Njoo hapa nikufundishe njia sahihi ya kupigana vita vya kiroho

LIKUD

JF-Expert Member
Dec 26, 2012
15,120
27,126
Nianze KWA ku declare interest nimezaliwa katika familia ya kiislamu. Katika maisha yangu halisi najulikana kama muislamu. Familia yangu inanitambua kama Muislamu.

Lakini ndani ya nafsi yangu nilisha uvua utambulisho wa uislamu toka enzi za Pontyo wa Pilato.

Niliamua kuachana kabisa na mambo ya dini baada ya kuujua ukweli halisi kuhusu dini tulizo letewa ambao KWA bahati mbaya sana watu wengi leo hii hawaujui.

Nilijaaliwa kupata nuru hii baada ya kusoma kwa kina vitabu vya dini zote ulimwenguni.

Back to my point . Nataka nikufundisheni njia sahihi ya kupigana vita vya kiroho.

Ephesians 6:12 ni andiko ambalo lina wapita kushoto wakristo wengi sana.

Hilo andiko linasema " vita vyetu si vita vya mwili na damu bali ni vita vya kiroho"

SASA basi Mkristo akikutana na situation ambayo ataihusisha na majini au mapepo au kiumbe yoyote wa kiroho, Mkristo huyo atakwenda kanisani ( madhabahuni) na kuanza ku fire hizo spirit.

Ni makosa makubwa sana kufanya hivyo.

Alie sema" Vita vyetu si vita vya mwilini bali rohoni" alimaanisha kwamba adui zetu hatari zaidi ni maadui wasio onekana ( wakiwemo majini na mapepo) kuliko wale wanao weza kuonekana.

Adui HAWA wasio weza kuonekana hu capitalize kwenye hiyo fact ya kuto onekana kama nyenzo ya kivita.


UKITAKA KUMSHINDA JINI YOYOTE YULE USIPELEKE VITA ROHONI, PIGANA KWA JINSI YA MWILI UTAKUJA KUNISHUKURU NIKO PALE NIMEKAA.

Mwanadamu ( kiumbe ambae nguvu zako zipo kwenye mwili ) Unapo chagua vita YAKo dhidi ya jini/PEPO( kiumbe wa kiroho) ipiganwe katika ulimwengu wa rohoni unakuwa hauna tofauti na mwanadamu ambae anaenda kupigana na mamba ndani ya maji..

Utashindwa.

Wewe nguvu zako zipo kwenye mwili.

Nguvu zako zipo kwenye matumizi ya akili YAKO ambayo ipo ndani ya mwili.

Hujui chochote kuhusu ulimwengu wa roho unaweza vipi kushindana na kiumbe ambae anaishi huko rohoni toka enzi za Pontyo wa Pilato?


Unazidiwa akili HADI na mamba?

Mamba hakufuati binadamu nje ya maji KWA sababu anajua huko nchi kavu wewe binadamu una nguvu kushinda yeye.

Mamba ana kusubiri uingie ndani ya maji KWA sababu huko ndiko kwenye nguvu zake na mamlaka yake.

TUFANYE NINI SASA EEH RABI?

Ndio maana kwenye Kitabu chenu imeandikwa " watu wangu Wana angamia KWA kukosa maarifa"

Sio kwa kukosa imani. Nope. Maarifa!!!

Unapaswa kutumia maarifa tu.

KWANZA unatakiwa uujue huu ukweli kuhusu majini na viumbe wote wa kiroho.

Jini hana uwezo wa kumshinda binadamu anae tumia walau robo ya uwezo wa akili yake.

Ukitumia akili YAKO vizuri hakuna jini ataweza kukushinda.

Huhitaji Shekhe wala Mchungaji wala sijui mganga ILI umshinde jini. Unahitaji akili.

Ukitumia akili YAKO vizuri kanisani na msikitini utakuwa unaenda kumshukuru Mungu tu na sio kwenda kumuomba sijui eti akuepushe na shari za majini upuuzi mtupu.


Haya yanatoka kwa mtu ambae amekuwa exposed na elimu ya ukweli na sahihi kuhusu Majini ( wachana na hii elimu ya majini ya mashekhe ambayo ni SAWA na tone la maji baharini. Infact they don't know anything about the jinns)

Ni elimu ya majini nje ya elimu waliyo nayo mashekhe.

Maarifa ya majini ( kile wanacho jua majini) ambayo yametafsiriwa kutoka kwenye lugha za kijini.

Majini Wana lugha zao. ( Sio kiarabu. Bahati mbaya sana watu wengi sana Wana amini eti majini wanaongea kiarabu au kiarabu ni lugha ya majini. Na hii imekuwa sababu kubwa ya wakristo kuunyanyapaa uislamu wakiamini waislamu Wana majini au uislamu ni dini ya majini. Mna waonea bure tu ndugu zenu HAWA, hata wao hawajui chochote kuhusu majini wala hawana majini. Wala hiyo elimu ya majini hawana. Ni kama nyie tu. Wana bahatisha bahatisha tu kama nyie..


Ukitaka kuamini hiki ninacho kisema, we mtafute Shekhe yoyote unae mfahamu au anae tajwa kuwa na elimu ya juu ya majini halafu muulize maswali haya:

1. Majini wanafananaje?


2. Majini wana ongea lugha ngapi?

3. Majina ya hizo lugha za kijini ni yepi?

Akikujibu nipo pale nimekaa

Hakuna muislamu anae jua hilo awe imamu au maamuma.

