Kijana LOGICS
Senior Member
- Dec 16, 2023
- 140
- 525
Hii post Ina wahusu MADALALI WA nyumba/nyumba za kupangisha tu
Kuna madalali wanajimilikisha vyumba Kuna madalali wanaongeza Kodi nyumba /chumba Cha kupanga Ili apate îli héla ya mwezi apate nyingi zaidi.
Kuna chain ya vijana dar hawataki kupigika kufanya kazi wao wanakomaa na udalali ukichek ni kama wanavuna wasikopanda.yani utapel
Unakuta Mwanaume dalali Yuko kijiwen tu anasubiri héla ya fundi mjenzi ambae kasimama ukuta WA floor ya 10 anapiga plasta, ni mfano
Unfortunately ni kwamba WA Tanzania wengi hua hatuna upeo WA kuhoji vitu hua tunaacha vitu pasi kuangalia maslah mapana ya Kundi la watu .
Serikali inatikiwa ujue kupitia biashara ya upangaji inaweza kutengeneza pesa nyingi tu na ikaajiri vijana wetu wasomi jobless
Serikali simply ipige marufuku mpangaji kuingia mfukon kumlipa dalali badala yake mwenye nyumba ndo awajibike
Au kupitia ofsi za serikali ya mtaa /mjumbe kue n'a data base ya nyumba na vyumba vyote vya kupanga sehemu husika mpangaji alipe pesa kidogo atafutiwe chumba au nyumba na hizo pesa zifanye maendeleo nchin
Kuna madalali wanajimilikisha vyumba Kuna madalali wanaongeza Kodi nyumba /chumba Cha kupanga Ili apate îli héla ya mwezi apate nyingi zaidi.
Kuna chain ya vijana dar hawataki kupigika kufanya kazi wao wanakomaa na udalali ukichek ni kama wanavuna wasikopanda.yani utapel
Unakuta Mwanaume dalali Yuko kijiwen tu anasubiri héla ya fundi mjenzi ambae kasimama ukuta WA floor ya 10 anapiga plasta, ni mfano
Unfortunately ni kwamba WA Tanzania wengi hua hatuna upeo WA kuhoji vitu hua tunaacha vitu pasi kuangalia maslah mapana ya Kundi la watu .
Serikali inatikiwa ujue kupitia biashara ya upangaji inaweza kutengeneza pesa nyingi tu na ikaajiri vijana wetu wasomi jobless
Serikali simply ipige marufuku mpangaji kuingia mfukon kumlipa dalali badala yake mwenye nyumba ndo awajibike
Au kupitia ofsi za serikali ya mtaa /mjumbe kue n'a data base ya nyumba na vyumba vyote vya kupanga sehemu husika mpangaji alipe pesa kidogo atafutiwe chumba au nyumba na hizo pesa zifanye maendeleo nchin