cheusimangala
JF-Expert Member
- Feb 27, 2010
- 2,585
- 497
Hili neno ORIGINAL naona wabongo wameamua kulichakachua.Ninamaanisha kwamba,mara nyingi utasikia mtu anakwambia nenda duka fulani wale wanauza lace wig au brazillian hair original.
Kusema ukweli mim naona kama wadada wengi wakibongo hawajui wanachokiongea hasa kwenye maswala ya vipodozi,nywele na human hair.
Vitu kama MAC make ups,brazillian hair na designer pieces kama nguo viatu na mabegi vinapendwa sana na wadada wa kibongo sababu wamesikia viko juu na watu wenye pesa zao wanavitumia hivyo na yeye anapokua navyo anajiona yuko juu.
Ila ukweli ni kwamba hivi vitu vyote mtu ukinunua bongo ni fake,copy kutoka china na thailand.Kama hizo nywele nyingi zinakua zina quality nzuri na zinaonekana kama real human hair lkn ni fake,mtu huwezi kununua brazilian hair ya kutosha kichwa kizima ya ukweli kwa laki 3,watu tunatoa hadi milion mbili kwa hizo nywele za ukweli halafu mtu anakupitia na vya kwake vimekakamaa anakwambia ni original,how come.
Unakuta mtu kavaa loubs kanunua elfu themanini za kikwete anadai ni original.
Ila sio wadada tu hata mabrazameni,wanashobokea sana vitu vyenye majina lkn ni aibu mtu kapiga mtisheti wa YSL mbwembwe nyingi halafu hata bila kuulizwa atakwambia original hii nimenunua elfu sittini,za kikwete,hii si aibu jamani,maana yaani unajua tu kaka wa watu hata hajui ukubwa wa hilo jina fake alilovaa.
Mi naona ni vizuri kuacha kusema copy za big brands kuwa ni original wakati zimefyatuliwa hapo Thailand.Vile vile kwenda na fasheni sio lazima kuvaa big names wakati uwezo wa kupata original haupo,kuliko kuvaa immitations huku wanaojua vya ukweli vikoje wakitusanifu ni bora kuvaa vitu ambavyo havina majina lkn ni vizuri.
Kama hujaipenda mada yangu gonga like.
Kama umeipenda usinipe like.
Love u all.
Kusema ukweli mim naona kama wadada wengi wakibongo hawajui wanachokiongea hasa kwenye maswala ya vipodozi,nywele na human hair.
Vitu kama MAC make ups,brazillian hair na designer pieces kama nguo viatu na mabegi vinapendwa sana na wadada wa kibongo sababu wamesikia viko juu na watu wenye pesa zao wanavitumia hivyo na yeye anapokua navyo anajiona yuko juu.
Ila ukweli ni kwamba hivi vitu vyote mtu ukinunua bongo ni fake,copy kutoka china na thailand.Kama hizo nywele nyingi zinakua zina quality nzuri na zinaonekana kama real human hair lkn ni fake,mtu huwezi kununua brazilian hair ya kutosha kichwa kizima ya ukweli kwa laki 3,watu tunatoa hadi milion mbili kwa hizo nywele za ukweli halafu mtu anakupitia na vya kwake vimekakamaa anakwambia ni original,how come.
Unakuta mtu kavaa loubs kanunua elfu themanini za kikwete anadai ni original.
Ila sio wadada tu hata mabrazameni,wanashobokea sana vitu vyenye majina lkn ni aibu mtu kapiga mtisheti wa YSL mbwembwe nyingi halafu hata bila kuulizwa atakwambia original hii nimenunua elfu sittini,za kikwete,hii si aibu jamani,maana yaani unajua tu kaka wa watu hata hajui ukubwa wa hilo jina fake alilovaa.
Mi naona ni vizuri kuacha kusema copy za big brands kuwa ni original wakati zimefyatuliwa hapo Thailand.Vile vile kwenda na fasheni sio lazima kuvaa big names wakati uwezo wa kupata original haupo,kuliko kuvaa immitations huku wanaojua vya ukweli vikoje wakitusanifu ni bora kuvaa vitu ambavyo havina majina lkn ni vizuri.
Kama hujaipenda mada yangu gonga like.
Kama umeipenda usinipe like.
Love u all.