Mtu pekee aliye kuwa na elimu sahihi ya majini ni SULEIMAN IBN DAUD ambae hata hivyo pamoja na kuwa na elimu hiyo ya majini still bado alikuwa ganked.


Back to the point.

Usipigane vita na jini KWA kutumia njia anazo tumia kupigana na wewe ( njia za kiroho)




Wewe tumia akili YAKO KWA usahihi.. Elekeza matumizi ya akili YAKO katika sehemu sahihi na wakati sahihi.


MIFANO

1. UNAHISI UMEROGWA BIASHARA YAKO HAIENDI: badili biashara au ongeza biashara nyingine au fungua biashara nyingine ndogo ndogo ajiri watu huko.


2. UNAHISI wachawi wanakuja kukuroga usiku: badili muda wa kulala KWA siku ishirini na moja ( majini wakitumwa kwenda kumfanyia mtu ubaya huwa wanaenda KWA siku 21 consecutively..kama ndani ya hizo Siku 21 watashindwa kufanya chochote dhidi ya intended victim iwe ni kwa sababu ya kuwa na kinga kubwa, nguvu za Mungu au kutumia akili BASI majini hao wata give up na hawatorudi tena come what may. Watapeleka intelligence report KWA aliye watuma kwamba wewe hauwezekaniki. Ndio maana wale wanao tumiaga dawa za kufukuza majini wa nuksi/mikosi/maradhi ya kichawi kwenye mwili ukitumia dawa KWA siku let's say 5 ukaona mabadiliko halafu ukatupa dawa KWA kuamini umepona siku ya sita majini wakirudi wanarudi mazima na kwa fujo...

Whatever u do against these evil spirits must be 21 days in number.

Badili muda wa kulala. Uwe unalala.mchana. usiku nenda klabu..majini wa uchawi hawawezi kumpiga uchawi mtu ambae yupo active wakati wa usiku...


Ndio maana wazungu waliwekeza sana kwenye elimu kwa sababu mtu mwenye elimu na maarifa mapana kuhusu mwili wake na maisha yake ( nje ya mambo ya kiroho) hawezi kuwa defeated na majini.


3. UNAFANYA KAZI SANA KIPATO HAKIONEKANI

- Punguza matumizi yasiyo ya lazima

- kama una ingiza let's say laki moja KWA siku na unafanya kazi kwa masaa kumi ila unataka kuingiza milioni moja KWA siku ndani ya masaa hayo kumi njia pekee inayo weza ki guarantee hiyo outcome ni wewe kufanya kazi kwa masaa.100 KWA siku. Unafanya vipi kazi masaa mia kwa.siku wakati wote tunajua siku ina masaa.24?

Fungua sehemu tofauti tofauti kumi KILA sehemu ajiri mtu mmoja jumla.wanakuwa watu kumi hao.

Anza kuwa kufungua sehemu moja then ikichanganya fungua sehemu nyingine etc.
 
Mh... Wachawi hata usipolala wanakupga miba

KWA kusema hivi ndo unawapa nguvu ya kukuroga lakini believe me hawana lolote mkuu.


Hapo ulipo najua una ndugu zako wachawi ambao wamekuwa wakiomba ufe toka mwaka 87 lakini mpaka leo hii bado upo unaishi..


Acha kuwapa wapuuzi nguvu ambazo hawana
 
Dah! Kwa hiyo kuna baadhi ya Masheikh wana elimu ya majini!! Kwa ajili ya nini?
Hakuna Shekhe yoyote duniani mwenye elimu ya majini... Elimu sahihi ya majini ipo pale Holy Sea. Wao ndo wanajua majini ni kitu GANI and what they are up to.. mashekhe wanao sema Wana elimu ya majini Wana " Ganga" tu .

Kuganga= kubahatisha bahatisha
 
I don't trust wachawi , nilishawahi pigana na mmojawao akanipa free one month to pass away AJABU alikufa yeye , the light ...
Mchawi ni kiumbe dhaifu sana mkuu. Nashangaa kwanini watu Wana wapa nguvu kubwa kiasi hicho...

Mchawi ni mtu ambae hana akili. Wewe unataka mtu age badala ukampige bastola eti unaenda kujifungia kwenye chumba chenye giza na kuanza kusema " Fulani kufaa!!! Fulani Kufaa!!!

Akili kama za nguruwe pori, anachimba mihogo KWA pua wakati miguu anayo.
 
Na mtu mwenye jini mahaba na vipi? Mfano anashindwa kupata mtoto kisa tu ana jini mahaba ambaye anamsumbua.

Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Duniani hakuna jini mwenye uwezo au maarifa ya kumfanya mwanadamu ashindwe kubeba mimba au kuzaa.

Pili hakuna kitu kinachoitwa " Jini Mahaba"


Huyo ni " jini kibaka* . Anakubaka.


Mahaba = mapenzi.

Makubaliano baina ya watu wawili.

Back to the solution: Tumia akili.

PIGANA vita hiyo KWA kutumia akili.

Kama nyoka ameingia chumbani kwako, hauendi KWA Shekhe kuomba dua au KWA Mchungaji kufanya maombi ILI nyoka huyo atoke chumbani kwako.


