Paji la uso na siri ya jicho la tatu

unaweza usiamini lakini ndivyo ilivyo yule dada aliniambia naomba iwe siri yako usije ukamwambia boy friend wangu wanaishi japo hawajafunga ndoa,na mpaka kukubali kwamba ni kweli maana sio siri ni uchafu nilioona kwenye ndoto,yan nilionyeshwa kila kitu alichopitia na madhara yaliyomtokea na nn hatima yake,kitu chakumsikitikia she can no longer conceive,na yeye mwenyewe amenithibitishia tayari ameshatembea hospitali nyingi sana ameambiwa vivyo hivyo.
 
Jicho la tatu (third eye) ni imani ya madhehebu ya hindu na budha kama ilivyo kwa Kristo na imani yao kwa ujio wa Yesu Kristu. Hivyo, jicho la tatu huhusishwa na kutafakari (medidate).

Ukilala chali unauwezesha ubongo kutulia tuli, kama maji mtungini, hapo ndipo unazamia kwenye dimbwi la mawazo pasipo bughudha, mfano wa mtu anaye "medidate". "Medidation" hufanyika kwenye eneo lilotulivu kabisa.

Mawazo ya Mshana Jr (asante kwa bandiko lako) ni kueneza 'dhana ya kiroho'. Harakati za kiroho zina njia ndefu kueleweka kabla haijatulia. Bado kuna wanadamu wengi ambao hawajakomaa kifikra kuweza kuunganisha uelewa wa msingi wa dhana ya kiroho. Kwa hiyo ni rahisi kujitumbukiza kwenye dhana hiyo kama tunavyowashabikia wanasiasa.

Asante Mshana Jr japo nawe hukulirahisisha bandiko lako wala kuliweka wazi kwamba ni la kiimani zaidi kuliko sayansi.
you are completely right my friend,isipokua most of the explainations are based on scientific evidances but this is spiritual power,yaani hapa ndipo mahali ambapo hata mwanasayansi mwenyewe anakubali kwamba kuna mungu.
 
NA HII IPOJE HII YANI MKE WANGU HATA ALALE KWA TUMBO YAAN KIFUDIFUD LAZIMA ATAJIKUTA AMELAZWA CHALI YANI LAZIMA,YANI KWA MAELEZO YA MAMA MKWE TANGU AKIWA MDOGO ALIKUA HIVYO WAKIMLAZA KIUBAVU AU KIFUDIFUDI WANAKUJA KUMKUTA AMELAZWA CHALI,NISAIDIE HAPA
Ana mawasiliano na dunia ya rohoni inayokinzana na ulalo wake kwahiyo kuna jinsi anayotakiwa kulala ambayo ndio hiyo
 
Jamani mimi nimejiunga JF kwaajiri ya kueleza vitu kama hivi maana nimegundua kuna nguvu fulani ambazo nimejaaliwa na mungu ambazo sijui ilikuaje.Katika mada hii naongezea ni kwamba jicho la tatu ni jicho la roho ambalo hutumika zaidi wakati mtu akiwa amelala ndio maana kuna wakati mtu hua anaota anatizama kitu fulani.Macho haya mawili tunayotumia tukiwa macho ni kwaajiri ya mwili unapokua na fahamu tu,lakini jicho la tatu utaendelea kulitumia zaidi baada ya kifo
Maelezo yako ni sahihi Kabisa
 
Thanks!Ndugu mshana kuna watu wanapuuzia sana vitu vya msingi ambavyo kuvidharau kwao kunawakosesha manufaa makubwa sana.Ingia kwenye jamii intelligence fungua uzi wangu wa siri ya rupia na baraka za mungu,swala la dini yangu usiliangalie kwani inawezekana ukawa upande wa pili.Binadamu ni kiumbe cha ajabu sana
 
you are completely right my friend,isipokua most of the explainations are based on scientific evidances but this is spiritual power,yaani hapa ndipo mahali ambapo hata mwanasayansi mwenyewe anakubali kwamba kuna mungu.
Uwepo wa Mungu ni imani kwa sasa kwa sababu sayansi haijaweza kupenya huko.

Kwa kutumia "jicho la tatu" inawezekana kumwona Mungu hata kuongea naye. Hii inatokana na kuunganisha uliyoyasikia na kuona, yakahifadhiwa kwenye ubongo, kutokana na fikra sadikika ukajenga taswira ya Mungu na makazi yake mbinguni.

Watu waliokufa kimwili, kwa muda mrefu, wanapozinduka huja na hadithi nyingi zikewemo za kufika mbinguni. Nakumbuka hata mimi niliugua sana na homa kali, katika siku 3 niliijiwa na ndoto nyingi tu zikiwemo za kuongea na ndugu waliotangulia mbele ya haki.

