Notisi ya kuanzisha Mikoa na Wilaya

Tecknolojia imekuwa, majimbo yanapaswa kuunganishwa, iweje yakatwe katwe tena, gharama za kuendesha wabunge wapya 15 kwa miaka 5 ni kubwa zinatosha kumaliza tatizo la maabara kwa shule za kata zote TZ
 
Mbona kama naona wamebadili majina tu kutokana na wilaya mpya.mf Singida mashariki kuwa Ikungi au Urambo Mashariki kuwa Kaliua,Iramba mashariki kuwa Mkalama
 
Wabunge wanaotimiza Wajibu wao ni kama thelusi moja tuu sasa utitiri wa nini?
 
Hawa waalimu je.??? Wangelipwa vizuri zaidi

kiwango cha.ufaulu kingeongezeka kuliko majimbo mapya ,,,,,,,,
 

Attachments

  • 1431455614548.jpg
    1431455614548.jpg
    24.2 KB · Views: 1,094
CCM mbona mnatuongezea mzigo wa walipa kodi tena!!!waliokuwepo tu ni kasheshe kuwahudumia na hawafanyi kazi pale bungeni…hao watahitaji ma VX, mishahara isiyokatwa kodi,kutibiwa ulaya nk…
Kwa nini msiongeze mahospitali mazuri na shule nzuri???

Waliwadanganya wananchi kuwa serikali ya tatu ingeongeza gharama,hao wabunge 15 posho na mishahara,magari,matibabu.ccm bwana ni zaidi ya wezi
 
Yaani kama ndio kutafutiana ajira hii sasa imezidi. Hawa tu wanatushinda au kama ni hivyo mambo ya usawa wa jinsia yafutwe hatutaki viti maalum imetosha.
 
MAJIMBO MAPYA YA UCHAGUZI
1. Buhigwe—Kigoma
2. Uvinza — Kigoma
3. Kakonko—Kigoma
4. Butiama—Mara
5. Chemba— Dodoma
6. Ikungi— Singida
7. Itumila— Simiyu
8. Kaliua— Tabora
9. Mbogwe—Geita
10. Mkalama—Singida
11. Mlele— Katavi
12. Momba— Mbeya
13. Nyang'hwale— Geita
14. Nyasa— Ruvuma
15. Wanging'ombe—Njombe
hakuna mbinu yoyote inayoweza kuokoa ccm kwa sasa , hali ni mbaya sana !
 
Majimbo yote ya Kigoma na Geita na jimbo la Momba, Wanging'ombe na Butiama yanaenda upinzani

Kwa Kigoma ayatoll.a alisha fifisha upinzani...Ukipita utaliona kupitia bendera zao. Wamefanya hivyo baada kuona support wanayoweza kupata. Ushauri wangu kwa UKAWA...wavamie maeneo hayo kwa mikutano mingi ya ushawishi...uzuri kigona ni waelewa wa upinzani.
 
Ndo maana yalipuuzia rasimu ya katiba ya Warioba. Bunge kubwa mawazo finyu ya kuliedeleza taifa. Mbinu hii waambiwe wananchi.
 
Waliwadanganya wananchi kuwa serikali ya tatu ingeongeza gharama,hao wabunge 15 posho na mishahara,magari,matibabu.ccm bwana ni zaidi ya wezi

Hao wanaoitwa wananchi wengi wao ni maPOPOMA,,,sindio wanasema Katiba wameisoma na wameielewa wataipigia kura ya NDIO
 
Back
Top Bottom