Los santos
JF-Expert Member
- Jan 14, 2021
- 964
- 2,045
Daa tarehe 1 Jan 2024 ilikuwa pigo kwa mshkaji wangu niliyempoteza kutokana na Tatizo la Figo ikiwa ni kutokana na kunywa pombe kupindukia.
Kwa kweli ningekuwa na nguvu ya kumzuia mtu asinywe pombe kupindukia ningefanya, na sijajua kwanini Kuna wimbi la vijana kufeli Figo zao kipindi hiki ilihali zamani ulevi ulikuwepo lakini hakukuwa na shida kama hizi.
Kwa kweli ningekuwa na nguvu ya kumzuia mtu asinywe pombe kupindukia ningefanya, na sijajua kwanini Kuna wimbi la vijana kufeli Figo zao kipindi hiki ilihali zamani ulevi ulikuwepo lakini hakukuwa na shida kama hizi.