Uchaguzi 2020 Njama zilizopangwa na upinzani kuichafua Serikali

Wapinzani wa nchii hii walipofikia sio sehemu nzuri maana wanataka kuipeleka nchi kwenye machafuko kupitia uchaguzi mkuu wa mwaka 2020, Kama ulikuwa haufahamu ngoja nikufaamishe mipango na mikakati yao;-

1. Walianza kulalamika kuwa wasimamizi wa uchaguzi wanawahujumu ilihali wao hawakwenda kuchukua fomu kwa wakati na waliochukua walizijaza vibaya ili watenguliwe baadae.

2. Wakaja kwenye vyombo vya habari na kuanza kuwaaaminisha wananchi kuwa kunahujuma zinaendelea.

3. Hivi sasa wanadai wagombea wa upinzani nchi nzima wametenguliwa bila sababu.

NIA YAO!
Nia yao kuu sio Serikali za mitaa ni KUWAAMINISHA wananchi kuwa wanaonewa katika chaguzi zinazofanyika tangu awamu ya tano iingie madarakani ili siku watakapowaambia wananchi kuwa wanaibiwa waamini kuwa ni kweli, kitu ambacho wamefanikiwa kwa kiasi kikubwa.

LENGO LAO!
Lengo lao ni UCHAGUZI MKUU WA 2020, Baada ya kuona kazi kubwa na nzuri inayofanywa na Rais JPM wanajua wazi kuwa nafasi ya kushinda ni finyu au haipo kabisa, kwahiyo wanaanza kuandaa mbinu mbadala watakazozitumia baada ya uchaguzi kumalizika. Mbinu ambazo zinaweza kuleta machafuko.
Hao ni wapigakura wa aina gani ambao wapinzani wanaamini hawatawapigia kura lakini watakubali kuleta machafuko wakiwashawishi?
 
Wapinzani wa nchii hii walipofikia sio sehemu nzuri maana wanataka kuipeleka nchi kwenye machafuko kupitia uchaguzi mkuu wa mwaka 2020, Kama ulikuwa haufahamu ngoja nikufaamishe mipango na mikakati yao;-

1. Walianza kulalamika kuwa wasimamizi wa uchaguzi wanawahujumu ilihali wao hawakwenda kuchukua fomu kwa wakati na waliochukua walizijaza vibaya ili watenguliwe baadae.

2. Wakaja kwenye vyombo vya habari na kuanza kuwaaaminisha wananchi kuwa kunahujuma zinaendelea.

3. Hivi sasa wanadai wagombea wa upinzani nchi nzima wametenguliwa bila sababu.

NIA YAO!
Nia yao kuu sio Serikali za mitaa ni KUWAAMINISHA wananchi kuwa wanaonewa katika chaguzi zinazofanyika tangu awamu ya tano iingie madarakani ili siku watakapowaambia wananchi kuwa wanaibiwa waamini kuwa ni kweli, kitu ambacho wamefanikiwa kwa kiasi kikubwa.

LENGO LAO!
Lengo lao ni UCHAGUZI MKUU WA 2020, Baada ya kuona kazi kubwa na nzuri inayofanywa na Rais JPM wanajua wazi kuwa nafasi ya kushinda ni finyu au haipo kabisa, kwahiyo wanaanza kuandaa mbinu mbadala watakazozitumia baada ya uchaguzi kumalizika. Mbinu ambazo zinaweza kuleta machafuko.
Umemaliza kuharisha? Machafuko mmeyaasisi wenyewe pale nyumba nyeupe kwani mlianza kuwaalika viongozi wote kuanzia ngazi ya mtaa, kata na tarafa ili kuwapa mbinu za kuleta vurugu katika Kika kiitwacho uchaguzi! Mlisahau Jambo moja la kitoto Sana ya kuwa; " hakuna Siri ya watu wawili" kwani nao ni ndugu zetu hivyo waliweka wazi Kika mlichojadili na kuagiza!
Hizi vurugu hazikwepeki kwasababu uongozi umeahindwa kazi na unatafuta namna ya kujibakisha madarakani kwa nguvu Tena bila bila uchaguzi! Na kwa jinsi mnavyokwiba fedha za wananchi na kuzificha ughaibuni mnatafuta mbinu za ukombozi Tena wa kulazimisha ili mkazitumbue mtakavyo! Ukibisha tuambie sababu mahsusi za kumwondoa cag!
 
Wewe haha tu ila ukweli unajulikana kwa umma yote!
Screenshot_20191016-224559-picsay.jpeg
 
Nitakutukana wewe yalama wa heed!!
Wapinzani wa nchii hii walipofikia sio sehemu nzuri maana wanataka kuipeleka nchi kwenye machafuko kupitia uchaguzi mkuu wa mwaka 2020, Kama ulikuwa haufahamu ngoja nikufaamishe mipango na mikakati yao;-

1. Walianza kulalamika kuwa wasimamizi wa uchaguzi wanawahujumu ilihali wao hawakwenda kuchukua fomu kwa wakati na waliochukua walizijaza vibaya ili watenguliwe baadae.

