Shark
JF-Expert Member
- Jan 25, 2010
- 29,462
- 29,163
MMMMMH!!!!!!PUT YOURSELF UNDER KOMBA'S SHOES!!! ACHA HIZO
Asilimia kubwa ya mali za komba zimepatikana baada ya kuimba "nambari wani ni chama kilichotulemaza" kwenye kuomba kura,
Amekua kuwadi wa mafisadi, kupitia TOT kutumika kushawishi watu kupigia kura
magamba kipindi cha uchaguzi.