themagnificient
JF-Expert Member
- Dec 13, 2016
- 988
- 3,318
Kwa miaka 6 kumekuwa na vitu vinaitwa Whatsapp Gb,Yo Whatsapp ,Gb instata na nyinginezo ambazo mtu anatumia na kuweza kupata access ya hiyo.mitandao sema anakuwa anapata vionjo vingi ambavyo havipo kwenye original vision ya whatsap iliyo Google play
Ila kipindi cha hivi Karibuni Whatsap wamekuwa wakzipiga Life ban namba ambzo zimebainika zinatumia whatsapp gb na nyinginezo,wengi sana wameshafungiwa
Ila swali nalijiulizaga Je ni nani ambae anahusika kutengeneza hizi fake whatsapp ambazo zinaacses moja kwa moja na acconunts za Whatsapp, Kama ni Rahisi mtu kujitengenezea fake app ya whatsapp na anaweza kuacess moja kwa moja kwenye whatsapp basi Hata CRDB,NMB,MPESA,TIGOPESA APP wahuni wangezitengeneza alafu tungekuwa tunaweza kuaccess kwenye account zetu lakini ni kitu ambacho ni impossible
Sasa nachokiona mm inawezekana whatsapp wanajua huu mchezo or ni wenyewe wanahusika
Ila kipindi cha hivi Karibuni Whatsap wamekuwa wakzipiga Life ban namba ambzo zimebainika zinatumia whatsapp gb na nyinginezo,wengi sana wameshafungiwa
Ila swali nalijiulizaga Je ni nani ambae anahusika kutengeneza hizi fake whatsapp ambazo zinaacses moja kwa moja na acconunts za Whatsapp, Kama ni Rahisi mtu kujitengenezea fake app ya whatsapp na anaweza kuacess moja kwa moja kwenye whatsapp basi Hata CRDB,NMB,MPESA,TIGOPESA APP wahuni wangezitengeneza alafu tungekuwa tunaweza kuaccess kwenye account zetu lakini ni kitu ambacho ni impossible
Sasa nachokiona mm inawezekana whatsapp wanajua huu mchezo or ni wenyewe wanahusika