NSSF na Infrastructure Investment: Kigamboni Bridge, IPP, Road Construction.. ???

Labda tatizo MM ni governance kwanini kama kukiwa hakuna accountability katika Fund tusije kushangaa ujenzi wa Kigamboni umegharimu Billioni 20 ila jamaa wameweka billioni 100. Billioni 80 za kwao hapo ndio tunaweza kushikana mashati na hakuna governance authority inayosimamia mashirika ya umma na maamuzi wanayoyafanya. SSA authority inaweza kusimamia funding but internal control itabakia kazi ya CAG ambayo yeye atafatilia kama sheria na utaratibu wa ujenzi umeendana sheria zilizopo but kuna maswali yanabakiwa hayajibiwi mfano Who are the member of Board of Trustee or Directors? Why wana utaratibu wa kicronyism kutoa nafasi za board kwa washkaji? Kwanini wajumbe wanalipwa marupurupu badala ya mshahara ili nao walipe kodi, kuna utaratibu gani kamati ya bunge inatoa kuwasimamia hawa wanaofanya maamuzi, DG anateuliwa na Rais why? Kwanini kamati ya bunge isimteue ili wamfukuze kiurahisi na maswali mengi hayo ni baadhi tu kwani mazingira kama hayo ndio huchangia kuwapo ufisadi.

tuko kwenye lugha moja nakupata; ndio lengo hasa la kuanzisha mada hii; tujiulize maswali lakini vile vile tutake majibu.
 
Nina kawaida ya kutopenda hii Hali ya watt wachache kuaamua tu wapi wawekeze invade sidi wanachama hatuna Minsk ya mutants. Nadhani hii Ndio situation tumefikia kuanzia siasa koala uchumi....Tz needs overhaul ya Nguni...Mimi na wewe...thanks MKJJ kwa hii topic
 
Kwanza ni kweli shirika haliwezi kujiendesha nje ya interest of the stakeholders but tujiulize stakeholders ni kina nani na je hawafahamu kinachoendelea NSSF. Jibu utakuta hapana kwasababu Board of Trustee ipo ijapokuwa sina uhakika imeshateuliwa sasa kwani walikaa muda mrefu bila ya kuwepo. Ila kwanza tujiulize je Board of Trustee inafanya kazi gani NSSF? Ukisoma NSSF Act of 1997 functions of Board of Trustee ni hizi nanukuu:-

The functions of the Board shall beof
the (a) to formulate, implement and review the policy relating to the
National Social Security Fund in accordance with this Act;
Board
(b) to control and administer the Fund in accordance with this Act;

(c) subject to the provisions of this Act to invest monies available
in the Fund;
(d) to provide technical assistance and advisory service for the purposes
of promoting social security programmes;
(e) to promote occupational health and safety measures in collaboration
with other authorities.
(f) to do all such acts and to enter into all such transactions as, in
the opinion of the Board may be necessary for the proper and
efficient administration of the Fund.

Sasa hebu nifafanulie hapo wanamaanisha nini kwenye nyekundu? Pia tusome NSSF Board of Trustee unakuta inasema hivi nanukuu:-

53.-(1) There is established a Board or Trustees of the National
Social Security Fund.
Establishment
of
Board of
(2) The Board shall, in its corporate name be capable of-
(a) suing and being sued;
Trustees
(b) taking, purchasing or otherwise acquiring, holding, charging and
disposing of property, movable or immovable; and
(c) entering into contracts and performing all such other acts for the
proper performance of its functions under this Act which may
lawfully be performed by a body corporate.

Sasa where is the problem? Na umejuaje kama hizi investment arafat hazikufanyika by the requirements and accordance to the interest of the stakeholders of the funds? Ndio maana yangu ya kwamba usikimbilie kujudge mkuu bila ya information all we can is to express our opinions and nothing else. Ila tusiwahukumu kufananisha na EPA kwani EPA tulikuwa na documents na data zenye kuonyesha hilo hawa mie nawasupport kama project ina manufaa kwa taifa kulikoni wale wenye kusquander pesa wa wafanyakazi na safari za kwenda ulaya na kulimbikizia mifukoni mwao wenyewe mfano PPF.

