Notisi ya kuanzisha Mikoa na Wilaya

Buhigwe(Kigoma), Butiama(Mara), Chemba(Dodoma), Ikungi(Singida), Itimila (Simiyu), Kakonko(Kigoma), Kaliua(Tabora), Mbogwe(Geita), Mkalama (Singida), Mlele(Katavi),Momba(Mbeya), Nyang’hwale(Geita), Nyasa(Ruvuma), Uvinza(Kigoma) na Wanging’ombe(Njombe).
 
Humu jf ukiamka tu na lolote unaandika kwa kuwa Moderators hawajui ulichoandika 'eti Jimbo la Mbogwe" jimbo jipya shame on U!
 
Uwanja umekuwa mpana ila mbona sioteshwi ndoto na pia mbona hawaji kuniomba????? Tafakari, chukua hatua
 
We unamanisha nini? Jimbo la kakonko ni wilaya mpya ya kakonko ambayo imetokana na wilaya ya kibondo kule kigoma.
kabla lilikuwa jimbo la buyungu lina Kata 13, kwa mpango huu wa tume, je wamegawa jimbo la buyungu lenye kata 13 ili kapata jimbo la buyungu na jimbo la kakonko?
Au wamelibatiza jimbo la buyungu jina jipya ambalo ni jimbo la kakonko, nini wamefanya tume?

jina tu jimbo ni lilelile,mfano Uvinza(kigoma kusini) upya ni jina la Wilaya
 
Nyasa (zamani lilikuwa linaitwa Mbinga Magharibi - kwa Capt. J. Komba) limeitwa hivyo kutokana na kuanzishwa kwa wilaya mpya ya NYASA.
 
jina tu jimbo ni lilelile,mfano Uvinza(kigoma kusini) upya ni jina la Wilaya

Kweli mkuu Majimbo mengi hapa sio mapya bali majina tu
1.Mlele lilikuwepo na PM Pinda alishinda
2.Kakonko ni Jimbo la Bunyungu la Waziri Chiza
3.Nyasa ni Mbinga Magharibi la RIP Komba
4.Nyang'wale lipo Geita lilitoa Mbunge 2010
 
Kweli mkuu Majimbo mengi hapa sio mapya bali majina tu
1.Mlele lilikuwepo na PM Pinda alishinda
2.Kakonko ni Jimbo la Bunyungu la Waziri Chiza
3.Nyasa ni Mbinga Magharibi la RIP Komba
4.Nyang'wale lipo Geita lilitoa Mbunge 2010

Wasiseme wameongeza majimbo, waseme kuwa baadhi ya majimbo yamebadilishwa majina!
 
Tecknolojia imekuwa, majimbo yanapaswa kuunganishwa, iweje yakatwe katwe tena, gharama za kuendesha wabunge wapya 15 kwa miaka 5 ni kubwa zinatosha kumaliza tatizo la maabara kwa shule za kata zote TZ

Hapo mkuu umenena. Hata mie kwa kuzingatia maendeleo ya teknolojia na tehama nilitegemea majimbo yataunganishwa!!! Hivi ni kwa nini yanazidi kumegwa? Au ni ishara kuwa wawakilishi hawaendi sambamba na mabadiliko au uwezo wao mdogo wa kushughulikia/kupambana na changamoto zinazojitokeza enzi za siku hizi za dotcom?
 
Itilima kwa Mzee Cheyo zamani Bariadi Magharibi,Butiama si ndio kwa Nimrod Mkono.Wamebadilisha majina tu yote yana wabunge.
 
hivi NEC ni wajingaaa kiasi kwamba suala la kubadilisha majina wao wanaita kugawa majimbo mapya?? KAZI kweli kweli TZ, lazima kunakitu cha kuchomekea hapo
 
Back
Top Bottom