Umbeya/wivu huo, hiyo nyumba iko wapi na nani kaithaminisha.mungu wangu mungu wangu jamani nchi hii inakwenda wapi? Huyu dogo kapata wapi pesa ya kujenga nyumba yenye thamani kubwa kiasi hicho? Jamani nisaidie kujua kama kuna mtu anajua hizi tetesi vizuri
Umbeya/wivu huo, hiyo nyumba iko wapi na nani kaithaminisha.
dogo.... huu ndio tunauita ungifi...mungu wangu mungu wangu jamani nchi hii inakwenda wapi? Huyu dogo kapata wapi pesa ya kujenga nyumba yenye thamani kubwa kiasi hicho? Jamani nisaidie kujua kama kuna mtu anajua hizi tetesi vizuri
Umbeya/wivu huo, hiyo nyumba iko wapi na nani kaithaminisha.
mungu wangu mungu wangu jamani nchi hii inakwenda wapi? Huyu dogo kapata wapi pesa ya kujenga nyumba yenye thamani kubwa kiasi hicho? Jamani nisaidie kujua kama kuna mtu anajua hizi tetesi vizuri
mungu wangu mungu wangu jamani nchi hii inakwenda wapi? Huyu dogo kapata wapi pesa ya kujenga nyumba yenye thamani kubwa kiasi hicho? Jamani nisaidie kujua kama kuna mtu anajua hizi tetesi vizuri
Achana naye hilo ni suala la kifamilia zaidi. Ngoja nimuulize baba mwenye nyumba wangu kama mwaka huu atapandisha pango