The Khoisan
JF-Expert Member
- Jun 5, 2007
- 15,398
- 12,981
jamani haya ni kweli hizi pesa zote kazitoa wapi wakati watanzania wanakufa na njaa mungu wangu
Mbona hiyo nyumba haionekani kama ni ya 4 billion. Unataka kusema hii nyumba ni sawa na nyumba mbili za Dr. Ndullu wa BOT tuliyoilalamikia humu? I doubt!!
Nafikiri kuna valuation problem TZ!!! Watu wanavaluate kwa macho!!