Mdondoaji Kuna mtu katoa taarifa humu kuwa bodi haipo, ebu fuatilia kama ipo ili uwe na uhakika wa hilo unalolitetea; Lakini uoni kuwa Wanachama ni Stakeholder Na.1??

Umeongea kitu kizuri sana amchacho nilikuwa nakisubiria kama tutafanikiwa kuona docs, "Kiwango cha mwisho cha ku-invest" Pia umeongeza swali lingine ambalo nilikuwa sijalifikiria "Kama Bodi imepitisha huo mradi" haya maswali matatu yanahitaji majibu!, sijui nani atayajibu.

Niliposhauri kuwekeza katika madini Mdondoaji nilikuwa naamanisha kujenga Internal capacity ya kununu hayo madini sikuwa namaanisha wao wachimbe, Ujue kuwa tunafanya kosa kubwa kwa Vizazi vya leo na kesho kuto kununu hayo madini na kutunza Stock, sijui kama unajua umuhimu wake!!

Mi bado nasema Investmenta ni sahihi lakini siyo barabara!!

Kwa kifupi Maada zangu maudhui yake ni kuwataka NSSF wafanye Investments ambazo zimepembuliwa na wataalam wasikubali kuchaguliwa miradi ya kufanya na Wanasiasa, MKJJ huu ndio ujumbe wangu wa mwisho katika hii thread
 
Mdondoaji Kuna mtu katoa taarifa humu kuwa bodi haipo, ebu fuatilia kama ipo ili uwe na uhakika wa hilo unalolitetea; Lakini uoni kuwa Wanachama ni Stakeholder Na.1??

Umeongea kitu kizuri sana amchacho nilikuwa nakisubiria kama tutafanikiwa kuona docs, "Kiwango cha mwisho cha ku-invest" Pia umeongeza swali lingine ambalo nilikuwa sijalifikiria "Kama Bodi imepitisha huo mradi" haya maswali matatu yanahitaji majibu!, sijui nani atayajibu.

Niliposhauri kuwekeza katika madini Mdondoaji nilikuwa naamanisha kujenga Internal capacity ya kununu hayo madini sikuwa namaanisha wao wachimbe, Ujue kuwa tunafanya kosa kubwa kwa Vizazi vya leo na kesho kuto kununu hayo madini na kutunza Stock, sijui kama unajua umuhimu wake!!

Mi bado nasema Investmenta ni sahihi lakini siyo barabara!!

Kwa kifupi Maada zangu maudhui yake ni kuwataka NSSF wafanye Investments ambazo zimepembuliwa na wataalam wasikubali kuchaguliwa miradi ya kufanya na Wanasiasa, MKJJ huu ndio ujumbe wangu wa mwisho katika hii thread

Arafat naomba usiondoke kama utakubali ombi langu kwani tunayoyazungumza kama akina Zitto wanayasoma watatusaidia kuyafikisha bungeni kwani yanashikilia katika kiini cha tatizo la mashirika mengi ya umma. Kama unashughuli zinakukabili basi mchango wako ni wa thamani mno tunakushukuru.

Ama kuhusu Board mie nilisoma mwaka jana Muheshimiwa Kapuya alishambuliwa mwezi Januari kuhusu kwaninini mwaka tatu NSSF haina board ya wa kurugenzi sasa sijui wameshateua au la sasa hivi labda mwenye kufahamu hilo atujuze.

Kuhusu barabara kama ni mkopo serikali mie hilo naliunga mkono vile vile ujengaji wa daraja kama ni mkopo ni sahihi ila kama kujenga halafu wakaendesha naona kama zinataka kupotea pesa za wafanyakazi na mie hilo nakuunga mkono.
 
Tovuti yao inaonesha kuwa Bodi ipo:


