Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nina hoja binafsi hapa ,jimbo la Bukoba vijiji ni kubwa na watu wameongezeka tunataka majimbo mawili kabisa
Kwa Kigoma ayatoll.a alisha fifisha upinzani...Ukipita utaliona kupitia bendera zao. Wamefanya hivyo baada kuona support wanayoweza kupata. Ushauri wangu kwa UKAWA...wavamie maeneo hayo kwa mikutano mingi ya ushawishi...uzuri kigona ni waelewa wa upinzani.
Hili la Butiama ndio atakapotokea Makongoro
Tume wapo sahihi sana nadhani karibia majimbo yote mapya yametokana na wilaya mpya. Hiyo ipo powa, hatuwezi kuwa na wilaya isiyo na mbunge.
CCM mbona mnatuongezea mzigo wa walipa kodi tena!!!waliokuwepo tu ni kasheshe kuwahudumia na hawafanyi kazi pale bungeni hao watahitaji ma VX, mishahara isiyokatwa kodi,kutibiwa ulaya nk
Kwa nini msiongeze mahospitali mazuri na shule nzuri???
Hili la butiama ni kwa ajili ya Makongoro Nyerere, na hapa ndoto za Urais hamna, it is just rumors that he is among the contestersMAJIMBO MAPYA YA UCHAGUZI
1. BuhigweKigoma
2. Uvinza Kigoma
3. KakonkoKigoma
4. ButiamaMara
5. Chemba Dodoma
6. Ikungi Singida
7. Itumila Simiyu
8. Kaliua Tabora
9. MbogweGeita
10. MkalamaSingida
11. Mlele Katavi
12. Momba Mbeya
13. Nyang'hwale Geita
14. Nyasa Ruvuma
15. Wanging'ombeNjombe