Utachoma mpira. Harufu ya mpira itamkimbiza nyoka atatoka chumbani kwako.


Vivyo hivyo KWA huyo jini Mahaba.


Kunywa dawa oga dawa au choma dawa ambazo zitamkimbiza. Kuna dawa zinachomwa ule moshi unamkaba huyo jini anatoka mwenyewe na hatorudi tena na akienda huko aliko toka anakaa siku arobaini katika hali hiyo ya kukabwa na kukosa pumzi..

Na huo sio uchawi. Ni sayansi. Hakuna cha kufanya manuizi wala.mama.ake na manuizi.
 
BIBLIA inasema hivi kumhusu Muumba wetu: “Mungu ni nuru na hakuna giza kamwe katika muungano na yeye.” (1 Yohana 1:5) Hilo ni kweli hasa kuhusu mambo ya kiroho. Kwa hiyo, je, Mungu wa kweli anaweza kuwa ndiye chanzo cha uchawi? Au je, kuna nguvu fulani ya uovu inayoongoza uchawi?Baadhi ya mazoea ya kiuchawi ambayo watu hujihusisha sana nayo ni uaguzi na kuwasiliana na pepo kutia ndani unajimu, ubashiri wa kutumia namba, usomaji wa viganja, kuwasiliana na “wafu” na vilevile ulozi. Mazoea hayo yana historia ndefu, kwani mengi kati yake yalianzia Babiloni la kale, ambalo magofu yake yanapatikana huko Iraki. (Isaya 47:1, 12, 13) Kutoka Babiloni, mazoea ya uchawi yalienea kote katika ulimwengu wa kale na kutia mizizi katika tamaduni na jamii nyingi.Fikiria tukio lililotokea katika jiji la Filipi lililokuwa katika Makedonia ya kale. Kikundi kidogo cha wahudumu Wakristo, kilichotia ndani mtume Paulo na daktari Luka, kilikutana na msichana aliyekuwa na nguvu za kufanya uchawi. Ona jinsi Luka, mwandikaji wa Biblia, alivyofunua chanzo cha nguvu hizo. Aliandika hivi: “Kijakazi fulani mwenye roho, roho mwovu wa uaguzi, akakutana nasi. Yeye alikuwa akiwapatia mabwana zake faida nyingi kwa kufanya ufundi wa kubashiri.”—Matendo 16:16-18.Naam, msichana huyo hakupata nguvu hizo kutoka kwa Mungu wa kweli, Yehova, bali kutoka kwa roho mwovu. Hiyo ndiyo sababu Paulo pamoja na waandamani wake walikataa kumsikiliza. Huenda unajiuliza hivi: ‘Roho waovu ni nani? Nao walitoka wapi?’ Hebu ona majibu ya Biblia.Roho Waovu Ni Nani?Mapema kabla ya kuwaumba wanadamu, Yehova aliumba ‘wana wa Mungu’ wa roho huko mbinguni, wenye akili na walio wengi sana. (Ayubu 38:4, 7) Kama wanadamu, wao pia wana uhuru wa kuchagua, na kwa muda mrefu walikuwa washikamanifu kwa Mungu. Lakini kwa ghafula hali hiyo ya furaha ilikatizwa. Jinsi gani?Baada ya Mungu kuwaumba wanadamu, kiumbe mmoja wa roho alianza kutamani kitu ambacho hakikuwa chake —ibada. Kama vile mtu mwenye ustadi anavyoweza kufanya ionekane kana kwamba sauti inatoka katika mwanasesere, malaika huyo mwovu alitumia nyoka kumshawishi mwanamke wa kwanza, Hawa, asimtii Muumba wake. (Mwanzo 3:1-6) Biblia inamtaja malaika huyo mwasi kuwa “yule nyoka wa zamani, yeye anayeitwa Ibilisi na Shetani.” (Ufunuo 12:9) Yesu alimtaja kuwa “muuaji” ambaye “hakusimama imara katika kweli,” halafu akaongeza hivi: “Anaposema uwongo, yeye husema kulingana na mwelekeo wake mwenyewe, kwa sababu yeye ni mwongo na ndiye baba ya uwongo.”—Yohana 8:44.Baadaye, ‘wana wengine wa roho wa Mungu wa kweli’ walijiunga katika uasi huo wa Shetani. (Mwanzo 6:1, 2) Wanajulikana kama “wale malaika waliofanya dhambi” na wale “malaika ambao hawakubaki mahali pao pa kwanza bali wakayaacha makao yao wenyewe yanayofaa,” au mahali pao walipogawiwa huko mbinguni. (2 Petro 2:4; Yuda 6) Wakaja kujulikana kama roho waovu. (Yakobo 2:19) Zaidi ya hilo, wameazimia kuwaondoa watu wengi iwezekanavyo kutoka kwenye ibada ya kweli, kama vile tu walivyowafanya Waisraeli katika nyakati za Biblia. (Kumbukumbu la Torati 32:16, 17) Vivyo hivyo leo pia, kama vile ilivyokuwa nyakati zilizopita, Shetani pamoja na roho waovu hutumia ujanja kufundisha uwongo wa kidini.—2 Wakorintho 11:14, 15.Jilinde!Hata ingawa roho waovu wana nguvu zinazopita zile za wanadamu, kupitia msaada wa Mungu, tunaweza ‘kuchukua msimamo kuwapinga’ na kuwa washindi. (1 Petro 5:9) Hata hivyo, ili kupata msaada huo, tunahitaji kujifunza yale ambayo Mungu anataka tufanye na kutenda kupatana nayo. Akizungumza kuhusu Wakristo walioishi wakati wake, mtume Paulo aliandika hivi: “Sisi . . . hatujaacha kusali kwa ajili yenu na kuomba kwamba mjazwe ujuzi sahihi wa mapenzi yake katika hekima yote na utambuzi wa kiroho, ili mtembee kwa kumstahili Yehova kwa kusudi la kumpendeza yeye kikamili.”