we acha tu,wasaka kazi wengine wanapata shida sana.mmmh.,..kwel mambo mengine ni ufuska
we acha tu,wasaka kazi wengine wanapata shida sana.mmmh.,..kwel mambo mengine ni ufuska
Kuna wachache wanakuwa na vitanda kwa nia nzuri lakini kwa mazingira yetu ya kibongo asilimia kubwa ni chinjachinja,ukweli ndio huo.Mkuu wengine unakuta mtu anatoka ofisini late direct kwenda kwenye party au mkutano hakuna muda wa kurudi home, na wengine huwa wanafikilia vizuri wakiwa wamelala na wengine siesta (usingizi wa mchana ni muhimu kwao) je watakuwa wanatoka kazini na kwenda home kulala mchana na kurudi kila siku?
Ndio Babulao,nilikuwa mgeni wa gavana.....l.o.l