Magulumangu
JF-Expert Member
- Jan 7, 2010
- 3,047
- 455
Best hii siyo sababu kubwa ila tatizo letu wanaume tunapenda sana varieties, hata kama mkeo angekuridhisha bado utakuta wengine wanakwenda nje eti kisa ''ya wizi tamu'' jamani ni tamaa tu. Sasa huyu mwenzetu kakimbilia kwa barmaid? Jamani hivi kweli kwa wenzetu mliooa, kama mwenzio hakuridhishi, huwezi kumwambia kuwa ''bado'' hadi ukimbilie mtaani, na ukimwambia kwani atakuona mwenye tamaa au? Apumzike kwa amani!
Kaka ukimwambia bado anakuuliza au anasema kama unaona mie sikuridhishi katafute mwingine hapo utafanyaje?sitetei Ungonoriza lkn wakiwekwa ndani mkuu manjonjo mkiwa wapenzi yanaisha kabisa...ni mengi katika ndoa usiseme hivyo mkuu....