David Harvey
JF-Expert Member
- Jul 17, 2014
- 2,680
- 5,228
Umeamua kayakana maneno yako sio? Wewe na wanazi wenzako humu jf kila siku mlikuwa mnaongelea ilo jambo, baada ya kupigwa 5 mnaanza kukana.Unamjaza mwenzio upepo. Amefungua link kwenye post ya kwanza akaangalia niliileta lini mada ya kuhoji hadi aseme "Baada ya kufungwa tano ndio unataka kufahamu ubora wa NBC imeingia vipi"?
Na bado kila neno mtaongea mwaka huu