe na musofe ni category hyo hyo ya wapigaji(conmen),matapeli wa mujini!
Dah, unajua ni pigo kubwa sana?
Yaani hapa nawaza nikatafuta hata kazi ya kuuza genge.
Ila janmani, mwanamke midhahabu, na mwanamme midhahabu lol
huwa sikuaminiga King Kong III ila katika hili, mh... maana issue lenyewe ndio limeishia!Lakini inawezekana mapolisi wamefanya hivyo hili wapate fedha si unajua mpaka leo tar 33 hawajapewa mshaara? Jamaa kwa kukata hela huyu ni nomaaaaa kuna ndugu yake mwanajeshi wa navy(Mfinanga) alishawahi kuua mtu kwa risasi na pia alishawahi kukamatwa kwa ujambazi lakn papa musofe alikata hela na akamtoa sembuse yeye? Jamaa atatoka tu coz kuna askari wapo kwenye payroll yake!
Sikujua mkuu MatolaHizi thread nyingine ni za watoto wa mjini, wewe kama unaishi Mpitimbi hapa huwezi kuelewa kitu. kwanza hujawahi hata kuingia kwenye show ya Ngwasuma unategemea Msofe utamjulia wapi? hawa watu hawatembei mitaani kwenye juwa kali.
Hujui unaloliongea.Haya magenge ya ki-mafia ya kina papaa msofe na alex masawe kama serikari haina uwezo wa kuyatokomeza kwa nini tusiombe msaada wa kiintelejensia toka CIA, FBI,MOSAD au Scotland Yard kulinusuru taifa na uhalifu wa aina hii.
Lakini inawezekana mapolisi wamefanya hivyo hili wapate fedha si unajua mpaka leo tar 33 hawajapewa mshaara? Jamaa kwa kukata hela huyu ni nomaaaaa kuna ndugu yake mwanajeshi wa navy(Mfinanga) alishawahi kuua mtu kwa risasi na pia alishawahi kukamatwa kwa ujambazi lakn papa musofe alikata hela na akamtoa sembuse yeye? Jamaa atatoka tu coz kuna askari wapo kwenye payroll yake!
tehetehetehetehe umenichekesha kwelikweli huoni hata jina lenyewe .alishaona wapi nyumba inauzwa mara tatu na umeshalipa deni na mtu anakataaa anaiuza tena kwa tapeli mwenzake ili umalizwe khakhaaaaHizi thread nyingine ni za watoto wa mjini, wewe kama unaishi Mpitimbi hapa huwezi kuelewa kitu. kwanza hujawahi hata kuingia kwenye show ya Ngwasuma unategemea Msofe utamjulia wapi? hawa watu hawatembei mitaani kwenye juwa kali.
Hizi thread nyingine ni za watoto wa mjini, wewe kama unaishi Mpitimbi hapa huwezi kuelewa kitu. kwanza hujawahi hata kuingia kwenye show ya Ngwasuma unategemea Msofe utamjulia wapi? hawa watu hawatembei mitaani kwenye juwa kali.