DadiMkaliWao
Senior Member
- Apr 22, 2019
- 198
- 340
Hawajielewi ndo maana Rage aliwaita MBUMBUMBUNimeamini wanaoumia ni mashabiki,mashabiki wa simba wanapitia kipindi kigumu kweli uku mtaani watu wana sonona.
Baada ya kufungwa tano ndio unataka kufahamu ubora wa NBC imeingia vipi ktk top 5,kipindi simba ipo vizuri mlikuwa mnasema nyinyi ndiyo mmeipa umaarufu NBC..iweje Leo mnakataa?
Kingine mlikuwa mkijimwambafai simba ni timu kubwa giant inajulikana duniani, sasa kama mnajulikana dunia watu watashindwa vipi kufahamu kama mmefungwa goli 5?