board_of_trustees_image.gif

Abubakar Salum Rajab
Board Chairperson

Dr. R. K. Dau
Director General and Secretary to the Board
nkakatisi.jpg
Mr. B. Nkakatisi
Board Member
Office: Secretary General - TUICO
Telephone: +255 22 2866959
Fax: -
Dar es salaam
kaali.jpg
Daudi Kaali
Board Member
Office: Ministry of Labour
Telephone: -
Fax: -
Dar es salaam
sagaff.jpg
Hashim Sagaff
Board Member
Office: Dar es salaam
Telephone: -
Fax: -
Dar es salaam
muhaji.jpg
Amina O. Muhaji
Board Member
Office: CRDB BANK LIMITED
Telephone: +255 22 2110966
Fax: -
Dar es salaam
m_assad.gif
Dr. Mussa Assad
Board Member
Office: University of Dar es salaam
Telephone: -
Fax: -
Dar es salaam
kingazi.jpg
Mr. Nicholas T. Kingazi
Board Member
Office: CRDB BANK LIMITED
Telephone: +255 22 2110966
Fax: -
Dar es salaam
kibunda.jpg
Mr. A. M. Kibunda
Board Member
Office: TUCTA
Telephone: +255 22 2110966
Fax: -
Dar es salaam
ayub.jpg
Ayub O. Juma
Board Member
Office: TUCTA
Telephone: +255 22 2110966
Fax: -
Dar es salaam
kariwa.jpg
Cornelius Kariwa
Board Member
Office: Association of Tanzania Employers
Telephone: +255 22 2130387 / 2130371
Fax: +255 22 2130371
Dar es salaam
mziray.jpg
Hildergard Mziray
Board Member
Office: Association of Tanzania Employers
Telephone: +255 22 2130387 / 2130371
Fax: +255 22 2130371
Dar es salaam
 
Really? hivi unajua jinsi gani Deep Green Finance na makampuni mengine ya gizani yalivyoweza kutumia "financial industry" ambayo iko "stable" kujichotea mabilioni? Kweli baada ya EPA, CIS, BoT Towers, etc unakubali kuwa financial industry yetu ni stable kwa sababu imesifiwa na IMF? Unafikiri IMF wamewahi kusifia financial industry ya Egypt?

Mzee Mwanakijiji,

Despite hayo mascandal ya Deep Green na Mengineyo BOT wako very strict katika kusimamia financial institutions za Tanzania. Mabenki mengi tanzania na depository financial institution (au jina lengine Thrift institution mojawapo NSSF) wana excess ya cash nyingi sana. Sasa ndio maana IMF wamewasifu kwasababu ni ngumu sana kuyumba. Hakuna aggressive institutional investors in Tanzania kwasababu kwanza banks and non-bank institutions wanaogopa sana kukopesha kwa makampuni na watu binafsi kwasababu ya risk mbali mbali. Ndio maana nakuambia mwanakijiji financial industry ya Tanzania iko stable sana despite madudu ya ufisadi. Ila kuna hatari mmoja inajitokeza mfano PPF kama haijadhibitiwa itacollapse na hilo linaweza kuleta balaa katika uchumi kwasababu wingi wa pesa katika fund unachochea ufisadi wa watu kuzichota kitu kinachopelekea mfuko kufa na kuyumba kwa uchumi sasa hilo linahitaji kufuatiliwa kwa ukaribu.
 
Mzee Mwanakijiji,

Despite hayo mascandal ya Deep Green na Mengineyo BOT wako very strict katika kusimamia financial institutions za Tanzania. Mabenki mengi tanzania na depository financial institution (au jina lengine Thrift institution mojawapo NSSF) wana excess ya cash nyingi sana. Sasa ndio maana IMF wamewasifu kwasababu ni ngumu sana kuyumba. Hakuna aggressive institutional investors in Tanzania kwasababu kwanza banks and non-bank institutions wanaogopa sana kukopesha kwa makampuni na watu binafsi kwasababu ya risk mbali mbali. Ndio maana nakuambia mwanakijiji financial industry ya Tanzania iko stable sana despite madudu ya ufisadi. Ila kuna hatari mmoja inajitokeza mfano PPF kama haijadhibitiwa itacollapse na hilo linaweza kuleta balaa katika uchumi kwasababu wingi wa pesa katika fund unachochea ufisadi wa watu kuzichota kitu kinachopelekea mfuko kufa na kuyumba kwa uchumi sasa hilo linahitaji kufuatiliwa kwa ukaribu.

mdondoaji, upande mmoja unajua hofu tuliyonayo sisi wengine lakini upande mwingine unataka kuona kuna exception kwa NSSF. Lakini kweli tunaweza kukubali tu "despite" hizo kashfa za ufisadi? Waendelee tu na wananchi wakubali tu hata kama ushahidi mkubwa uliopo unatutisha?
 
mdondoaji, upande mmoja unajua hofu tuliyonayo sisi wengine lakini upande mwingine unataka kuona kuna exception kwa NSSF. Lakini kweli tunaweza kukubali tu "despite" hizo kashfa za ufisadi? Waendelee tu na wananchi wakubali tu hata kama ushahidi mkubwa uliopo unatutisha?

