Stephano Mgendanyi
JF-Expert Member
- May 16, 2020
- 1,903
- 945
đź“ŤIgunga, Tabora
"Matarajio yetu ni kuwa na Ofisi za kisasa za Chama (CCM) kwenye Kata za Jimbo letu na baadae kwenye Matawi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM). Ni ndoto kubwa , yenye dhamira njema. Tunashukuru Mwenyezi Mungu mwelekeo ni mzuri na ujenzi umeanza na inshallah tutamaliza." - Mhe. Nicholaus George Ngassa, Mbunge wa Jimbo la Igunga
"Jimbo la Igunga tumeamua kuishi kwenye ndoto kubwa ili tuweze kufanya makubwa. Ninawashukuru Wanachama wa Chama cha Mapinduzi (CCM) kwa kuendelea kujitoa katika kuhakikisha ndoto kubwa inafanikiwa. Kama Waswahili wanavyosema "akili kubwa, inawaza makubwa" - Nicholaus George Ngassa, Mbunge wa Jimbo la Igunga
Kazi Iendelee
Mhe. Nicholaus George Ngassa
Mbunge wa Jimbo la Igunga
#KAZINAMAENDELEO
#KAZIIENDELEE
"Matarajio yetu ni kuwa na Ofisi za kisasa za Chama (CCM) kwenye Kata za Jimbo letu na baadae kwenye Matawi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM). Ni ndoto kubwa , yenye dhamira njema. Tunashukuru Mwenyezi Mungu mwelekeo ni mzuri na ujenzi umeanza na inshallah tutamaliza." - Mhe. Nicholaus George Ngassa, Mbunge wa Jimbo la Igunga
"Jimbo la Igunga tumeamua kuishi kwenye ndoto kubwa ili tuweze kufanya makubwa. Ninawashukuru Wanachama wa Chama cha Mapinduzi (CCM) kwa kuendelea kujitoa katika kuhakikisha ndoto kubwa inafanikiwa. Kama Waswahili wanavyosema "akili kubwa, inawaza makubwa" - Nicholaus George Ngassa, Mbunge wa Jimbo la Igunga
Kazi Iendelee
Mhe. Nicholaus George Ngassa
Mbunge wa Jimbo la Igunga
#KAZINAMAENDELEO
#KAZIIENDELEE
Attachments
-
WhatsApp Image 2023-05-27 at 12.16.25.jpeg110.6 KB · Views: 1
-
WhatsApp Image 2023-05-27 at 12.16.25(1).jpeg116.2 KB · Views: 1
-
WhatsApp Image 2023-05-27 at 12.16.26.jpeg100.3 KB · Views: 1
-
WhatsApp Image 2023-05-27 at 12.16.26(1).jpeg103.8 KB · Views: 1
-
WhatsApp Image 2023-05-27 at 12.16.27.jpeg118 KB · Views: 1