Nyerere! Huyu mzee kiboko!

Mkuu can you break it down to make it easier! maana bado sijaelewa this post! i do apologize!

LTC,niliandika response 'nzuri' via mobile, kumaliza cm ikaisha charge, mwenzangu kashangaa nimeamka na kuwasha PC, hehehe!!
Any yote kwa ajili ya nchi yetu.

Ni hivi: Mimi sikubaliani na fikra ya kwamba hatuwaoni watu wenye uwezo kama Nyerere hivi sasa kwasababu situation ya ufisadi na mafisadi wana wakandamiza! Hapana! Ni imani yangu kwamba ni hali hizi hizi za ukandamizwaji ndipo mashujaa hutoka, sio wakati vitu ni shwari.

Nyerere,Mandela, Martin Luther King, Gandhi e.t.c. sio legends kwasababu eti mazingira yalikua shwari hivyo kuwapa opportunity ya kuwa mashujaa,hapana, ni precisely kwasbabu hali ilikua ngumu na ya unyanyasaji ndio maana hawa extra-ordinary people waka tokea.

Hivyo basi kutumia kigezo eti kua sasa wako watu kama au 'kuzidi' Nyerere ila tu mfumo hauruhusu wao kuchomoza SI SAHIHI kwasbabu ni mfumo huuhuu wa ukandamizaji unaojenga mazingira wa mashujaa hao kutokeza kama basi wapo!

Sijui umenipata au nije kivingine?
 
Ila friends nafikiri kuna umuhim wa sisi waAfrika/waTz kuachana na hii mentality ya kukaa kusubiri na kuomba mkombozi atokee. This waiting for a messiah mentality itatuumiza,kwanini mpaka tusubiri atokee mtu halafu ndio eti atuletee ukombozi? Kwani hatuwezi kurise behind a principle instead of a person. Wote tumechoshwa na maisha haya duni na yasio na furaha,sababu zinazochangia hali hii twazijua e.g. ufisadi kwanini basi tunaweka hopes kubwa kua ni mpaka Dr Slaa, Lipumba or who ever aje kuleta mabadiliko badala ya kufanya hii ni movement ya sisi tuliochoka regardles of gender,TRIBE or RELIGION!

Mkuu hayo ni ya kweli kabisa! na kila kitu kina mwanzo, na mwanzo uwe wa makubaliano na halafu then other progresses follows amavyo vyote hivi vinahitaji utaratibu na makubaliano, supervision au leadership! basi ikishafikia hapo ndio tunarudi palepale mkuu ktk hoja yako. We need a person to lead au mkombozi ambaye atakubalika na wote!mapinduzi yanaletwa na wananchi ila ukumbuke kuwa nao pia wanahitaji influence au motivations from some sources (leaders) who could be individuals or groups which must also have a leader!
 
Ila friends nafikiri kuna umuhim wa sisi waAfrika/waTz kuachana na hii mentality ya kukaa kusubiri na kuomba mkombozi atokee. This waiting for a messiah mentality itatuumiza,kwanini mpaka tusubiri atokee mtu halafu ndio eti atuletee ukombozi? Kwani hatuwezi kurise behind a principle instead of a person. Wote tumechoshwa na maisha haya duni na yasio na furaha,sababu zinazochangia hali hii twazijua e.g. ufisadi kwanini basi tunaweka hopes kubwa kua ni mpaka Dr Slaa, Lipumba or who ever aje kuleta mabadiliko badala ya kufanya hii ni movement ya sisi tuliochoka regardles of gender,TRIBE or RELIGION!

Nyangluu, ni vigumu kila mtu kuibuka na kujifanya mkombozi. Ndio maana kila aliyejitutumua mwenyewe aliishia njiani mfano Mapalala, Mrema, Mtikira, Prof Lipumba, na sasa Dr Slaa.

Mkombozi ni mtu ambaye, mara zote, ni peculiar, na mara nyingi huwa divinely sanctioned. Siwezi kutoa a mathematical proof ili niweze ku prove by induction. Lakini, naamini kuwa, akitokea mtu, na akiwa sanctioned na nguvu isiyo ya kibinadamu, atawakomboa watu. Kama hajatokea si vibaya kungoja...

Tukumbuke kwamba, pamoja na kuchagua viongozi wetu sisi wenyewe, huwa hatuondoi ukweli kuwa Mungu ndiye anayetuongoza siku zote. Hivyo watu wakiumizwa na utawala dhalimu na kandamizi kama inavyoonekana kujitokeza katika mataifa ya middle east, africa, asia na sasa hapa kwetu Tz, Mungu hateremki chini yeye physically kuja kushughulikia udhalimu huo, bali huteua mtu/watu na kuwatuma kuja kuwakomboa watu wake.

Kitu (t)unachopaswa kufanya, ni kujitoa kwa kadiri ya uwezo wako, kusaidia ukombozi huo, na kama ni wewe utakuwa sanctioned na Mungu kuja kutukomboa sisi, itabidi tukuunge mkono, hata kama sikupendi. Kwani kupingana na wewe haitasaidia, kwasababu utakuwa too strong to oppose.. (huenda hii ni controversial concept ...)
 