Mzee Mwanakijiji,

Hebu nikuulize kipi ni hatari zaidi yule anayewekeza pesa za mfuko katika projects ambazo zinafaida kwa jamii na kuziingizia profit NSSF au yule ambaye anachukua pesa kuweka katika personal bank account na kuhonga watu wengine (personal benefits) ambazo mfuko ukija kucollapse hakuna mahali tunaweza kuzipata hizo pesa unless tusieze account za watu? Binafsi first scenario ni better off than the second one wewe unaonaje?
 
mdondoaji, upande mmoja unajua hofu tuliyonayo sisi wengine lakini upande mwingine unataka kuona kuna exception kwa NSSF. Lakini kweli tunaweza kukubali tu "despite" hizo kashfa za ufisadi? Waendelee tu na wananchi wakubali tu hata kama ushahidi mkubwa uliopo unatutisha?

There is no exception katika ufisadi mkuu hilo halikubaliki.
 
Mzee Mwanakijiji,

Hebu nikuulize kipi ni hatari zaidi yule anayewekeza pesa za mfuko katika projects ambazo zinafaida kwa jamii na kuziingizia profit NSSF au yule ambaye anachukua pesa kuweka katika personal bank account na kuhonga watu wengine (personal benefits) ambazo mfuko ukija kucollapse hakuna mahali tunaweza kuzipata hizo pesa unless tusieze account za watu? Binafsi first scenario ni better off than the second one wewe unaonaje?

Hivi unafikiri ni "project" ngapi "ambazo zinafaida kwa jamii" ambazo zimetumika kutajirisha mifuko ya watu? Hivi jengo la Machinga limejengwa kwa gharama ya nani? Umewahi kupitia ripoti ya Mkaguzi na Mdhibiti mkuu wa serikali ikuoneshe watendaji wetu wanavyotumia au kusimamia "miradi yenye maendeleo ya jamii"? Kwanini miradi ya NSSF itakuwa ni exception?
 
Hivi unafikiri ni "project" ngapi "ambazo zinafaida kwa jamii" ambazo zimetumika kutajirisha mifuko ya watu? Hivi jengo la Machinga limejengwa kwa gharama ya nani? Umewahi kupitia ripoti ya Mkaguzi na Mdhibiti mkuu wa serikali ikuoneshe watendaji wetu wanavyotumia au kusimamia "miradi yenye maendeleo ya jamii"? Kwanini miradi ya NSSF itakuwa ni exception?
Mkuu,

Bado hujanijibu swali langu which one is better kati ya scenarios mbili hizo?
 
Mkuu,

Bado hujanijibu swali langu which one is better kati ya scenarios mbili hizo?

swali lako linaassume kuwa mojawapo is better regardless of the variables! I don't presume that. Wakati mwingine ni bora uweke hela benki izae faida kuliko kuiingiza kwenye mradi ambao itapotea. Lakini tatizo la pili la swali lako linapendekeza kuwa kuna machaguao mawili tu na ni moja tu kati ya hayo machaguo mawili ndilo lililobora; unafikiri ni uchaguzi wa "either or" au kuna options nyingine nje ya hizo mbili ambazo zaweza kuwa bora zaidi?
 
swali lako linaassume kuwa mojawapo is better regardless of the variables! I don't presume that. Wakati mwingine ni bora uweke hela benki izae faida kuliko kuiingiza kwenye mradi ambao itapotea. Lakini tatizo la pili la swali lako linapendekeza kuwa kuna machaguao mawili tu na ni moja tu kati ya hayo machaguo mawili ndilo lililobora; unafikiri ni uchaguzi wa "either or" au kuna options nyingine nje ya hizo mbili ambazo zaweza kuwa bora zaidi?

So niassume neither of the two sio? Na mtazamo wako wa kuweka fedha benki hivi unajua Tanzania hatuna deposit insurance scheme? Tuna minimimum reserve requirement but hatuna deposit insurance scheme ambayo serikali inakugurantee pesa zako zitakuwa safe. Unakumbuka balaa la greenwich bank na watu waliokuwa na fedha zao pale. Kuna amount ikiwa kubwa serikali haiwezi kukufidia sasa utasemaje benki ni better option.
 
