King Zenji
Senior Member
- Feb 18, 2008
- 178
- 18
Nilipita katika moja ya miji yetu Tanzania hivi karibuni,nilikutana na ofisi hii,ni wapi hapa???,Najua kwa wengine itakua rahisi sana,kwa walio mbali na nyumbani na walikua wakisikia tu sio mbaya kujionea hali halisi sasa.