Tatizo la kumpata mtu kama Mwalimu haliko kwenye hizi hotuba nzuri. Usafi wa kiwango chake ndio tatizo la sisi wengi. Unakuwa Rais kwa miaka 23 tena kwa kutawala watu mbumbumbu kabisa lakini hauwaibii chochote. Unaondoka madarakani na pea mbili za viatu. Ni mtu mmoja tu alimwelewa na kuishi kama yeye madarakani. Edward Moringe Sokoine.
 
Tatizo la kumpata mtu kama Mwalimu haliko kwenye hizi hotuba nzuri. Usafi wa kiwango chake ndio tatizo la sisi wengi. Unakuwa Rais kwa miaka 23 tena kwa kutawala watu mbumbumbu kabisa lakini hauwaibii chochote. Unaondoka madarakani na pea mbili za viatu. Ni mtu mmoja tu alimwelewa na kuishi kama yeye madarakani. Edward Moringe Sokoine.

Nyerere naye alifeli ILA uzuri wake alikuwa si mwivi.Tofauti na wengine, alipenda taifa lake lakini uwezo wake ulifika kikomo.
 
Mwasi tuna matatizo makubwa sana! HATUNA UCHUNGU NA NCHI NA MALI ZA NCHI YETU! Isome signature yangu quoted from GB Shaw! it make senses na ndio yanayotokea leo TZ!

Signature yako mkuu imemaliza..........ni kweli!

" A government that robs Peter to pay Paul can always depend on the support of Paul.." (GB Shaw)
 
LTC,niliandika response 'nzuri' via mobile, kumaliza cm ikaisha charge, mwenzangu kashangaa nimeamka na kuwasha PC, hehehe!!
Any yote kwa ajili ya nchi yetu.

Ni hivi: Mimi sikubaliani na fikra ya kwamba hatuwaoni watu wenye uwezo kama Nyerere hivi sasa kwasababu situation ya ufisadi na mafisadi wana wakandamiza! Hapana! Ni imani yangu kwamba ni hali hizi hizi za ukandamizwaji ndipo mashujaa hutoka, sio wakati vitu ni shwari.

Nyerere,Mandela, Martin Luther King, Gandhi e.t.c. sio legends kwasababu eti mazingira yalikua shwari hivyo kuwapa opportunity ya kuwa mashujaa,hapana, ni precisely kwasbabu hali ilikua ngumu na ya unyanyasaji ndio maana hawa extra-ordinary people waka tokea.

Hivyo basi kutumia kigezo eti kua sasa wako watu kama au 'kuzidi' Nyerere ila tu mfumo hauruhusu wao kuchomoza SI SAHIHI kwasbabu ni mfumo huuhuu wa ukandamizaji unaojenga mazingira wa mashujaa hao kutokeza kama basi wapo!

Sijui umenipata au nije kivingine?

extraodinary?..hakuna extraordinary kwenye siasa wote wako sawa. Sasa extraodinary ya mandela imewafaidi vp watu wa sozafrika.umaskini kama kawa.
Extraodinary kwenye mambo ya innovation kama,kina,newton,steve job,bill gate,eistein sawa
 
LTC,niliandika response 'nzuri' via mobile, kumaliza cm ikaisha charge, mwenzangu kashangaa nimeamka na kuwasha PC, hehehe!!
Any yote kwa ajili ya nchi yetu.

Ni hivi: Mimi sikubaliani na fikra ya kwamba hatuwaoni watu wenye uwezo kama Nyerere hivi sasa kwasababu situation ya ufisadi na mafisadi wana wakandamiza! Hapana! Ni imani yangu kwamba ni hali hizi hizi za ukandamizwaji ndipo mashujaa hutoka, sio wakati vitu ni shwari.



Nyerere,Mandela, Martin Luther King, Gandhi e.t.c. sio legends kwasababu eti mazingira yalikua shwari hivyo kuwapa opportunity ya kuwa mashujaa,hapana, ni precisely kwasbabu hali ilikua ngumu na ya unyanyasaji ndio maana hawa extra-ordinary people waka tokea.

Hivyo basi kutumia kigezo eti kua sasa wako watu kama au 'kuzidi' Nyerere ila tu mfumo hauruhusu wao kuchomoza SI SAHIHI kwasbabu ni mfumo huuhuu wa ukandamizaji unaojenga mazingira wa mashujaa hao kutokeza kama basi wapo!

Sijui umenipata au nije kivingine?


Mkuu nimekuelewa sana na kwa uelewo wangu, ila siwezi kukubali kuwa hakuna waliomzidi mwalimu! la! ukumbuke kuwa binadamu tupo na vipaji vingi sana ila tunatofautiana ktk expressions, na hivyo nakubali kabisa kuna waliomzidi Mwalimu kimawazo may be everything ila walikosa ile chance of breaking a threshold, na hilo ndio tatizo! huwezi kuniambia ati hakuna watu wasiomzidi JK kimawazi leo au even Obama!? lazima wapo wengi ila something is missing among those people!
 
Back
Top Bottom