So niassume neither of the two sio? Na mtazamo wako wa kuweka fedha benki hivi unajua Tanzania hatuna deposit insurance scheme? Tuna minimimum reserve requirement but hatuna deposit insurance scheme ambayo serikali inakugurantee pesa zako zitakuwa safe. Unakumbuka balaa la greenwich bank na watu waliokuwa na fedha zao pale. Kuna amount ikiwa kubwa serikali haiwezi kukufidia sasa utasemaje benki ni better option.

hapana sijasema hivi nimeuliza maswali; ninachosema ni kuwa mfumo wetu ulivyo sasa bado haujajengwa kuweza kuhimili uwekezaji mkubwa wa fedha za wafanyakazi kwenye miradi mikubwa ya namna hii na vile vile kutoka na mang'amuzi ya nyuma ni kujiandaa na kutengeneza eneo jipya la ufisadi.
 
Mzee Mwanakijiji,

Despite hayo mascandal ya Deep Green na Mengineyo BOT wako very strict katika kusimamia financial institutions za Tanzania. Mabenki mengi tanzania na depository financial institution (au jina lengine Thrift institution mojawapo NSSF) wana excess ya cash nyingi sana. Sasa ndio maana IMF wamewasifu kwasababu ni ngumu sana kuyumba. Hakuna aggressive institutional investors in Tanzania kwasababu kwanza banks and non-bank institutions wanaogopa sana kukopesha kwa makampuni na watu binafsi kwasababu ya risk mbali mbali. Ndio maana nakuambia mwanakijiji financial industry ya Tanzania iko stable sana despite madudu ya ufisadi.


Assume nimekulea huko juu o sasa mbona maelezo yote yale umemalizia hivi
........Ila kuna hatari mmoja inajitokeza mfano PPF kama haijadhibitiwa itacollapse na hilo linaweza kuleta balaa katika uchumi kwasababu wingi wa pesa katika fund unachochea ufisadi wa watu kuzichota kitu kinachopelekea mfuko kufa na kuyumba kwa uchumi sasa hilo linahitaji kufuatiliwa kwa ukaribu.


Kwa kiswahili tunasema tungo tata.
 
Assume nimekulea huko juu o sasa mbona maelezo yote yale umemalizia hivi



Kwa kiswahili tunasema tungo tata.

Zing,

Sijajicontradict ni kwamba nasema hivi kwa sasa Financial institutions za tanzania ziko stable na haziwezi kuyumba kwa taarifa nilizokuwa nazo. So far hizi institutions zina reserve kubwa kuyumba. Ila hali inayoendelea PPF something needs to be done kwasababu if it is true a DG anaiba 500 Million jiulize DF ameiba ngapi, Chief accountant , Director wa operations, investment na kwengineko utaona kama hakuna ufatiliaji PPF itakuwa mbioni kufa.

Ikianguka PPF itasababisha kuyumba kwa uchumi kwani sijui BOT kama wanameasures za kuikoa PPF ila kama hawana uchumi wa nchi utayumba. It is different from NSSF wakiishiwa BOT inaweza kuuza zile projects zao wakafidia hela, vilevile wanaweza kuuza assets zao, mikopo kusaidia kufidia hasara but PPF is worst case scenario na tusije kushangaa tukasikia wanachechemea siku za mbeleni.
 
Namna haya makampuni yanayokusanya hela bila ya kutolea jasho yanavyoendeshwa kwenye nchi zenye rushwa iliyokithiri kama Tanzania ni utata mtupu. Angalieni vizuri jinsi hata kazi zinavyotolewa na investment baada ya kupewa kazi zinafanyikaje! Inachekesha sana kuona hawa hawa NSSF ambao huko nyuma wamehusishwa na rushwa za aina nyingi tu, mfano ni ule wa jengo la quality plaza, wanavyotaka kutufanya watu tumesahau kama wanamatatizo ya rushwa na leo kukimbilia mbele eti ndio wakombozi! Mhhhh!
hawana machungu na nchi.. matumbo mbele
 
Back
Top Bottom