—Wakolosai 1:9, 10.Wale ambao walipata ‘ujuzi huo sahihi’ walitia ndani watu kadhaa kutoka jiji la Efeso ambao walifanya uchawi. Ona jinsi ujuzi kuhusu kweli ulivyowasaidia. Biblia inasema hivi: “Hesabu kubwa ya wale waliozoea kufanya ufundi wa uchawi wakaleta pamoja vitabu vyao wakaviteketeza mbele ya kila mtu.” Vitabu hivyo vilikuwa na thamani ya “vipande 50,000 vya fedha,” na hizo zilikuwa pesa nyingi sana! (Matendo 19:17-19) Mfano huo wa ujasiri ulirekodiwa kwa faida yetu.—2 Timotheo 3:16.Kanuni ZitakazokulindaKuna mambo mengine tunayoweza kufanya ambayo yatatulinda kutokana na roho waovu. Hebu chunguza kanuni za Biblia zifuatazo.“Msiamini kila neno lililoongozwa na roho, lakini yajaribuni maneno yaliyoongozwa na roho ili kuona kama yanatokana na Mungu.” (1 Yohana 4:1) Huenda mambo fulani yanayosemwa na wanajimu, watu wanaosoma akili za watu, watu wanaowasiliana na pepo, na wachawi yakawa ya kweli. Kwa mfano, yule msichana kutoka Filipi aliyekuwa na roho mwovu, alisema ukweli aliposema hivi kumhusu Paulo na waandamani wake: “Watu hawa ni watumwa wa Mungu Aliye Juu Zaidi, wanaowatangazia ninyi njia ya wokovu.” (Matendo 16:17) Hata hivyo, Paulo na waandamani wake hawakukubali awafuate. Badala yake, Paulo aliamuru roho huyo mwovu atoke ndani yake. Chunguza mambo ambayo dini zinasema na uyalinganishe na yale ambayo Biblia inasema.—Matendo 17:11.“Basi, jitiisheni kwa Mungu; lakini mpingeni Ibilisi, naye atawakimbia ninyi.” (Yakobo 4:7) Roho waovu ni adui wa Mungu na wako pia. Usijaribu hata kidogo kuwa mdadisi kuhusu mambo yao yaliyofichika. Badala yake, jitiishe kwa Mungu kwa kutii amri zake zenye upendo, ambazo si zenye kulemea. (1 Yohana 5:3) Kwa mfano, Mungu aliliambia hivi taifa la kale la Israeli: “Asipatikane ndani yako yeyote . . . anayefanya uaguzi, mwenye kufanya uchawi au yeyote anayetafuta ishara za bahati au mlozi, au anayefunga wengine kwa kuwatakia maovu au yeyote anayetafuta shauri kwa mwenye kuwasiliana na pepo au mjuzi wa kubashiri matukio au yeyote anayeuliza habari kutoka kwa wafu. Kwa maana kila mtu anayefanya mambo hayo ni chukizo kwa Yehova.” (Kumbukumbu la Torati 18:10-12) Maoni ya Mungu hayajabadilika.—Wagalatia 5:19, 20.“Hakuna apizo lolote la bahati mbaya juu ya [watumishi wa Yehova].” (Hesabu 23:23) Wale wote ambao wanataka kumpendeza Mungu hawapaswi kuwaogopa roho waovu. Kwa kweli, roho hao waovu hata “hutetemeka” mbele za Mungu, kwa sababu wanajua kwamba yeye ana nguvu nyingi, ambazo atatumia kuwaharibu. (Yakobo 2:19) Mungu ataonyesha “nguvu zake kwa ajili ya wale ambao moyo wao ni mkamilifu kumwelekea yeye,” na ‘hatamwacha mwadilifu atikisike kamwe.’—2 Mambo ya Nyakati 16:9; Zaburi 55:22.“Walio hai wanajua kwamba watakufa; lakini wafu, hawajui lolote kamwe.” (Mhubiri 9:5) Neno la Mungu linafundisha kwamba mtu akifa, amekufa! Hatupaswi kuwaogopa, kwa sababu hawawezi kumdhuru mtu yeyote. (Isaya 26:14) Ili wawadanganye watu, wakati mwingine roho waovu hujifanya kuwa roho za wafu, na hilo linaweza kueleza kwa nini “roho” anayewatokea ni tofauti kabisa na mtu halisi walimjua.“Hamwezi kuwa mkishiriki ‘meza ya Yehova’ na meza ya roho waovu.” (1 Wakorintho 10:21, 22) Wale wote wanaompenda Yehova kikweli wataepuka kabisa vitabu, sinema, na michezo ya kompyuta iliyo na mambo ya uchawi au inayochochea mazoea na imani zinazohusiana na uchawi. Zaburi 101:3 inasema: “Sitaweka mbele ya macho yangu kitu chochote kisichofaa.” Zaidi ya hilo, mara nyingi burudani zinazohusisha uchawi hutukuza jeuri na mwenendo mpotovu, ambao ‘wale wanaompenda Yehova’ wanapaswa kukataa kabisa.—Zaburi 97:10.Roho waovu wamejitahidi sana kuficha utu wao kutoka kwa wanadamu. Lakini hawajafaulu kabisa kufanya hivyo. Kupitia Biblia, Yehova amefunua kabisa jinsi walivyo—waongo wabaya sana na adui hatari wa wanadamu. Wao ni tofauti sana na Muumba wetu, Yehova Mungu! Kama vile habari ifuatayo inavyoonyesha, yeye anatupenda, sikuzote yeye hutueleza ukweli, na anataka tuishi milele kwa furaha.—Yohana 3:16; 17:17.[Maelezo ya Chini]Dhamiri za watu hutofautiana, ikitegemea malezi ya kidini na pia ukomavu wa kiroho. Jambo kuu ni kwamba kila mtu anapaswa kudumisha dhamiri safi mbele za Mungu na asisumbue dhamiri za watu wengine kutia ndani watu wa familia. Waroma 14:10, 12 linasema kwamba “sisi sote tutasimama mbele ya kiti cha Mungu
 
