Fidel80
JF-Expert Member
- May 3, 2008
- 21,947
- 4,444
Binamu mbona ulithema uko kwenye kwarezima ?????
Mmmmh kwarezima Bongo huko Jerusalem na Beth. kwenyewe wanazuga kwa kwarezima iwe Bongo!
Binamu mbona ulithema uko kwenye kwarezima ?????
huwa wanasema kuwa wanaume wengi ambao sio walevi wa pombe huwa wanakuwa walevi wa wanawake.sijui kuna kaukweli?hii ni platinum phrase, mwenye masikio na asikie, mwenye macho na ajionee... ogopa mwanaume anayeshinda nje usiku au hata bar halafu anarudi nyumbani sober, ni soooo sana mazee
Hebu niambia huyo muhudumu mzuri kiasi gani mdau nimfuate nifike bei aje chawote.
Hapo sasa tutaelewana.
Somo la kwanza:
UNAAMINI kuwa mwanaume hajaumbwa kwa ajili ya mwanamke mmoja? Unaruhusiwa kudesa kwa wanyama kama utalazimika kujifunza kupitia nature.
Amini Amini Nakuambia!huwa wanasema kuwa wanaume wengi ambao sio walevi wa pombe huwa wanakuwa walevi wa wanawake.sijui kuna kaukweli?
Acha tu kiongozi shida inakua hapo!! mambo ya kujifariji hayo!
Binamu mbona ulithema uko kwenye kwarezima ?????
Labda wifi aje kutupa maelezo
huwa wanasema kuwa wanaume wengi ambao sio walevi wa pombe huwa wanakuwa walevi wa wanawake.sijui kuna kaukweli?
Kibaiolojia binadamu ni mnyama.Wanyama wako tofauti wana akili za kinyama ndo maana wanageukana wao kwa wao. Kwa hiyo nyie wanaume niwafananishe na wanyama au???
hilo sio swali, ni jibu kamili tena ulipigie mstari na u-bold na kuweka italics mazee!!huwa wanasema kuwa wanaume wengi ambao sio walevi wa pombe huwa wanakuwa walevi wa wanawake.sijui kuna kaukweli?
huwa wanasema kuwa wanaume wengi ambao sio walevi wa pombe huwa wanakuwa walevi wa wanawake.sijui kuna kaukweli?
Wanaume wengine hatari zaidi kwenye ngono ni hao hapo!Charity mie naona kama kuna ka ukweli ..ukimkuta si mrevi wa Pombe basi wanawake ..
la sivyo awe ameyatoa maisha yake kwa yesu
Hapo ndo napokupendea...............unaona opportunities za biashara kwa haraka sana.Hebu niambia huyo muhudumu mzuri kiasi gani mdau nimfuate nifike bei aje chawote.
TATIZO HAPA,NI KUMUACHA MPENZI WAKO MYUMBANI,KWANINI ABAKI HOME? SI NI MKEO?/MPENZI? FAIDA ZA KUMWACHA SHEMEJI HOME NI NYINGI KULIKO HASARA JARIBU UTAJIONEA MWENYEWE,. HAPA HAKUNA CHA YA WIZI TAMU AU NINI,TATIZO LIPO KICHWANI MWAKO.DADA MMOJA ALISEMA; '' wanaume mtamaliza mabucha nyama ni ileile''.Best hii siyo sababu kubwa ila tatizo letu wanaume tunapenda sana varieties, hata kama mkeo angekuridhisha bado utakuta wengine wanakwenda nje eti kisa ''ya wizi tamu'' jamani ni tamaa tu. Sasa huyu mwenzetu kakimbilia kwa barmaid? Jamani hivi kweli kwa wenzetu mliooa, kama mwenzio hakuridhishi, huwezi kumwambia kuwa ''bado'' hadi ukimbilie mtaani, na ukimwambia kwani atakuona mwenye tamaa au? Apumzike kwa amani!
Wanaume wengine hatari zaidi kwenye ngono ni hao hapo!
Nilikuwa nausoma mchezo! Sina la kusema ila mada nzuri! IMECHANGAMKA, FL1 umeleta balaa.