Labda itakuja siku sayansi itatufunulia mbinguni. Kwenye sayansi hakuna isilowezekana.
 
jicho la tatu linafanya kazi jamani ila ndio hivyo ni kwa wachache sana.ukweli siwafichi it is something real kabisa ambacho even at this point naongea hapa nimetoka kumsimulia mtu maisha yake ya mahusiono yakimapenzi tangu alivyoanza kujihusisha nayo mpaka sasa na simfahamu wala nn yeye wa mwanza mim wa dsm tulikutana tu chuo,nikaonyeshwa usiku yani full tamthilia ndugu zangu.
Ina maana wewe una talent ya kutabiri, nitabirie na mimi mkuu!
 
Thanks!Ndugu mshana kuna watu wanapuuzia sana vitu vya msingi ambavyo kuvidharau kwao kunawakosesha manufaa makubwa sana.Ingia kwenye jamii intelligence fungua uzi wangu wa siri ya rupia na baraka za mungu,swala la dini yangu usiliangalie kwani inawezekana ukawa upande wa pili.Binadamu ni kiumbe cha ajabu sana
Weka link, nimejaribu siipati
 
Uwepo wa Mungu ni imani kwa sasa kwa sababu sayansi haijaweza kupenya huko.

Kwa kutumia "jicho la tatu" inawezekana kumwona Mungu hata kuongea naye. Hii inatokana na kuunganisha uliyoyasikia na kuona, yakahifadhiwa kwenye ubongo, kutokana na fikra sadikika ukajenga taswira ya Mungu na makazi yake mbinguni.

Watu waliokufa kimwili, kwa muda mrefu, wanapozinduka huja na hadithi nyingi zikewemo za kufika mbinguni. Nakumbuka hata mimi niliugua sana na homa kali, katika siku 3 niliijiwa na ndoto nyingi tu zikiwemo za kuongea na ndugu waliotangulia mbele ya haki.

Labda itakuja siku sayansi itatufunulia mbinguni. Kwenye sayansi hakuna isilowezekana.
...watu waliokufa kimwili kwa muda mrefu wanapozinduka...! Very very crucial point nimeipenda hii
 
Ina maana wewe una talent ya kutabiri, nitabirie na mimi mkuu!
ndugu haya mambo nadhani yapo kiimani zaid yani ni kama mafunuo flani (revelations)unaonyeshwa na mara nyingi ni kwa jamii uliyokaribu nayo sana,kama unachekigi season nenda kagoogle believe ni season inayoonyesha how the super natural power can function in human body base sana kwenye matukio ambayo boo adams aliepusha jamii yake.
 
ndugu haya mambo nadhani yapo kiimani zaid yani ni kama mafunuo flani (revelations)unaonyeshwa na mara nyingi ni kwa jamii uliyokaribu nayo sana,kama unachekigi season nenda kagoogle believe ni season inayoonyesha how the super natural power can function in human body base sana kwenye matukio ambayo boo adams aliepusha jamii yake.
Ahsante sana kwa ushauri wako mkuu
 
Kaka mshana hii kitu nshawahi kui activate.Please kaka hii ilmu usiitoe ishia hapo hapo.Nlipata shida mimi.Yan ukimcheki mtu hv waona jana yake...hata kesho na siku zinazofata kwake.
Viumbe visivoonekana na viona live(utaniuliza najuaje kwamba havionekani,lkn mda mda huo mtu uko very hyper sensitive wajua ambayo hata havi elezeki.
 
Kaka mshana hii kitu nshawahi kui activate.Please kaka hii ilmu usiitoe ishia hapo hapo.Nlipata shida mimi.Yan ukimcheki mtu hv waona jana yake...hata kesho na siku zinazofata kwake.
Viumbe visivoonekana na viona live(utaniuliza najuaje kwamba havionekani,lkn mda mda huo mtu uko very hyper sensitive wajua ambayo hata havi elezeki.
Mimi nakupata vema sana labda kwa wengine inaweza kuwa shida kidogo
 
Kingo hiki kinachoitwa forbidden knowledge ndio elimu adhimu inayoendesha dunia
Elimu ya ufunuo elimu yenye kupenya upeo wa kawaida wa maono ya kidunia na kibidanamu
Elimu ya kiitelejensia yenye alama ya kuhoji kwenye kila kitu bila kujali udogo au ukubwa wake...elimu isiyo na ithibati za kisayansi lakini yenye kutoa matokeo ya kushangaza
Duuuh
 

Similar Discussions

170 Reactions
Reply
Back
Top Bottom