Pundamilia07
JF-Expert Member
- Oct 29, 2007
- 1,439
- 54
Sawa Tanzania is better off than some or many other African countries but are we really better off. Kabla ya kuanza kufurahia sifa lazima tuangalie tume linganishwa na nani. Kwa bara letu lenye nchi kama Susan. Somali, Sierra Leon, Liberia. Congo etc. Kobe akilinganishwa na konokono ataonekana ana mbio zaidi. Sawa tukubali kupokea sifa lakini tujue tu kwamba we have been compared to countries which have hit rock bottom. Tujiangalie sisi wenyewe hali yetu ikoje si kufurahia kuwa kuna wenye hali taabani kuliko sisi.
Let us be realistic mkuu, wewe kwa maono yako unataka kumwona kila mtanzania katika hali ipi? na je ataifikia hiyo hali kwa namna gani? na kwa kipindi cha muda gani? Je, hayo unayoyafikiria unadhani yatategemea resources zipi na zitafanikisha vipi?
Nimeuliza hivi ni kwa sababu umeweka maneno ambayo hayakutamkwa na hata huyo Obama sasa inawezekana labda una mawazo mengine tofauti na yale aliyoyaeleza Obama lakini unataka yawe ni sehemu ya hoja zako.