BIBLIA inasema hivi kumhusu Muumba wetu: “Mungu ni nuru na hakuna giza kamwe katika muungano na yeye.” (1 Yohana 1:5) Hilo ni kweli hasa kuhusu mambo ya kiroho. Kwa hiyo, je, Mungu wa kweli anaweza kuwa ndiye chanzo cha uchawi? Au je, kuna nguvu fulani ya uovu inayoongoza uchawi?Baadhi ya mazoea ya kiuchawi ambayo watu hujihusisha sana nayo ni uaguzi na kuwasiliana na pepo kutia ndani unajimu, ubashiri wa kutumia namba, usomaji wa viganja, kuwasiliana na “wafu” na vilevile ulozi. Mazoea hayo yana historia ndefu, kwani mengi kati yake yalianzia Babiloni la kale, ambalo magofu yake yanapatikana huko Iraki. (Isaya 47:1, 12, 13) Kutoka Babiloni, mazoea ya uchawi yalienea kote katika ulimwengu wa kale na kutia mizizi katika tamaduni na jamii nyingi.Fikiria tukio lililotokea katika jiji la Filipi lililokuwa katika Makedonia ya kale. Kikundi kidogo cha wahudumu Wakristo, kilichotia ndani mtume Paulo na daktari Luka, kilikutana na msichana aliyekuwa na nguvu za kufanya uchawi. Ona jinsi Luka, mwandikaji wa Biblia, alivyofunua chanzo cha nguvu hizo. Aliandika hivi: “Kijakazi fulani mwenye roho, roho mwovu wa uaguzi, akakutana nasi. Yeye alikuwa akiwapatia mabwana zake faida nyingi kwa kufanya ufundi wa kubashiri.”—Matendo 16:16-18.Naam, msichana huyo hakupata nguvu hizo kutoka kwa Mungu wa kweli, Yehova, bali kutoka kwa roho mwovu. Hiyo ndiyo sababu Paulo pamoja na waandamani wake walikataa kumsikiliza. Huenda unajiuliza hivi: ‘Roho waovu ni nani? Nao walitoka wapi?’ Hebu ona majibu ya Biblia.Roho Waovu Ni Nani?Mapema kabla ya kuwaumba wanadamu, Yehova aliumba ‘wana wa Mungu’ wa roho huko mbinguni, wenye akili na walio wengi sana. (Ayubu 38:4, 7) Kama wanadamu, wao pia wana uhuru wa kuchagua, na kwa muda mrefu walikuwa washikamanifu kwa Mungu. Lakini kwa ghafula hali hiyo ya furaha ilikatizwa. Jinsi gani?Baada ya Mungu kuwaumba wanadamu, kiumbe mmoja wa roho alianza kutamani kitu ambacho hakikuwa chake —ibada. Kama vile mtu mwenye ustadi anavyoweza kufanya ionekane kana kwamba sauti inatoka katika mwanasesere, malaika huyo mwovu alitumia nyoka kumshawishi mwanamke wa kwanza, Hawa, asimtii Muumba wake. (Mwanzo 3:1-6) Biblia inamtaja malaika huyo mwasi kuwa “yule nyoka wa zamani, yeye anayeitwa Ibilisi na Shetani.” (Ufunuo 12:9) Yesu alimtaja kuwa “muuaji” ambaye “hakusimama imara katika kweli,” halafu akaongeza hivi: “Anaposema uwongo, yeye husema kulingana na mwelekeo wake mwenyewe, kwa sababu yeye ni mwongo na ndiye baba ya uwongo.”—Yohana 8:44.Baadaye, ‘wana wengine wa roho wa Mungu wa kweli’ walijiunga katika uasi huo wa Shetani. (Mwanzo 6:1, 2) Wanajulikana kama “wale malaika waliofanya dhambi” na wale “malaika ambao hawakubaki mahali pao pa kwanza bali wakayaacha makao yao wenyewe yanayofaa,” au mahali pao walipogawiwa huko mbinguni. (2 Petro 2:4; Yuda 6) Wakaja kujulikana kama roho waovu. (Yakobo 2:19) Zaidi ya hilo, wameazimia kuwaondoa watu wengi iwezekanavyo kutoka kwenye ibada ya kweli, kama vile tu walivyowafanya Waisraeli katika nyakati za Biblia. (Kumbukumbu la Torati 32:16, 17) Vivyo hivyo leo pia, kama vile ilivyokuwa nyakati zilizopita, Shetani pamoja na roho waovu hutumia ujanja kufundisha uwongo wa kidini.—2 Wakorintho 11:14, 15.Jilinde!Hata ingawa roho waovu wana nguvu zinazopita zile za wanadamu, kupitia msaada wa Mungu, tunaweza ‘kuchukua msimamo kuwapinga’ na kuwa washindi. (1 Petro 5:9) Hata hivyo, ili kupata msaada huo, tunahitaji kujifunza yale ambayo Mungu anataka tufanye na kutenda kupatana nayo. Akizungumza kuhusu Wakristo walioishi wakati wake, mtume Paulo aliandika hivi: “Sisi . . . hatujaacha kusali kwa ajili yenu na kuomba kwamba mjazwe ujuzi sahihi wa mapenzi yake katika hekima yote na utambuzi wa kiroho, ili mtembee kwa kumstahili Yehova kwa kusudi la kumpendeza yeye kikamili.”—Wakolosai 1:9, 10.Wale ambao walipata ‘ujuzi huo sahihi’ walitia ndani watu kadhaa kutoka jiji la Efeso ambao walifanya uchawi. Ona jinsi ujuzi kuhusu kweli ulivyowasaidia. Biblia inasema hivi: “Hesabu kubwa ya wale waliozoea kufanya ufundi wa uchawi wakaleta pamoja vitabu vyao wakaviteketeza mbele ya kila mtu.” Vitabu hivyo vilikuwa na thamani ya “vipande 50,000 vya fedha,” na hizo zilikuwa pesa nyingi sana! (Matendo 19:17-19) Mfano huo wa ujasiri ulirekodiwa kwa faida yetu.