Tusker Bariiiidi
JF-Expert Member
- Jul 3, 2007
- 5,520
- 2,091
Nilifikiri ile ya Tangibovu kumbe ya Lituhi Mbamba Bay... wanaweza kusema ni hitilafu ya Umeme wakati hakuna hata Umeme huko Lituhi...
we si rafiki yako yulee??So what?
Endelea kufuatilia,
Ikishafikia kua majivu kabisa ndio nishtue
Poleni. Nadhani nyumba hiyo ndiyo yenye hoteli na guest kubwa na nzuri kuliko zote Lituhi.Kuna habari kuwa nyumba ya Mbunge wa Mbinga Magharibi Kpt John Komba iliyopo Litui-Mbinga inaungua. Tafadhali kwa mwenye taarifa zaidi au aliyeko-
Source: Radio Wapo
ukingatia kituo cha mafuta kuna foleni siku hizi yani wewe utaenda kuzima majivuNgoja,tunaziba pancha tairi la mbele kushoto,baada ya hapo tutaenda kuweka mafuta ili yatuwezeshe kufika mtoni kunyonya maji ya kuzimia moto,akhsante kwa kutupa taarifa!
Habari ya kushinda njaa sheikh ubwabwa?
unaweza kuthibitisha kuwa huvuti jani?JF imekuwa zimamoto?
Kwa huyu iungue yote ibakie majivu tu...Nambari one eh eh nambari one ni ***!!!!