candygrapez
Member
- Jul 21, 2009
- 12
- 2
Habari wana jamii forum, nina nyumba yangu mitaa ya tegeta nyaishozi haiko barabarani,unaingia ndani kama mwendo wa dakika 10 kwa mguu toka barabara kuu,ninayohitaji kuipangisha ,ila tatizo niko mkoani Shinyanga ambako ndiko ninaishi kwa sasa,na sina uzoefu na upangaji/upangishwaji wa nyumba kwa mji wa Dar, ninachoomba kuuliza ni nyumba kama hii ina master bedroom kubwa tu ya kutosha,vyumba viwili vya kulala na choo,jiko,na stoo ndogo,uwanja wa wastani pamoja na fensi na geti,furniture ananunua mpangaji kwa mitaa hiyo naweza nikaambulia kama pango la shilingi ngapi kwa mwezi/mwaka?
na madalali wa uhakika naweza nikawapata wapi?
Ahsante.
na madalali wa uhakika naweza nikawapata wapi?
Ahsante.