kyanaKyoMuhaya
JF-Expert Member
- Jul 8, 2012
- 1,952
- 937
Sasa bwana mdogo unapozungumzia kombi dhaifu unaongea kwa fikra ambazo ni yakinifu au?
Inamaana kama lengo la mtu ni kuwa mwanasheria basi akisoma HKL au HGL atakuwa mwanasheria tena yule ambaye ni dhaifu. Si ndio?
jamani ana maana ya combination yenye masomo yenye maarifa mengi zaidi. Aliyesoma K na G kwenye combi yenye HL, hawafanani kabisa kimtazamo. Geography na Kiswahili pimeni.