2. Wakaja kwenye vyombo vya habari na kuanza kuwaaaminisha wananchi kuwa kunahujuma zinaendelea.

3. Hivi sasa wanadai wagombea wa upinzani nchi nzima wametenguliwa bila sababu.

NIA YAO!
Nia yao kuu sio Serikali za mitaa ni KUWAAMINISHA wananchi kuwa wanaonewa katika chaguzi zinazofanyika tangu awamu ya tano iingie madarakani ili siku watakapowaambia wananchi kuwa wanaibiwa waamini kuwa ni kweli, kitu ambacho wamefanikiwa kwa kiasi kikubwa.

LENGO LAO!
Lengo lao ni UCHAGUZI MKUU WA 2020, Baada ya kuona kazi kubwa na nzuri inayofanywa na Rais JPM wanajua wazi kuwa nafasi ya kushinda ni finyu au haipo kabisa, kwahiyo wanaanza kuandaa mbinu mbadala watakazozitumia baada ya uchaguzi kumalizika. Mbinu ambazo zinaweza kuleta machafuko.
 
Wapinzani wa nchii hii walipofikia sio sehemu nzuri maana wanataka kuipeleka nchi kwenye machafuko kupitia uchaguzi mkuu wa mwaka 2020, Kama ulikuwa haufahamu ngoja nikufaamishe mipango na mikakati yao;-

1. Walianza kulalamika kuwa wasimamizi wa uchaguzi wanawahujumu ilihali wao hawakwenda kuchukua fomu kwa wakati na waliochukua walizijaza vibaya ili watenguliwe baadae.

2. Wakaja kwenye vyombo vya habari na kuanza kuwaaaminisha wananchi kuwa kunahujuma zinaendelea.

3. Hivi sasa wanadai wagombea wa upinzani nchi nzima wametenguliwa bila sababu.

NIA YAO!
Nia yao kuu sio Serikali za mitaa ni KUWAAMINISHA wananchi kuwa wanaonewa katika chaguzi zinazofanyika tangu awamu ya tano iingie madarakani ili siku watakapowaambia wananchi kuwa wanaibiwa waamini kuwa ni kweli, kitu ambacho wamefanikiwa kwa kiasi kikubwa.

LENGO LAO!
Lengo lao ni UCHAGUZI MKUU WA 2020, Baada ya kuona kazi kubwa na nzuri inayofanywa na Rais JPM wanajua wazi kuwa nafasi ya kushinda ni finyu au haipo kabisa, kwahiyo wanaanza kuandaa mbinu mbadala watakazozitumia baada ya uchaguzi kumalizika. Mbinu ambazo zinaweza kuleta machafuko.
Mkuu, hii pumba ina uzito wa tani ngapi? mi nadhani kama huna cha kuandika bora kusoma nyuzi za wenzako tu!
 
Wapinzani wa nchii hii walipofikia sio sehemu nzuri maana wanataka kuipeleka nchi kwenye machafuko kupitia uchaguzi mkuu wa mwaka 2020, Kama ulikuwa haufahamu ngoja nikufaamishe mipango na mikakati yao;-

1. Walianza kulalamika kuwa wasimamizi wa uchaguzi wanawahujumu ilihali wao hawakwenda kuchukua fomu kwa wakati na waliochukua walizijaza vibaya ili watenguliwe baadae.

2. Wakaja kwenye vyombo vya habari na kuanza kuwaaaminisha wananchi kuwa kunahujuma zinaendelea.

3. Hivi sasa wanadai wagombea wa upinzani nchi nzima wametenguliwa bila sababu.

NIA YAO!
Nia yao kuu sio Serikali za mitaa ni KUWAAMINISHA wananchi kuwa wanaonewa katika chaguzi zinazofanyika tangu awamu ya tano iingie madarakani ili siku watakapowaambia wananchi kuwa wanaibiwa waamini kuwa ni kweli, kitu ambacho wamefanikiwa kwa kiasi kikubwa.

LENGO LAO!
Lengo lao ni UCHAGUZI MKUU WA 2020, Baada ya kuona kazi kubwa na nzuri inayofanywa na Rais JPM wanajua wazi kuwa nafasi ya kushinda ni finyu au haipo kabisa, kwahiyo wanaanza kuandaa mbinu mbadala watakazozitumia baada ya uchaguzi kumalizika. Mbinu ambazo zinaweza kuleta machafuko.
Upumbavu wa kiwango cha SGR
 
Back
Top Bottom