friendsofjeykey
Senior Member
- Aug 12, 2010
- 129
- 13
Topic nzuri sana lakini huko tulikotoka tunajua fika kuwa mleta hoja ana chuki binafsi na mkurugenzi mkuu wa NSSF.
Hapa kulikuwa na thread inayozungumzia UFISADI uliokithiri kule PPF na huyu mheshimiwa hakuja kuleta hoja ya kuuliza kitu
Pension Funds zinginezo zinafanya mambo mazito kama NSSF lakini huyu bwana amemngangania tuu Dr Dau...au kwa sababu jina lake ni RAMADHANI?
na mkitaka ushahidi tazameni threads hizi hapa:
Mengi vs Manji: Ukweli ni upi?
https://www.jamiiforums.com/jamii-intelligence/1643-mengi-vs-manji-ukweli-ni-upi.html
Dk. Dau: NSSF inastawisha maendeleo
https://www.jamiiforums.com/habari-na-hoja-mchanganyiko/19479-dk-dau-nssf-inastawisha-maendeleo.html
Dr. Dau achukuliwe hatua kushtakiwa
Dr. Dau achukuliwe hatua kushtakiwa [Archive] - MwanaKijiji.COM
Samahani NSSF, samahani Dr. Dau, Nyoni!
https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/19691-samahani-nssf-samahani-dr-dau-nyoni-2.html
NSSF na Vifo Tabora
NSSF na Vifo Tabora [Archive] - MwanaKijiji.COM
Sakata la Dr. Masau: Msimamo wa Serikali na Hatima ya Taasisi ya Moyo (THI)
https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...kali-na-hatima-ya-taasisi-ya-moyo-thi-33.html
NSSF, NPF na mashirika kama haya Hayasaidii wadau
https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...-na-mashirika-kama-haya-hayasaidii-wadau.html
Sasa mkishasoma posts zake humo ndio mtaelewa kuwa hata mseme nini au mlete ushahidi wa namna gani, huyu bwana alishamake up his mind ages ago. Mengine bora niyaache tuu kwani hapa si mahala pake.
Ajabu sana PPF tuhuma nzito nzito zimetolewa lakini kimyaaaaa...
Hapa kulikuwa na thread inayozungumzia UFISADI uliokithiri kule PPF na huyu mheshimiwa hakuja kuleta hoja ya kuuliza kitu
Pension Funds zinginezo zinafanya mambo mazito kama NSSF lakini huyu bwana amemngangania tuu Dr Dau...au kwa sababu jina lake ni RAMADHANI?
na mkitaka ushahidi tazameni threads hizi hapa:
Mengi vs Manji: Ukweli ni upi?
https://www.jamiiforums.com/jamii-intelligence/1643-mengi-vs-manji-ukweli-ni-upi.html
Dk. Dau: NSSF inastawisha maendeleo
https://www.jamiiforums.com/habari-na-hoja-mchanganyiko/19479-dk-dau-nssf-inastawisha-maendeleo.html
Dr. Dau achukuliwe hatua kushtakiwa
Dr. Dau achukuliwe hatua kushtakiwa [Archive] - MwanaKijiji.COM
Samahani NSSF, samahani Dr. Dau, Nyoni!
https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/19691-samahani-nssf-samahani-dr-dau-nyoni-2.html
NSSF na Vifo Tabora
NSSF na Vifo Tabora [Archive] - MwanaKijiji.COM
Sakata la Dr. Masau: Msimamo wa Serikali na Hatima ya Taasisi ya Moyo (THI)
https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...kali-na-hatima-ya-taasisi-ya-moyo-thi-33.html
NSSF, NPF na mashirika kama haya Hayasaidii wadau
https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...-na-mashirika-kama-haya-hayasaidii-wadau.html
Sasa mkishasoma posts zake humo ndio mtaelewa kuwa hata mseme nini au mlete ushahidi wa namna gani, huyu bwana alishamake up his mind ages ago. Mengine bora niyaache tuu kwani hapa si mahala pake.
Ajabu sana PPF tuhuma nzito nzito zimetolewa lakini kimyaaaaa...