LoyalTzCitizen
JF-Expert Member
- Sep 15, 2010
- 2,234
- 883
Nimeshindwa kujizuiz leo baada ya kuiona hii ya Hayati JK wa ukweli alipoongea 1995!, Tumekwishaaaaaaa!
Last edited by a moderator:
Nimeangalia hii video nikatoka chozi kwa kuondokewa na Raisi Nyerere. Tunamhitaji sasa kuliko wakati wowote.
nimeangalia na kurudia na kurudia. huyu alikuwa nabii, alitabiri yote yanayojiri leo. nimemlilia saaaaaaaaaaaaaaana. hapa hatuna kingine cha kufanya bali ni kudai uhuru toka kwa mafisadi. peopleeeeeeeeeeeeeeeeeee!!!!!!!!!!!
I do not see anything in this posting! Is it my problem???
Alifanya makosa kuondoka bila kubadili katiba na kupunguza madaraka ya Rais.
Angelikuwa kalibadili hilo, nafikiri leo hii kuna mabaya mengi yangelikuwa hayatokei.
Maadamu alikuwa binadamu, ninamsamehe kwani mazuri mengi alifanya.
Mie hapa natumia Laptop, kama si huyo Mzee, ningelikuwa napalilia tumbaku na BANGI.
I think it is your system or something! because the videos are on! try again Mkuu!
Thank you, but it is probably my machine. I still can't see anything despite refreshing the thread several times. WILL TRY SOME OTHER TIME
Ni vigumu sana kutofautisha kati ya mizizi ya ufisadi na mizizi ya ubepari...Mabepari hawapendi kabisa kodi na mwalimu umesikia akisema serikali isiyokusanya kodi ni corrupt na wasiolipa kodi pia ni corrupt kwasababu matokeo yake ni ukandamizwaji wa haki za wasio nacho.
Kutenganisha ubepari na ufisadi ndo kazi kubwa tuliyonayo.
Umezaliwa mwaka gani?I do not see anything in this posting! Is it my problem???