Mallaba
JF-Expert Member
- Jan 30, 2008
- 2,554
- 47
ukisubiri kuonyeshwa mema wakati yapo, basi hautayaona maishani kwako kamwe...Kwanza, Dowans ina kosa lipi?
Halafu, kumbuka kuwa Nyerere hakuweka misingi mizuri katika nyanja zote, na haya matatizo ya umeme, maji, elimu, umasikini, maradhi, yote yanatokana na Nyerere, ni lipi jema na lililofanikiwa alilifanya Nyerere? Nakuhakikishia hakuna! Mpaka haya matatizo ya katiba ni yake, katiba zake alikuwa akitunga yeye na watu wake wa karibu kwa siku mbili tatu anazi-implement kidikteta na hakuna wakukataa, na ukiuliza tu, kosa.
Sasa unachokataa nini? Mtoa mada hajaona jema kwa Nyerere nami namuunga mkono, hata mimi sijaliona jema lolote, na kumbuka, nilikuwepo wakati wa Nyerere, kabla yake na sasa awamu ya tatu baada yake.