Njia za kufuata ili kuachana na unywaji wa Pombe na Ulevi uliopitiliza

kama uko Dar na uko serious unaitaji kuacha pombe kuna dr anatoa dawa hizo yupo ubungo nyuma ya plaza karibu na shule ya msingi
 
Wandugu natafuta dawa ya kuacha pombe jamani. Nisaidieni kila nikikumbuka ze pombe naamishia ofisi kaunta. Yaani ndugu nateseka sana. Halafu nikisha kunywa nahamasika sana na mchezo wa ule wakati watoto wamelala. Nifanyeje jamani?

Pole sana ndugu, dawa pekee na ya uhakika ya kuacha pombe milele ni kumpokea Yesu Kristo kuwa bwana na mwokozi wako. Unafanya hivyo kwa kutubu dhambi zako zote kwa kumaanisha kuziacha kabisa kumwomba Yeye akuwezesha. Kisha tafuta kanisa la watu waliokoka ili upate mafundisho ya kukuimarisha zaidi katika imani yako
 
Wandugu natafuta dawa ya kuacha pombe jamani. Nisaidieni kila nikikumbuka ze pombe naamishia ofisi kaunta. Yaani ndugu nateseka sana. Halafu nikisha kunywa nahamasika sana na mchezo wa ule wakati watoto wamelala. Nifanyeje jamani?

Kunywa Pombe ni dalili ya msongo wa Mawazo lakini pia Kutokunywa pombe ni dalili ya Kutokamilika

Ref signature ya Kibunago!
 
Nilikuwa na tatizo kama hilo. Siku hizi linapungua maana baada ya kazi muda unaofuata tu nakuwa humu jamvini. Siku JF ikikosekana sijui nitaokotwa wapi, nimeiacha chupa ya safari ikiwa na sura tofauti ila radha ya maji yake ni ileile!
 
du kazi kazi kwelikweli mpaka uvunjiwe yai bichi utaacha mwenyewe

Umenichekesha sana! Kuna jamaa mmoja ( Mtu mzima tu) alikuwa na tabia ya kunywa sana, halafu akilewa anakuwa na matusi kwa mke wake, na anamwomba majamboz mbele ya watoto.
Basi ndugu zake walichukia na siku moja alipolewa sana, akawa amelala karibu na mgomba, basi wale ndugu wakamvunjia ule ute mweupe sehemu ya haja kubwa na kumwagia ute ovyo kwenye suruali.
Jamaa kuja kuamka, alikurupuka, na akajua vijana wa mjini wamkula!
Basi alienda nyumbani akiwa mnyonge sana, ila hakuthubutu kumwambia mkewe.
Ila pombe ikawa mwisho. Mchezo mzima ulichezwa kwa ushirikiano wa ndugu wa mume na mke, naao wakafanya siri kabisa.
Baada ya jamaa kuacha kwa miaka miwili , ndo wakampasha yaliyomkuta!
Ila pombe hajarudia tena!
 
MPUI LYAZUMBI : unatudanga kwanza hiyo ndo thread yako ya 6 afu unasema ulikuwa na tatizo kama hilo. Siku hizi linapungua kwa kuwa baada ya kazi muda unaofuata unakuwa humu jamvini.Sijui kama hiyo ni kweli ila kwa ushauri wangu kuacha pombe ni kuji tune saikolojikale
 
Wewe mpaka hapo umeshaacha ila nakuona unataka kkuirudia pombe, au ushauri mwingine hamia pemba kwa mda kama miezi 2.
 
Ukiacha pombe utakuwa zezeta, fuata ushauri wangu. wanaume wajanja wote wanapiga ulabu na wanajua kufanya kazi kwa bidii kutafuta zaidi. Ukiacha pombe utafanya kipi baada ya kazi (11 jioni hadi saa 2 usiku?) may be uanze kuimba kwaya!:smile-big::smile-big: au uwe mzee wa kanisa hapo kwenu.
 
Jitahidi tu utafanikiwa..na kukupongeza kwa kufanikiwa kuacha pombe nitakupa ofa ya kreti nzima peke yako ujipongeze!
 
Jibu mbona ni rahisi tu, Mwamini Yesu awe Bwana na Mwokozi wa maisha yako. Nina maana ya WOKOVU wa ukweli sio ulio chakachuliwa
 
mbona ize tu............we ukinusa harufu ya ulabu ifananishe na ya choo! Kinyaa kikuingia utaacha tu!:smile:
 
sikumbukagi nimeanza saa ngapi ila huwa nakuta nina bia mezani! mateso jamani nisaidieni!




Hahahahahahah,pole ndugu,
mbona kama tunafanana???dingi yetu mmoja nini?aisee meku ukipata hbu nijulishe mbee,ILA SI KUACHA JAMANI,NATAKA NPUNGUZE......Hapa nna kw vodka kadogo kwenye droo na chewin gum na npo mzigon....cjui boc akijua itakuaje????Tusaidieni jamani
 
Benefits of Drinking Alcohol - yes advantages of drinking

Author : Akshay Marwah | on 21st Mar 2009
A MUST READ AS FROM NOW ON YOU WILL FEEL GOOD ABOUT YOURSELF HAVING A DRINK


David J. Hanson, Ph.D., Professor Emeritus of Sociology at the State University of New York at Potsdam, is the expert on alcohol, and writes that moderate drinkers tend to have better health and live longer than those who are either abstainers .He cites research that shows that moderate drinkers:
* Have fewer heart attacks and strokes.
* Have lower incidence of hypertension, peripheral artery disease, Alzheimer’s disease, and the common cold.
* He also links moderate (sensible!) drinking to a lower risk for a myriad of other conditions, ranging from Parkinson’s disease to “poor physical condition in the elderly."


Some cardioprotective benefits have been demonstrated for light to moderate alcohol consumption (up to 1 drink daily for women and 1 or 2 drinks daily for men). Most studies have shown that light to moderate drinking is associated with risk reductions for CHD of approximately 30% to 35%.

Alcohol consumed in moderation seems to have an antiatherosclerotic effect, with decreased incidence of peripheral arterial disease Like exercise, alcohol consumption seems to be most cardioprotective when done daily and in moderation.

consumption of 1 drink daily by women and 1 or 2 drinks daily by men was associated with an 18% reduction in total mortality

Although low-dose, daily alcohol consumption has been linked to better health than less frequent use

Guidelines from the United Kingdom suggest that middle-aged or elderly men and postmenopausal women who drink seldom or never might consider the possibility that light drinking would benefit their health

The strongest medical evidence exists for the link between moderate drinking and a reduced risk of heart disease.

Dr. Kenneth Mukamal, an internist at Beth Israel Deaconess Medical Center and assistant professor at Harvard Medical School in Boston, was the lead author of a New England Journal of Medicine study examining the roles of drinking patterns and heart disease that found, after 12 year of follow-up, that men who consumed alcohol between three and seven days a week had fewer heart attacks than men who drank once a week
 
Back
Top Bottom