Kuna baadhi ya matawi yenu wana kasumba ya kutoruhusu withdrawal za wastani tu kwa kisingizio eti hawana fedha za kutosha hasa tawi lenu la Mkwawa Iringa, juzi tu kuna taasisi ilienda kutoa mil 40 kwa ajili ya malipo ya kazi fulani kwa wafanyakazi wake wakaambiwa hakuna fedha.

ukienda kutoa laki zako nne tu kwenye atm za pale utaingiza kadi mara mbili na makato yanaongezeka, ukiingia ndani ya benki kwenye foleni unakuta durisha mbili tu ndo zina wahudumu zingine closed temporarily na wakati mwingine wanadai eti siku hizi kuna mawakala wateja waende huko kisa wahudumu wanataka kupumzika tu.

atm mashine zipo zaidi ya kumi mjini zinazofanya kazi ni tatu tu, manager wa mkwawa hayupo makini na kazi yake!
 
Benki yenu haibadiliki ipo ipo tu kwanini msiwe wabunifu ? Watu wanatafuta hela kwa shida kwenda kutunza hela zao na kuchukua pia wapate shida ? You have to be creatives and avoid conservatism.
Wakati mwingine bureaucracy inasaidia sana, juzi wamekamata mteja wao mmoja ameghushi saini ya boss wao anataka kuchukua mamilioni ya fedha za shule moja ya dini hapa Dodoma. Big up nmb
 
Kuna baadhi ya matawi yenu wana kasumba ya kutoruhusu withdrawal za wastani tu kwa kisingizio eti hawana fedha za kutosha hasa tawi lenu la Mkwawa Iringa, juzi tu kuna taasisi ilienda kutoa mil 40 kwa ajili ya malipo ya kazi fulani kwa wafanyakazi wake wakaambiwa hakuna fedha, ukienda kutoa laki zako nne tu kwenye atm za pale utaingiza kadi mara mbili na makato yanaongezeka, ukiingia ndani ya benki kwenye foleni unakuta durisha mbili tu ndo zina wahudumu zingine closed temporarily na wakati mwingine wanadai eti siku hizi kuna mawakala wateja waende huko kisa wahudumu wanataka kupumzika tu, atm mashine zipo zaidi ya kumi mjini zinazofanya kazi ni tatu tu, manager wa mkwawa hayupo makini na kazi yake!
Hapo Iringa ndio walinifanya nikahamia crdb. Yule meneja hafai hata kidogo,
 
Hv zile asilimia mbili mnazokata kwenye mkopo kwa ajili ya kushughulikia mkopo sizielewi,mnaweza kunieleza vizuri.

Mtu anapoomba mkopo was fedha mfano mil 10 hapewi iliyokamili kama alivyoomba.ni kwa mini inakuwa hvyooo.hyo asilimia mbili ni tofauti na riba halisi.kiukweli hamtendei wateja vyema.
 
Mazigazi
Simu yako ina hela ya kutosha
Ie salio?

Mkuu ni Salio la aina gani? La mpesa au la kawaida?.

Nipe ufafanuzi kidogo yaani kama kipi na kipi kikikosena basi Huduma haifanyi kazi .

Halafu makato yakoje?.

Ntashukuru sana kama ntapata ufafanuzi wa Huduma hii maana kwa saaa nipo bush kwa kazi maalum mpaka nitoke huko itachukua muda sana na benki Hamna kabisa.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu ni Salio la aina gani? La mpesa au la kawaida?.

Nipe ufafanuzi kidogo yaani kama kipi na kipi kikikosena basi Huduma haifanyi kazi .

Halafu makato yakoje?.

Ntashukuru sana kama ntapata ufafanuzi wa Huduma hii maana kwa saaa nipo bush kwa kazi maalum mpaka nitoke huko itachukua muda sana na benki Hamna kabisa.

kama unatumia voda hakikisha unakuwa na salio kwenye simu.

Kila unapofanya muamala unakatwa 100 mpaka 200 kwenye salio lako(muda wa maongezi) na kama hutokuwa na salio kwenye line hutoweza fanya muamala wowote.

Airtel na tigo ni bure.
 
Mbona naona mnawatangaza wafanyikazi wenu ktk newspapers mbalimbali na pia mbona mnakuwa na rb zao?
 
Geita Bank yenu inalemewa na wateja has a mwisho wa mwezi pale kwenye ATM machines ,Mara nying nimeshuhudia msururu mrefu had SAA tatu za usiku, fanyeni utaratibu wa kuongeza/kufungua ATM machines ziwe nyingi ili kurahisha huduma kwa wateja wenu.
 
ni kwamba kwa wa tu walioko@#songea#@ wanapata adha kubwa kwa upunguvu wa vituo vya kutoa huduma so mngejarib kuongeza mawakala ili kubolesha zaid huduma zenu.
 
kama unatumia voda hakikisha unakuwa na salio kwenye simu. Kila unapofanya muamala unakatwa 100 mpaka 200 kwenye salio lako(muda wa maongezi) na kama hutokuwa na salio kwenye line hutoweza fanya muamala wowote. Airtel na tigo ni bure.

Asante mkuu nimekuelewa vizuri
 
Mimi kuna jamaa yangu nilikua serengeti mgum alitoa tsh200 000/= akakuta tsh20 000 ni feki alishangaa sana, tukajiuliza zimepitaje kwenye ATM mashine? Alizichana palepale, ilikua jpili
 
Nimejiunga na Nmb mobile .

Sasa kila nikipiga *150*66# kwa ajili kufanya mualama from my nmb account to my mpesa naambiwa" you have not enough funds to do this transactions .

Sielewi elewi na mbaya zaidi nipo mbali kutoka kwenye branch niliyofungulia account yaani nipo porini kabisa.

Kama unatumia line ya voda unatakiwa uwe na salio si chini ya 100, kama ni airtel hata ukiwa na 0 haina shida, pia kumbuka kubakiza kiasi cha tsh angalau 2000 ktk a/c yako ambayo itakatwa kwa muamala wa kuhamisha pesa thanks
 
Ebana hilo no kweli kabisa hata mm nilisha toa ela makambako NBC nikakutana na same case.. ilikuwa mwekundu mmoja fake.. ila Leo na lalamiko Moja la Nmb songea.. hii branch imezidiwa na wateja na pia uwa wnazingua kuload ela kwenye machine yaan wanakira Sana.

ushauri tu wafungue brach nyingine tu huduma za hapa zimezidiwa kwa sasa
 
mtu akipoteza kadiyake mjitahidi kumpatia nyingine sio mpaka mwezi uishe au nazaidi
 
mtu akipoteza kadiyake mjitahidi kumpatia nyingine sio mpaka mwezi uishe au nazaidi

Kwa hili nawatetea, kadi zote hutengenezewa sehem moja na zinatumwa, sema waboreshe utumaji
 
Huduma zenu kwa wateja zimekaa kimatangazo zaidi.

Mtu akifika hahumiwi ipasavyo.
Pia unakuta kuna teller window nyingi ila wähudumu hamna ndani matokeo yake folen inakua ndefu na isiyosogea
 
Nmb ,mnapashwa kuwa mnatoa majibu ya maswali yetu kwa uharaka ,kupunguza mlolongo mrefu wa maswali,asanteni
 
Back
Top Bottom