President Elect
JF-Expert Member
- Aug 9, 2011
- 693
- 212
No mercy on those who suck public coffers, let the law take its course!
Tatizo kubwa ni kwenye uteuzi. Kikwete kajaza marafiki wake kwenye nafasi zote tatu yaani waziri, naibu waziri na katibu mkuu na hii ni kwa kila wizara. Waziri hawezi kusema chochote mbele ya naibu wake, naibu hawezi kusema chochote mbele ya katibu kwa sababu kila mmoja ni personal friend wa JK na huwezi kusukuma mtu.
Inakuwaje Naibu waziri asafiri nje ya nchi bila waziri wake kujua? Na hata akijue anaweza kweli kumzuia?
Pili, Watanzania tunatakiwa kutambua kuwa China inabebea kwenye 'state corruption' Siongelei rushwa ya mtu mmoja, hapana, ila linapokuwa swala la kampuni ya Kichina kushinda tenda kuna mtandao mkubwa toka kwenye serikali yao wa kusaidia kampuni zao zipate tender. Hili tatizo ni kubwa kuliko maelezo. Wanatumia makampuni makubwa kukopesha nchi masikini lakini ukweli ni serikali ya china iko nyuma yake.
Kikwete angekua ana interest na hii nchi ya Tanzania angevunja baraza lote la mawaziri na kuunda upya. Lakini ninachoona kinaendelea sasa hivi ni maonesho ya kutunisha misuli kati yake yeye (JK) na Lowassa! Maamuzi mengi anayofanya yanalenga kujibu mapigo ya Lowassa! Tanzania kwa sasa ni sawa na yatima! Hivi kweli Kikwete hashutushwi na ubadhirifu uliooneshwa na CAG? Achilia mbali sarakasi za wabunge wa CCM, yeye kama kiongozi mkuu anafikiri nini kuhusu report ya CAG?
Kwenye press conference nilikuwepo, kiukweli, upepo haumwendei vizuri waziri Nundu ila luwalo na liwe, kausema ukweli wa moyoni mwake na kuna uthibitisho beyond reasonable doubt, Nundu sio fisadi ila amezubgukwa na mafisadi left right and centre, hivyo kuishia kuonekana an enemy of the people!.
Mkuu thanks, una hoja. Tatizo kila mtu ni "kijogoo" mbele ya mwenzake kutokana na uhusiano wao na appointing authority. Ndio maana wenye busara wanapendekeza Rais apunguziwe mamlaka yake na hii si kwa faida ya nchi tu bali hata kwa Rais mwenyewe. Angalia sasa yanayomkuta!
Kiongozi, wakati Lissu anapiga bungeni kuhusu urais (presidency) wa ki-falme CCM ama kwa makusudi au kutoelewa waliamzomea! Rais yuko kila ngazi, mawaziri, naibu mawaziri, katibu wakuu, wakugenzi, wakuu wa mikoa na wilaya, Directors wa mashirika ya umma, wenyeviti wa boards za mashirika ya umma, hata kwenye uongozi wa magezeti! Na kwa bahati mbaya kajaza watu (ambao hawakukutana barabarani). Nani amsukume nani? Nani amkoromee nani? Kwa mtu yoyote asiyetambua urais wa kifalme na madhara yake basi aangalie yanayotokea Tanzania kwa sasa! Watu wamefanya uongozi ni 'hobby'.
Pia, ninaamini hata wana-ccm wengi waliochagulia kuwa wabunge kwenye bunge la East Africa wana mkono wa 'kifalme'. CCM wanamwacha mtu kama Dr Mndolwa?
Kiongozi, wakati Lissu anapiga bungeni kuhusu urais (presidency) wa ki-falme CCM ama kwa makusudi au kutoelewa waliamzomea! Rais yuko kila ngazi, mawaziri, naibu mawaziri, katibu wakuu, wakugenzi, wakuu wa mikoa na wilaya, Directors wa mashirika ya umma, wenyeviti wa boards za mashirika ya umma, hata kwenye uongozi wa magezeti! Na kwa bahati mbaya kajaza watu (ambao hawakukutana barabarani). Nani amsukume nani? Nani amkoromee nani? Kwa mtu yoyote asiyetambua urais wa kifalme na madhara yake basi aangalie yanayotokea Tanzania kwa sasa! Watu wamefanya uongozi ni 'hobby'.
Pia, ninaamini hata wana-ccm wengi waliochagulia kuwa wabunge kwenye bunge la East Africa wana mkono wa 'kifalme'. CCM wanamwacha mtu kama Dr Mndolwa?
Ana matatizo mengine kabisa ambayo nina uhakika hakuzungumzia. Je amezungumzia dhulma aliyotaka kuifanya KIA? _
Kwenye press conference nilikuwepo, kiukweli, upepo haumwendei vizuri waziri Nundu ila luwalo na liwe, kausema ukweli wa moyoni mwake na kuna uthibitisho beyond reasonable doubt, Nundu sio fisadi ila amezubgukwa na mafisadi left right and centre, hivyo kuishia kuonekana an enemy of the people!.
Nakwenda pale hivi punde!.kaka tokea asubuhi watu wanakusubiri kule kwa easter bulaya. Au umesahau?