ooooh my ni ngumu kuamini lakini.....

Best hii siyo sababu kubwa ila tatizo letu wanaume tunapenda sana varieties, hata kama mkeo angekuridhisha bado utakuta wengine wanakwenda nje eti kisa ''ya wizi tamu'' jamani ni tamaa tu. Sasa huyu mwenzetu kakimbilia kwa barmaid? Jamani hivi kweli kwa wenzetu mliooa, kama mwenzio hakuridhishi, huwezi kumwambia kuwa ''bado'' hadi ukimbilie mtaani, na ukimwambia kwani atakuona mwenye tamaa au? Apumzike kwa amani!


Kaka ukimwambia bado anakuuliza au anasema kama unaona mie sikuridhishi katafute mwingine hapo utafanyaje?sitetei Ungonoriza lkn wakiwekwa ndani mkuu manjonjo mkiwa wapenzi yanaisha kabisa...ni mengi katika ndoa usiseme hivyo mkuu....
 
Ni tukio la kweli ambalo limetokea Juzi hapa nilipo kwa
Kijana mmoja kapoteza maisha kisa penzi ka barmaid
Kijana mwenyewe ana umri kati ya miaka 28 -30 hivi kachomwa kisu bar na kupoteza maisha katika kumgombea Mhudumu
Kijana huyu ameacha mke ana 25 yrs old na mtoto mdogo bado ananyonya- Too sad
Mke analia kwa uchungu na kuuliza maswali yanayouumiza kwa kila mwenye kuyasikia
Mme wangu kweli umekufa unagombea mhudumu wa Bar kwani mie nina kasoro gani jamani ni mapenzi gani nilikunyima ??
Hivi tuwafanyie nini jamani?
crying-eye.jpg

its a sad story but only marehemu and bar maid may have all the answers kwa mfiwa na wadau;

infidelity ni tatizo kwa wengi... lakini ni mpaka mauti yakija ndio inakua drama; personally nadhani hili ni case moja ndogo kulinganisha na maambukizi ya kila siku ya ukimwi yanayotokana na ngono zinazofanyika kwa siri...

HUyo jamaa his journey has ended, je sisi tuliobaki vipi? wake kwa waume tuko poa?

vipi kama huyo jamaa angekua anakula miss, au mke wa mtu... would it make him any better??
 
Mi nadhani kama kweli ulikua serious kumjua mtu kabla ya maamuzi hii haiwezi ikawa ishu....ila kuna kale kamsemo mnacho jifajiri kua ntambadilisha tu!! then inapukua ndivyo sivyo balaa linaanzia hapo!! mara nyingi hii hutokana na kuwa so deep in love!!

wewe Meku kuna tabia unaweza kujipa moyo mtu atabadilika lakini nyingine naha nah nah........
 
Ahsante Mungu kwa kuwa mimi si mlevi.

Sisi wanywaji huwa hatuna tabia hizo. Ukishakamata maji yako ya kutosha unaangalia direction ya kuelekea home. Jinsi ulivyofika nyumbani inakuwa homework ya asubuhi.

Ila wale ambao si wanywaji: My! My! My!
Wanawake nawaonyeni, msije sema sijawaambia hili:
Hakuna mwanaume hatari kwenye ngono kama mtu asiyetumia kileo.
Mnaruhusiwa kukataa, ila msiseme sijawahi kuwaonyeni!

hii ni platinum phrase, mwenye masikio na asikie, mwenye macho na ajionee... ogopa mwanaume anayeshinda nje usiku au hata bar halafu anarudi nyumbani sober, ni soooo sana mazee
 
wewe Meku kuna tabia unaweza kujipa moyo mtu atabadilika lakini nyingine naha nah nah........
Then ukishalijua hilo basi inakua hakuna shida...maana kuna mtu kabla hajaolewa kesha kwaruzana na jamaa yake kila mara kuhusu mademu lakini bado tu ataamua kuolewa...then jamaa akiendelea tabia yake inakua ishu!
 
Then ukishalijua hilo basi inakua hakuna shida...maana kuna mtu kabla hajaolewa kesha kwaruzana na jamaa yake kila mara kuhusu mademu lakini bado tu ataamua kuolewa...then jamaa akiendelea tabia yake inakua ishu!

Kiongozi ndo katika kufikiria kuwa akishaingia kwen ndoa kuna miujiza itatokea! kizazi hiki kuna miujiza tena? hata kakobe kashindwa na watu wa mataifa kina tanesco!
 
hii ni platinum phrase, mwenye masikio na asikie, mwenye macho na ajionee... ogopa mwanaume anayeshinda nje usiku au hata bar halafu anarudi nyumbani sober, ni soooo sana mazee
Mwenye macho haambiwi tazama kiongozi.

Nadhani ujumbe umewafikia inavyotakiwa. Ngoja nicheki na meneja, jana nilitaabika sana, grants zilikatika katikati ya safari.
 
Ni kweli kabisaaa.
Wakishaolewa yale walokuwa wakifanya wakti wa uchumba wanaweka kapuni. Watayafanya vipi na mkosi wa kutoolewa ulikwishatoweka.

hamkosi visingizio hahaha haya tutajirekebisha kama tutaweza kuziba ufa
 
Kiongozi ndo katika kufikiria kuwa akishaingia kwen ndoa kuna miujiza itatokea! kizazi hiki kuna miujiza tena? hata kakobe kashindwa na watu wa mataifa kina tanesco!
Acha tu kiongozi shida inakua hapo!! mambo ya kujifariji hayo!
 
Mwenye macho haambiwi tazama kiongozi.

Nadhani ujumbe umewafikia inavyotakiwa. Ngoja nicheki na meneja, jana nilitaabika sana, grants zilikatika katikati ya safari.

Binamu mbona ulithema uko kwenye kwarezima ?????
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom