Ngalikihinja
JF-Expert Member
- Sep 1, 2009
- 31,292
- 31,449
Hii ndo shida ya kunywa karibu na mochwari............Mimi niliacha pombe baada ya kusahau nyumbani nakupitiliza mochwari na mlinzi alivyo mhuni akanilaza kwenye jokofu kwa dakika 3 mpaka leo nimeokoka.