Omari Nundu: Sioni sababu ya kujiuzulu

ndo muda alioona ni muafaka, ila strategically amekosea sana manake amekubali kuwauza wenzake ili yeye ahurumiwe, bila kutafakari kuwa anajiweka mtegoni zaidi.. Kwa kifupi ameshakiri kuwa wizarani kwake kuna mapungufu.

Kama waziri anashindwa kujieleza kiufasaha tena kwa lugha ya kwetu je kujibu maswali kweli ataweza? Anakuja na mambo ambayo hatujahitaji kwa kipindi hiki, kama naibu waziri amemzidi kete na ameshindwa kumuwajibisha ni shauri yake.

Anapaswa kujiuzuru kwa sababu kama mbili,

1.0 Hana uwezo wa kutumia madaraka yake ipasavyo.

2.0 Hana maadili ya kazi yake.
 
Ha ha ha ujenzi wa Mnara wa babel,, kila mtu na lugha yake,,! Ukweli utajulikanaaa...!!
 
Kama alijua kwanini hakuchukua hatua, hata kama hana mamlaka ya kumwajibisha kulikuwa na jambo la ziada na la muhimu, kwa kutoa taarifa kwa mteule wake.
Hakuonyesha hivyo, anastahili kuwajibika asimlaumu mtu.

Kesho tutarajie kusikia tuhuma nzito kutoka kwa Mfutakamba dhidi ya Nundu. Tutarajie kuangalia Comedy
 
Anapaswa kujiuzuru kwa sababu kama mbili,

1.0 Hana uwezo wa kutumia madaraka yake ipasavyo.

2.0 Hana maadili ya kazi yake.
kwa kifupi amedhalilisha hata uteuzi wa Rais wa huyo naibu waziri..
 

source ITV hata mimi nimeona, so amini Mkuu. Na pia ni aibu kubwa sana kwa Naibu Waziri Mfutakamba ila ukweli ni kwamba nundu atakuwa ana uhakika na anachosema na pengine inagusa ofisi nyeti ambayo inayotoa kibali. Nadhani mpaka kesho mambo hadharani, ngoja tuvute subira.
 
Mkuu ni aibu yaani Nundu anasema kwamba CCC walimfuata wakamwambia aende kuangalia miradi yao na wangemlipia yeye akakataa wakamfuata naibu wake (Mfutakamba) wakampeleka Uchina na Mauritania wakamlipia kila kitu na aliporudi akaandika taarifa ya kuipendelea CCC!

Hizi ni tuhuma nzito sana. Ina maana Naibu Waziri kwa lugha nyepesi alihongwa!

Hadi abanwe ndoatoe huu uharo ? Alikuwa wapi kusema hayo kipindi cha nyuma?
 
Mkuu ni aibu yaani Nundu anasema kwamba CCC walimfuata wakamwambia aende kuangalia miradi yao na wangemlipia yeye akakataa wakamfuata naibu wake (Mfutakamba) wakampeleka Uchina na Mauritania wakamlipia kila kitu na aliporudi akaandika taarifa ya kuipendelea CCC!

Hizi ni tuhuma nzito sana. Ina maana Naibu Waziri kwa lugha nyepesi alihongwa!

.
Hata kwa tuhuma hizi nzito namna hii zinazotolewa na waziri dhidi ya naibu wake, hazimshtui hata kidogo rais wa nchi. Hapa mnaweza kujua bila kushinikizwa ni rais wa namna gani tulie nae.
.
 
source ITV hata mimi nimeona, so amini Mkuu. Na pia ni aibu kubwa sana kwa Naibu Waziri Mfutakamba ila ukweli ni kwamba nundu atakuwa ana uhakika na anachosema na pengine inagusa ofisi nyeti ambayo inayotoa kibali. Nadhani mpaka kesho mambo hadharani, ngoja tuvute subira.

Siku ambayo Mfutakamba atajibu atajitetea Mkuu alikuwa na taarifa....
 
Wana JF nimesikiliza sana utetezi wa waziri Nundu kupitia ITV alipokuwa ameitisha press conference Dodoma nimegundua utetezi wake ni dhaifu na hautoshi kukwepa kumuwajibisha!!!

