mfanyaji
Member
- Feb 1, 2011
- 76
- 12
woyeeeeeeeeeeeeeeeeOfisini kwa bosi..bafu na kitanda vya nini?
1 bafu kwa ajili ya kuoga unajua sometimes jasho
2 umesahau lazima kiwepo na choo kwa ajili ya kudounload baada ya lunch mkuu najua unajua
3 kitanda kwa ajili ya kupumzika baada ya lunch ucpendi vzuri 2 hrs lazima m2 upumzike ukizingatia om ni mbali na ofisi
hope umejua kazi ya hivyo vitu mkuu. wikiendi njema