—2 Timotheo 3:16.Kanuni ZitakazokulindaKuna mambo mengine tunayoweza kufanya ambayo yatatulinda kutokana na roho waovu. Hebu chunguza kanuni za Biblia zifuatazo.“Msiamini kila neno lililoongozwa na roho, lakini yajaribuni maneno yaliyoongozwa na roho ili kuona kama yanatokana na Mungu.” (1 Yohana 4:1) Huenda mambo fulani yanayosemwa na wanajimu, watu wanaosoma akili za watu, watu wanaowasiliana na pepo, na wachawi yakawa ya kweli. Kwa mfano, yule msichana kutoka Filipi aliyekuwa na roho mwovu, alisema ukweli aliposema hivi kumhusu Paulo na waandamani wake: “Watu hawa ni watumwa wa Mungu Aliye Juu Zaidi, wanaowatangazia ninyi njia ya wokovu.” (Matendo 16:17) Hata hivyo, Paulo na waandamani wake hawakukubali awafuate. Badala yake, Paulo aliamuru roho huyo mwovu atoke ndani yake. Chunguza mambo ambayo dini zinasema na uyalinganishe na yale ambayo Biblia inasema.—Matendo 17:11.“Basi, jitiisheni kwa Mungu; lakini mpingeni Ibilisi, naye atawakimbia ninyi.” (Yakobo 4:7) Roho waovu ni adui wa Mungu na wako pia. Usijaribu hata kidogo kuwa mdadisi kuhusu mambo yao yaliyofichika. Badala yake, jitiishe kwa Mungu kwa kutii amri zake zenye upendo, ambazo si zenye kulemea. (1 Yohana 5:3) Kwa mfano, Mungu aliliambia hivi taifa la kale la Israeli: “Asipatikane ndani yako yeyote . . . anayefanya uaguzi, mwenye kufanya uchawi au yeyote anayetafuta ishara za bahati au mlozi, au anayefunga wengine kwa kuwatakia maovu au yeyote anayetafuta shauri kwa mwenye kuwasiliana na pepo au mjuzi wa kubashiri matukio au yeyote anayeuliza habari kutoka kwa wafu. Kwa maana kila mtu anayefanya mambo hayo ni chukizo kwa Yehova.” (Kumbukumbu la Torati 18:10-12) Maoni ya Mungu hayajabadilika.—Wagalatia 5:19, 20.“Hakuna apizo lolote la bahati mbaya juu ya [watumishi wa Yehova].” (Hesabu 23:23) Wale wote ambao wanataka kumpendeza Mungu hawapaswi kuwaogopa roho waovu. Kwa kweli, roho hao waovu hata “hutetemeka” mbele za Mungu, kwa sababu wanajua kwamba yeye ana nguvu nyingi, ambazo atatumia kuwaharibu. (Yakobo 2:19) Mungu ataonyesha “nguvu zake kwa ajili ya wale ambao moyo wao ni mkamilifu kumwelekea yeye,” na ‘hatamwacha mwadilifu atikisike kamwe.’—2 Mambo ya Nyakati 16:9; Zaburi 55:22.“Walio hai wanajua kwamba watakufa; lakini wafu, hawajui lolote kamwe.” (Mhubiri 9:5) Neno la Mungu linafundisha kwamba mtu akifa, amekufa! Hatupaswi kuwaogopa, kwa sababu hawawezi kumdhuru mtu yeyote. (Isaya 26:14) Ili wawadanganye watu, wakati mwingine roho waovu hujifanya kuwa roho za wafu, na hilo linaweza kueleza kwa nini “roho” anayewatokea ni tofauti kabisa na mtu halisi walimjua.“Hamwezi kuwa mkishiriki ‘meza ya Yehova’ na meza ya roho waovu.” (1 Wakorintho 10:21, 22) Wale wote wanaompenda Yehova kikweli wataepuka kabisa vitabu, sinema, na michezo ya kompyuta iliyo na mambo ya uchawi au inayochochea mazoea na imani zinazohusiana na uchawi. Zaburi 101:3 inasema: “Sitaweka mbele ya macho yangu kitu chochote kisichofaa.” Zaidi ya hilo, mara nyingi burudani zinazohusisha uchawi hutukuza jeuri na mwenendo mpotovu, ambao ‘wale wanaompenda Yehova’ wanapaswa kukataa kabisa.—Zaburi 97:10.Roho waovu wamejitahidi sana kuficha utu wao kutoka kwa wanadamu. Lakini hawajafaulu kabisa kufanya hivyo. Kupitia Biblia, Yehova amefunua kabisa jinsi walivyo—waongo wabaya sana na adui hatari wa wanadamu. Wao ni tofauti sana na Muumba wetu, Yehova Mungu! Kama vile habari ifuatayo inavyoonyesha, yeye anatupenda, sikuzote yeye hutueleza ukweli, na anataka tuishi milele kwa furaha.—Yohana 3:16; 17:17.[Maelezo ya Chini]Dhamiri za watu hutofautiana, ikitegemea malezi ya kidini na pia ukomavu wa kiroho. Jambo kuu ni kwamba kila mtu anapaswa kudumisha dhamiri safi mbele za Mungu na asisumbue dhamiri za watu wengine kutia ndani watu wa familia. Waroma 14:10, 12 linasema kwamba “sisi sote tutasimama mbele ya kiti cha Mungu
Pamoja sana mkuu
 
