First person on the right..........
[h=2]Papaa Msofe mbaroni kwa tuhuma za mauaji[/h]1st August 2012Jamani tupeni hii habari in details.
Umenifanya nicheke na hiyo signature yako. Ati a very small valley? LOL
Nilidhani kijana naona umri umeanza kumuacha....hatimaye anakuja kunasa uzeeni?? Huyo jamaa kulia kwake ni nani??
jamani leo unamkana brother!?hamna kesi hapo,hawatathubutu kukubali ajitetee maana atawaumbua wengi kutokana na ukaribu wake na jeshi la polisi na serikali, HATMA YAKE ITAKUA MAMBWDPANDE,ooooh brother kamdedisha nani tena aaah sa ntapata wapi ugali wa kilasiku ngoja nikamcheki umwerani migomigo duu kweli malipo ni hapahapa kawaumiza watu weeeeeeeeee sas zam yake.le grand mupao mutu ya pakee duh rest in peaces brother
mkuu hapo kwa alex massawe sidhani kama ni sawa ndio ni marafiki na msofe ila wamekutana juzi tu miaka ya 2006 ila michezo yao tofauti kabisa....Papaa yeye ni conman na swindler while Mzee alex ni Retired Gangster....Da!chuma ya reli haipati kutu papaa musofe...jamaa kawaumiza sana watz wanyonge yeye na Alex Masawe
Hii siyo Case kwa Papaa Msofe take my word. huyu ana access ya kwenda mpaka kwenye vaults za BOT na kuwaonesha Wazungu kwamba zile dhahabu zote ni mali yake.
Polisi hawa wa Ulimboka hawana ubavu wa kumfanya lolote huyu jamaa, kama humjui Msofe kutana na wapambe wake kwanza utadhani umekutana na Matajili sembuse King maker mwenyewe. acha kabisa.[/QUOTE ]
...Mkuu Mhalifu ni Mhalifu tu. Tusimpe sifa zisizostahili kwa sababu hakuna marefu yasiyokuwa na ncha. Kuna siku kila kitu lazima kifike Mwisho. Wako wapi kina Al Capone? Hata hapa Bongo mbona walikuwepo wahalifu wa kimataifa waliokubuhu lakini mwisho wa siku Walivaa pingu?? Anaweza akaepuka hata hili lakini Pingu zake zipo mahali zinamsubiri. Mark ma Words!