Anasema hana uhusiano mzuri na naibu waziri wake, eti naibu waziri wake alikuwa anajifanyia ya kwake bila ya yeye kujua!!!!!

Kwa jinsi alivyojitetea ni wazi hana siri na shinikizo hilo limemchangana.

Naomba kwa ambao mmesikia sijui kama mmemuelewa?

Ningelikuwa JK ningemfuta kazi kwa jinsi alivyojidhalilisha yeye mwenyewe na serikali yake kwa ujumla!!!!

Nawasilisha.

Dr. Nundu ameongea vizuri sana kuhusu swala la bandari, kama unamuhukumu tafuta swala lingine. Na pia ni vizuri kuacha ushabiki tukasoma kidogo kuhusu maswala ya manunuzi
 
Nape,kati ya Nundu na naibu wake M/kamba nani mzigo kwa ccm?tujulishe mapema kabla hawajajiuzulu,maana umezoe matamko ya maji taka.
 
.
Hata kwa tuhuma hizi nzito namna hii zinazotolewa na waziri dhidi ya naibu wake, hazimshtui hata kidogo rais wa nchi. Hapa mnaweza kujua bila kushinikizwa ni rais wa namna gani tulie nae.
.

Hakuna uwajibikaji wa pamoja, kila mtu kivyake. Bado tunaaminishwa tuna serikali?
Tusubiri JK kirudi kutoka msibani Malawi anaweza kuongea na Wazee wa Dar es salaam:))
 
Mimi binafsi nilishangaa kuona mh. Nundu anahusishwa na Tuhuma, kwakuwa aliondoka nchini na kuacha kazi Air TZ kwa ajili ya kupinga ufisadi, sasa ndio nimepata Jibu kwa nini Serukamba povu lilikuwa linamtoka kupinga marekebisho ya mnyika.
 
Dr. Nundu ameongea vizuri sana kuhusu swala la bandari, kama unamuhukumu tafuta swala lingine. Na pia ni vizuri kuacha ushabiki tukasoma kidogo kuhusu maswala ya manunuzi

Hakuna suala la kishabiki hapa lililoongelewa mkuu. Halafu Dr. Nundu kwa jinsi nilivyomsikia ITV hakuongelea suala la bandari. Kaongelea suala la naibu wake kujifanyia mambo yake na yeye amekana kumlinda mkurugenzi wa TBS,

Halafu mkuu umepita post karibu zote hapo juu au umeona uzi tu ujibu?
 
Wachina wanazililia hizo Gati ili wapate uchochoro wa kupitisha COPPER ZAO KUTOKA ZAMBIA
 
Namshangaa Kikwete sijui ni raisi wa aina gani.Ni wizi mtupu kila kona ya nchi.Unaona sasa inaonekana hawa wamedhulumiana rushwa wananyanganyana mlungula.Aisee hili ni balaa na aibu kwa nchi yetu,hivi sisi hatuna mamlaka ya kuwawajibisha hili genge la wezi wa mali ya nchi yetu?
yaani hakuna hata maneno ya
kumuelezea raisi wetu...uzuri ni kwamba ukweli hauwezi kufichika hata siku moja ndiyo maana tunaona wanaanza kumwagiana mboga...!
 
Agoma kijiuzulu adai hajaambiwa ajiuzulu ila atafakari na anedai tatizo ni naibu wake sio yeye. Adai naibu wake kapewa rushwa kibao na wachina na safari za kutosha ili wapewe tender ya kujenga bandari.

Adai CCC ni kampuni na wanaoijua ni Naibu wake na TPA na ndio wanaotaka serikali ikope then iipe kampuni hiyo ya CCC ndo ijenge gati namba 13 & 14 zaidi wao ndo wanapanga bei na serikali iridhie bila discussion
Ndo yale yale kama hayo yalitokea alichukua hatua gani? Mbona leo baada ya hayo ndo anasema?
 
Kwa kauli hzo kuna harufu ya rushwa hapo,tatizo takukuru nao wameoza wao ndio walaji wazuri hasa huyo hosea mlaji mzuri sana..all in all da whole mfumo iz corupt.
 
Back
Top Bottom