Nianze KWA ku declare interest nimezaliwa katika familia ya kiislamu. Katika maisha yangu halisi najulikana kama muislamu. Familia yangu inanitambua kama Muislamu.

Lakini ndani ya nafsi yangu nilisha uvua utambulisho wa uislamu toka enzi za Pontyo wa Pilato.

Niliamua kuachana kabisa na mambo ya dini baada ya kuujua ukweli halisi kuhusu dini tulizo letewa ambao KWA bahati mbaya sana watu wengi leo hii hawaujui.

Nilijaaliwa kupata nuru hii baada ya kusoma kwa kina vitabu vya dini zote ulimwenguni.

Back to my point . Nataka nikufundisheni njia sahihi ya kupigana vita vya kiroho.

Ephesians 6:12 ni andiko ambalo lina wapita kushoto wakristo wengi sana.

Hilo andiko linasema " vita vyetu si vita vya mwili na damu bali ni vita vya kiroho"

SASA basi Mkristo akikutana na situation ambayo ataihusisha na majini au mapepo au kiumbe yoyote wa kiroho, Mkristo huyo atakwenda kanisani ( madhabahuni) na kuanza ku fire hizo spirit.



Ni makosa makubwa sana kufanya hivyo.

Alie sema" Vita vyetu si vita vya mwilini bali rohoni" alimaanisha kwamba adui zetu hatari zaidi ni maadui wasio onekana ( wakiwemo majini na mapepo) kuliko wale wanao weza kuonekana.

Adui HAWA wasio weza kuonekana hu capitalize kwenye hiyo fact ya kuto onekana kama nyenzo ya kivita.


UKITAKA KUMSHINDA JINI YOYOTE YULE USIPELEKE VITA ROHONI, PIGANA KWA JINSI YA MWILI UTAKUJA KUNISHUKURU NIKO PALE NIMEKAA.

Mwanadamu ( kiumbe ambae nguvu zako zipo kwenye mwili ) Unapo chagua vita YAKo dhidi ya jini/PEPO( kiumbe wa kiroho) ipiganwe katika ulimwengu wa rohoni unakuwa hauna tofauti na mwanadamu ambae anaenda kupigana na mamba ndani ya maji..

Utashindwa.

Wewe nguvu zako zipo kwenye mwili.

Nguvu zako zipo kwenye matumizi ya akili YAKO ambayo ipo ndani ya mwili.

Hujui chochote kuhusu ulimwengu wa roho unaweza vipi kushindana na kiumbe ambae anaishi huko rohoni toka enzi za Pontyo wa Pilato?


Unazidiwa akili HADI na mamba?

Mamba hakufuati binadamu nje ya maji KWA sababu anajua huko nchi kavu wewe binadamu una nguvu kushinda yeye.

Mamba ana kusubiri uingie ndani ya maji KWA sababu huko ndiko kwenye nguvu zake na mamlaka yake.


TUFANYE NINI SASA EEH RABI?

Ndio maana kwenye Kitabu chenu imeandikwa " watu wangu Wana angamia KWA kukosa maarifa"


Sio kwa kukosa imani. Nope. Maarifa!!!

