Losambo
JF-Expert Member
- Nov 8, 2011
- 2,612
- 864
Wana JF nimesikiliza sana utetezi wa waziri Nundu kupitia ITV alipokuwa ameitisha press conference Dodoma nimegundua utetezi wake ni dhaifu na hautoshi kukwepa kumuwajibisha!!!
Anasema hana uhusiano mzuri na naibu waziri wake, eti naibu waziri wake alikuwa anajifanyia ya kwake bila ya yeye kujua!!!!!
Kwa jinsi alivyojitetea ni wazi hana siri na shinikizo hilo limemchangana.
Naomba kwa ambao mmesikia sijui kama mmemuelewa?
Ningelikuwa JK ningemfuta kazi kwa jinsi alivyojidhalilisha yeye mwenyewe na serikali yake kwa ujumla!!!!
Nawasilisha.
Anasema hana uhusiano mzuri na naibu waziri wake, eti naibu waziri wake alikuwa anajifanyia ya kwake bila ya yeye kujua!!!!!
Kwa jinsi alivyojitetea ni wazi hana siri na shinikizo hilo limemchangana.
Naomba kwa ambao mmesikia sijui kama mmemuelewa?
Ningelikuwa JK ningemfuta kazi kwa jinsi alivyojidhalilisha yeye mwenyewe na serikali yake kwa ujumla!!!!
Nawasilisha.