John locke
JF-Expert Member
- May 6, 2012
- 828
- 1,262
Mimi labda naona wana nia njema hata kama we ni ME. Wanataka wakufumdishe jinsi ya ku mcare my wife wako pindi anapokuwa mjamzito. Kwa mawazo yangu hawajakosea kukutumia ujembe huo.
Mimi labda naona wana nia njema hata kama we ni ME. Wanataka wakufumdishe jinsi ya ku mcare my wife wako pindi anapokuwa mjamzito. Kwa mawazo yangu hawajakosea kukutumia ujembe huo.
wafungulie mashtaka,kwako wameanza na ukikaa kimya watajua wote ni wafuasi wa pr:david cameron.Mi sina kitambi mkuu
Kama wewe ni mwanaume usiofu maana umeambiwa utume UJAUZITO!, wangekwambia pata UJAUZITO hapo sawa!.Mimi ni mwanaume mwenye familia yangu. Hivi ni haki tigo kunitumia msg hii.
Tuma UJAUZITO kwenda 15519 na upate dondoo nyingi za ujauzito ikiwemo ushauri, afya bora ya mama na mtoto, vyakula, malezi na mengineyo kwa Tsh.125/SMS
Mimi ni mwanaume mwenye familia yangu. Hivi ni haki tigo kunitumia msg hii.
Tuma UJAUZITO kwenda 15519 na upate dondoo nyingi za ujauzito ikiwemo ushauri, afya bora ya mama na mtoto, vyakula, malezi na mengineyo kwa Tsh.125/SMS
Au wameona hilo jina MMary wakajua ni mama Mary nini?wasamehe bure nao pia ni wanadamu jamani!!!!Tuangalie na majina tunayojipa jamani tusianze kulaumu tuu na kufungua mashtaka!!!Mimi ni mwanaume mwenye familia yangu. Hivi ni haki tigo kunitumia msg hii.
Tuma UJAUZITO kwenda 15519 na upate dondoo nyingi za ujauzito ikiwemo ushauri, afya bora ya mama na mtoto, vyakula, malezi na mengineyo kwa Tsh.125/SMS
Au wameona hilo jina MMary wakajua ni mama Mary nini?wasamehe bure nao pia ni wanadamu jamani!!!!Tuangalie na majina tunayojipa jamani tusianze kulaumu tuu na kufungua mashtaka!!!