Unapaswa kutumia maarifa tu.

KWANZA unatakiwa uujue huu ukweli kuhusu majini na viumbe wote wa kiroho.

Jini hana uwezo wa kumshinda binadamu anae tumia walau robo ya uwezo wa akili yake.

Ukitumia akili YAKO vizuri hakuna jini ataweza kukushinda.

Huhitaji Shekhe wala Mchungaji wala sijui mganga ILI umshinde jini. Unahitaji akili.

Ukitumia akili YAKO vizuri kanisani na msikitini utakuwa unaenda kumshukuru Mungu tu na sio kwenda kumuomba sijui eti akuepushe na shari za majini upuuzi mtupu.


Haya yanatoka kwa mtu ambae amekuwa exposed na elimu ya ukweli na sahihi kuhusu Majini ( wachana na hii elimu ya majini ya mashekhe ambayo ni SAWA na tone la maji baharini. Infact they don't know anything about the jinns)

Ni elimu ya majini nje ya elimu waliyo nayo mashekhe.

Maarifa ya majini ( kile wanacho jua majini) ambayo yametafsiriwa kutoka kwenye lugha za kijini.

Majini Wana lugha zao. ( Sio kiarabu. Bahati mbaya sana watu wengi sana Wana amini eti majini wanaongea kiarabu au kiarabu ni lugha ya majini. Na hii imekuwa sababu kubwa ya wakristo kuunyanyapaa uislamu wakiamini waislamu Wana majini au uislamu ni dini ya majini. Mna waonea bure tu ndugu zenu HAWA, hata wao hawajui chochote kuhusu majini wala hawana majini. Wala hiyo elimu ya majini hawana. Ni kama nyie tu. Wana bahatisha bahatisha tu kama nyie..


Ukitaka kuamini hiki ninacho kisema, we mtafute Shekhe yoyote unae mfahamu au anae tajwa kuwa na elimu ya juu ya majini halafu muulize maswali haya:

1. Majini wanafananaje?


2. Majini wana ongea lugha ngapi?

3. Majina ya hizo lugha za kijini ni yepi?

Akikujibu nipo pale nimekaa

Hakuna muislamu anae jua hilo awe imamu au maamuma.

Mtu pekee aliye kuwa na elimu sahihi ya majini ni SULEIMAN IBN DAUD ambae hata hivyo pamoja na kuwa na elimu hiyo ya majini still bado alikuwa ganked.


Back to the point.

Usipigane vita na jini KWA kutumia njia anazo tumia kupigana na wewe ( njia za kiroho)




Wewe tumia akili YAKO KWA usahihi.. Elekeza matumizi ya akili YAKO katika sehemu sahihi na wakati sahihi.


MIFANO

1. UNAHISI UMEROGWA BIASHARA YAKO HAIENDI: badili biashara au ongeza biashara nyingine au fungua biashara nyingine ndogo ndogo ajiri watu huko.


2. UNAHISI wachawi wanakuja kukuroga usiku: badili muda wa kulala KWA siku ishirini na moja ( majini wakitumwa kwenda kumfanyia mtu ubaya huwa wanaenda KWA siku 21 consecutively..kama ndani ya hizo Siku 21 watashindwa kufanya chochote dhidi ya intended victim iwe ni kwa sababu ya kuwa na kinga kubwa, nguvu za Mungu au kutumia akili BASI majini hao wata give up na hawatorudi tena come what may. Watapeleka intelligence report KWA aliye watuma kwamba wewe hauwezekaniki. Ndio maana wale wanao tumiaga dawa za kufukuza majini wa nuksi/mikosi/maradhi ya kichawi kwenye mwili ukitumia dawa KWA siku let's say 5 ukaona mabadiliko halafu ukatupa dawa KWA kuamini umepona siku ya sita majini wakirudi wanarudi mazima na kwa fujo...

Whatever u do against these evil spirits must be 21 days in number.

Badili muda wa kulala. Uwe unalala.mchana. usiku nenda klabu..majini wa uchawi hawawezi kumpiga uchawi mtu ambae yupo active wakati wa usiku...


Ndio maana wazungu waliwekeza sana kwenye elimu kwa sababu mtu mwenye elimu na maarifa mapana kuhusu mwili wake na maisha yake ( nje ya mambo ya kiroho) hawezi kuwa defeated na majini.


3. UNAFANYA KAZI SANA KIPATO HAKIONEKANI

- Punguza matumizi yasiyo ya lazima

- kama una ingiza let's say laki moja KWA siku na unafanya kazi kwa masaa kumi ila unataka kuingiza milioni moja KWA siku ndani ya masaa hayo kumi njia pekee inayo weza ki guarantee hiyo outcome ni wewe kufanya kazi kwa masaa.100 KWA siku. Unafanya vipi kazi masaa mia kwa.siku wakati wote tunajua siku ina masaa.24?

Fungua sehemu tofauti tofauti kumi KILA sehemu ajiri mtu mmoja jumla.wanakuwa watu kumi hao.

Anza kuwa kufungua sehemu moja then ikichanganya fungua sehemu nyingine etc.
Umeongea mambo makuu, na Mungu akubariki
 
Kwa maana hii mchawi wa mtu huwa ni mtu mwenyewe kutokana na mawazo yake
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom