VIKWAZO
JF-Expert Member
- Apr 9, 2011
- 1,899
- 580
Nyerere alikuwa puppet.Hakuwa genius.Waliokuwa wanamtumia ndio waliokuwa genius!
WAKINA NANI WALIKUWA WANAMTUMIA? Sidhani kama una maana ni wananchi maana wananchi bado wamelala
Nyerere ni mfano wa kuigwa hata hata kama kuna dini zinapinga hiyo