Mimi ni mwanaume mwenye familia yangu. Hivi ni haki tigo kunitumia msg hii.
Tuma UJAUZITO kwenda 15519 na upate dondoo nyingi za ujauzito ikiwemo ushauri, afya bora ya mama na mtoto, vyakula, malezi na mengineyo kwa Tsh.125/SMS
Hauna kitambi?
Mimi ni mwanaume mwenye familia yangu. Hivi ni haki tigo kunitumia msg hii.
Tuma UJAUZITO kwenda 15519 na upate dondoo nyingi za ujauzito ikiwemo ushauri, afya bora ya mama na mtoto, vyakula, malezi na mengineyo kwa Tsh.125/SMS
Kuna msela wangu nae katumiwa taka taka hiyo na hao wanaojiita tiGO.
tiGO ndio maana ikapewa jina la makalio kwenye mambo haya haya ya kishamba. Utawatumiaje msg watu ambao hata hawahusiki nazo....
Je, hao tigo hawajaona jina la mtu kwenye system zao i hope namba nyingi zimesajiliwa na wanafahamu kwamba **** MALE and FEMALE sasa iweje watume upuuzi wao huo kwa wanaume?
TIGO NJAA ZITAWAUA MI
MWENYEWE WAMENIKATA SALIO LAnGU KWA HUDUMA AMBAYO SIJAWAHI KUOMBA WALA
KUTUMIA.